Grader
JF-Expert Member
- Feb 23, 2009
- 445
- 64
Kwa sasa nipo Taifa ili nione mechi ya kimataifa kati ya Yanga vs sc villa ya Uganda, mpaka sasa timu ya villa haijawarm up na haijulijani kama kuna mechi leo. Villa wanataka wapewe kiasi cha dolla 10000 cash kabla ya kuanza mchezo kama contract inavyoeleza. Yanga pamoja na muuandaaji kwanza promotion hawana