30,000 Likes

30,000 Likes

Hahha ningeandamana
Hahaaa, usifanye ivo mkuu!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
Khaaa kausha
Na nyie mmeanza bongo movie?! Nitaahirisha kutoa zawadi.....
Confirmed; Nimepokea elfu 10 yangu ya zawadi kutoka kwa RRONDO. Siku nyingine kabla hujaanzisha ka biko kako , fanya kunishtua basi, namba ndo hiyo. Ndaga fijo
Sent.....at least nimepata namba!

Sent from my SM-N920C using Tapatalk
 
Umepewa lift sasa unataka kupiga honi! Ila nimekuvulia kofia...u meant business....umeonesha how to go get it!
Teh mbona ukiongezea ni vyema tu sana.
Me sina utani na hela eti, nishapata hela ya kusukia
 
Back
Top Bottom