Ngoja nitoe hii avatar maana sio kwa mitongozo hii
Aiseee[emoji23][emoji23][emoji23]Dah huko sitaweza kukushauri maana sijawahi tumia tecno..
VizuriMwaka huu nimekula ban x1 ilikua feb 27
Mwaka jana nimekula ban x1 ilikua jan 18. Sitapigwa ban tena
Nimependa nifahamu kama unatumia vizuri mitazamo ya wanaotofautiana na weweJe kwanini wauliza hvo??
ndo umejua sasa wamo wengi tu sema huwa tunaamua tu kuheshimu maamuzi yao.