William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
jamani waandishi kwa kukuza mambo hamjambo
lemutuz yuko kawaida sana jamani msikuze hayo mambo ya anniversary ni mambo ya kawaida
ila blog yake inatisha hasa siku ile ya sherehe ahahahaaaaaaaaaaaaa
- hahahaha niambie ni Blog gani Tanzania imewahi kufanya mambo kama yale niliyofanya? please kubalini ukweli kwamba hii ni AKILI KUBWAZZ halafu tizama yaani hii ndio thread yenye viewers wengi huku kuliko zote toka hii forum ya chit chat ianzishwe sasa wewe utasema mimi ni mtu wa kawaida? kubali tu ni AKILI KUBWAZZZ SUPER CELEBRITY Blogger wa kwanza kudhaminiwa na Sponsors 60,
- Kuanzia Press Conference waulize waliokuwepo kila mtu alipata maziwa kibao ya ASAS, kwenye semina kila mshiriki alipatiwa nauli ya kurudia home vijana 300, now kubalini kwamba this was wasap U know!!
le Mutuz