1. Yes1- Umewahi kuwa na mahusiano na member wa Jf..??
2- Umewahi kukutana na member was Jf ana kwa ana..??
3- Ni member yupi anakukera/unamchukia humu Jf...??
4- Kwanini umekuwa ukihisi kwamba Mods wanakuonea..??
Kawaida tu.. nitamwambia umekosea njia. Shida sio avatar kuna wengine wanadhani hii Da' inawakilisha Dada vinci so wanajua ni ke. Mimi sina shida nao kabisa. Nafanya ku left conversationIkitokea mwanaume amekutumia ujumbe huko PM na akuisifia avatar yako, binasfi utajiskiaje na utamjibu nini...??
Hello,
Siku ya Alhamis tarehe na mwezi kama wa leo mwaka 2016 nikifanikiwa kujiunga na mtandao huu baada ya kuwa mtumiaji mgeni kwa muda wa miaka mingi.
Japo ni mika 3 tu niko kama member rasmi, ila naona nimekaa miaka mingi, umri wa mtu.
Toka nimejiunga humu nimetumia ID hii moja tu ila nimeibadili jina kama mara 4 hivi. Nilianza na mondray>>>Gentries >>>Da'Vinci >>>Denvers>>>Da'Vinci tena.
Ni ID moja inayotumiwa na mtu mmoja ila hapo kila jina lina personalities zake. Denvers it's my best personality and Da'Vinci its my intellect personality.
Uwepo wangu humu umeniletea faida nyingi na nzuri.
Faida kuu nilizozipata
1. Kupitia JF nimejua potential yangu na nimejua vitu ving, imeniliwaza sana kwakuwa sio mtu wa kujichanganya.
2. Kufahamiana na watu wenye Utu na Ubinaadamu waswahili wanaita koneksheni. (I really thank and appreciate this with all my heart)
Hasara nilizozipata
1. Kujinyima haki yangu kama mtoto. Nimeanza kuifahamu JF na kuanza kuitumia kama guest nikiwa na 16 yr kipindi ndio nimeingia balehe ya kwanza imecharuka. Ukiwa humu GT inatakiwa u behave kama GT so ilinilazimu utoto niache na kujichanganya na watu wazima
Kipindi hiko nilikua nakuja kusoma jukwaa la inteligencia na vichekesho vya member Mentor.
So nikawa sijichanganyi na watu wa umri wangu kitaani nashinda tu JF, unapiga stori na watu usioweza kuwapata. Mnaitana bebi kumbe nyuma ya kibodi naona hata aibu kukuita bebi
2. Imekula muda wangu sana. JF ina addiction mbaya sana. Ukikaa na simu kidogo ushachungulia huku.
Nafurahia kuwa sehemu ya watumiaji wa huu mtandao.
Kama una swali na ushauri wako ningependa unipatie.
Kama nishawahi kukukwaza niambie ila kama ushawahi nikwaza be good sina kinyongo kabisa.. Humbleness is my religion
Ahsante
Vers.
Vinci.
Amani iwe nawe pia...Kipindi kile unaitwa mondray ulikuwaga na viakili vya kiupuuz puuz sana
Sisi wakongwe wa jf ambao tunaenda kugonga 5 years ndo tunajua watoto wa juzi hawawezi kukumbuka
Yote kwa yote kheri kwako mkuu
Aman nakupa iwe nanwe
Hello,
Siku ya Alhamis tarehe na mwezi kama wa leo mwaka 2016 nikifanikiwa kujiunga na mtandao huu baada ya kuwa mtumiaji mgeni kwa muda wa miaka mingi.
Japo ni mika 3 tu niko kama member rasmi, ila naona nimekaa miaka mingi, umri wa mtu.
Toka nimejiunga humu nimetumia ID hii moja tu ila nimeibadili jina kama mara 4 hivi. Nilianza na mondray>>>Gentries >>>Da'Vinci >>>Denvers>>>Da'Vinci tena.
Ni ID moja inayotumiwa na mtu mmoja ila hapo kila jina lina personalities zake. Denvers it's my best personality and Da'Vinci its my intellect personality.
Uwepo wangu humu umeniletea faida nyingi na nzuri.
Faida kuu nilizozipata
1. Kupitia JF nimejua potential yangu na nimejua vitu ving, imeniliwaza sana kwakuwa sio mtu wa kujichanganya.
2. Kufahamiana na watu wenye Utu na Ubinaadamu waswahili wanaita koneksheni. (I really thank and appreciate this with all my heart)
Hasara nilizozipata
1. Kujinyima haki yangu kama mtoto. Nimeanza kuifahamu JF na kuanza kuitumia kama guest nikiwa na 16 yr kipindi ndio nimeingia balehe ya kwanza imecharuka. Ukiwa humu GT inatakiwa u behave kama GT so ilinilazimu utoto niache na kujichanganya na watu wazima
Kipindi hiko nilikua nakuja kusoma jukwaa la inteligencia na vichekesho vya member Mentor.
So nikawa sijichanganyi na watu wa umri wangu kitaani nashinda tu JF, unapiga stori na watu usioweza kuwapata. Mnaitana bebi kumbe nyuma ya kibodi naona hata aibu kukuita bebi
2. Imekula muda wangu sana. JF ina addiction mbaya sana. Ukikaa na simu kidogo ushachungulia huku.
Nafurahia kuwa sehemu ya watumiaji wa huu mtandao.
Kama una swali na ushauri wako ningependa unipatie.
Kama nishawahi kukukwaza niambie ila kama ushawahi nikwaza be good sina kinyongo kabisa.. Humbleness is my religion
Ahsante
Vers.
Vinci.
Sawa tuko pamoja mkuuAmani iwe nawe pia...
Kipindi kile nilipenda iwe hvo.
Afadhali wewe umeelewa nilichokiandika...
Psychology wwtu wengi hawaielewi
Chizi hua wa kwanza kunyeshea vidole watu wazima
Kutimiza 3 yrs sisi wengine badoo!Ahsante.. niko vizuri kivipi?