Hili likitekelezwa litaimarisha Muungano.Unajua Sky Eclat watu huwa wanajadili hata wasichokifahamu! Mleta mada mwenyewe amekurupuka kulalamika badala ya kuishia kuuliza swali yeye ametafasiri moja kwa moja kwamba kinachogawanwa ni pato la Taifa (kitu ambacho ni ujinga kuhoji!). Malalamiko ya Zanzibar yamekuwa kwenye kupunjwa fedha za misaada ambayo kwenye hati za muungano imetamkwa namna watakavyogawana hiyo misaada, sasa mama amekuja kuhakikisha makubaliano yanatekelezwa!
Mkuu, mbona hii ni simple. Ni kama vile ambavo dhabu na gesi ya Tanganyika haiwahusu wazanzibari.Wanaitwa wanga ukitaka kuwa mkweli. Lakini roho mbaya ni hao waliosema mafuta yetu haya wahusu Watanganyika hapa napo kama utataka kuwa mkweli wa nafsi yako na kuukataa unafiki kama dhambi.
Hii si kweli!Zanzibar haichangii chochote, yeye mwenyewe Samia mshahara wake na marupurupu yote ni jasho la watanganyika
TRA ipo zanzibar lakini inakusanya mapato kwenye maeneo chache sana, na kisha mapato yote huachwa Zanzibar (hakuna shilingi inayokusanywa Zanzibar huvuka maji)
Yaani! ndugu zetu wa damu! the 4% tunayogaiwa wazanzibari na ambayo ni haki yetu imewatowa roho kiasi hiki? tuwaeleweje ndugu zetu nyie?Iwe msaada ama mkopo Zanzibar haipaswi kupata asilimia 4
Asilimia 4 kwa Zanzibar ni nyingi kwa hoja kuu mbili:
Moja: asilimia ya pato la Zanzibar katika pato jumla la nchi nzima ni chini ya hiyo 4
Mbili: asilimia ya wakazi wa Zanzibar katika total population ya milioni 59 ni chini ya hiyo 4
Asante mkuu kwa huu ufafanuzi. Hata hivo kama mzanzibari nimejisikia vibaya sana na masimango ya ndugu zetu hawa kwa kitu kidogo sana kama 4%. Ambapo kiukweli Zanzibar kama ingeachwa vitu hivi viingie ndani yake bila ya kupitia kwenye muungano, Zanzibar ingefaidika mno. Leo hii watanganyika wanaona kama vile hii 4% ni fadhila na upendeleo na kwamba Zanzibar haistahiki nayo! Na ndio maana ni vyema Zanzibar ikawa na mamlaka yake kamili.chapwa24 Sheria inaitaka serekali ya muungano iipatie Zanzibar 4.5% ya misaada yote pamoja na Bakia la Pato la Muungano.
Swali la kwanza ni kua Bakia la pato la Muungano ni lipi? Pato la muungano ni yale mapato yote yanayokusanywa na jamhuri katika mambo ambayo yamo ndani ya muungano kisheria.
Inavyotakiwa ni kuwa baada ya mapato yote kukusanywa, fedha inatakiwa itumike kwenye Budget ya mambo ya muungano, fedha yote itakayobakia inatakiwa igawanywe kwa washirika wa muungano. Kwahiyo Zanzibar wanatakiwa wapate 4.5% na Bara wapate 95.5%
Mfano: kama mapato ya mwaka ya source zote za Muungano ni milioni 120. Halafu Matumizi ya muasuala ya Muungano kuanzia mishahara pamoja na miradi mambo mengine ni milioni 20. Kwahiyo itabakia milion 100, Sasa hiyo mia itatakiwa igaiwe Zanzibar wachukue milioni 4.5 na Bara wachukue milion 95.5. Sasa tatizo lnakuja kuwa Bara hawajawahi kuwalipa Zanzibar stahiki yao ya mgao wa mapato kwa miaka yote hiyo. Pesa zote wanachukua wao, na ndio mana Zanzibar wanalalamika na ndio moja katika kero kubwa za muungano.
Swali jengine linalokujia wewe ni, Kwanini Zanzibar wapewe mgao wa fedha wakati wewe huuoni mchango wao kwenye hayo mapato?
Mtu yoyote anaetaka kuja Tanzania anlipia visa, Pesa ya visa direct inaingia kwenye mfuko wa Muungano. Zanzibar kwa mwaka kunakwenda watalii wasiopungua laki 3, hawa malipo ya visa zao zote zinachukuliwa na Bara, Zanzibar haifidika na hela visa ya watalii wanaokwenda kwao.
Ma company yote ta TZ, kuanzia ya mitandao ya simu, ving'amuzi, Mabenk na mengineyo, Yanasajiliwa Bara, lakini yanafika mpaka Zanzibar kutoa huduma bila kulipa kodi yoyote kule Zanzibar. Yani ni hivi Voda wanalipa Kodi Bara lakini wanatoa huduma mpaka Zanzibar. Fedha wanazolipia za kodi ni kwa ajili ya kutoa huduma mpaka Zanzibar, ila sasa TRA hawagawi mgao wa fedha zinazotokana na makampuni kwa Zanzibar.
Hiyo ni mifano miwili na ipo mengi tu kwenye kila sekta inayohusu Muungano.
Kwa kifupi wanachokifanya Serekali ya SMT, ni wizi wa mchana kabisa, Kila mwaka wanawaibia Zanzibar karibu 1 trillion. kwa kipindi cha miaka kumi kiharaka haraka Zanzibar wanaidai Tanzania fedha isiyopungua Trillion 10.
Kama vipi iwachieni Zanzibar ijitawale.Huu Muungano ni mzigo Kwa Tanganyika Kwa 100% . Kifo cha JPM kimeturudisha nyuma miaka kimaendeleo. JPM Bora angemchaguaga Hussein Mwinyi kuwa vice president wa Tanzania. Kwenye katiba ibadilishwe na iseme akifa rais basi prime minister ndio awe rais. Hapa Tanganyika tunavuja Jasho kwaajili ya kuwanufaisha wazanzibar. Huu ni Muungano mbovu kuwahi kutokea duniani
Acha uongo, tra ukusanye mapato znz alaf yote yaachwe znz basi itakua tra yenu ya kikundi cha majambaziZanzibar haichangii chochote, yeye mwenyewe Samia mshahara wake na marupurupu yote ni jasho la watanganyika
TRA ipo zanzibar lakini inakusanya mapato kwenye maeneo chache sana, na kisha mapato yote huachwa Zanzibar (hakuna shilingi inayokusanywa Zanzibar huvuka maji)
Kama mzanzibari, na kwa masimango haya, how I wish lisitekelezwe ili iendelee kuwa chachu kwa wazanzibari kudai Zanzibar yao!Hili likitekelezwa litaimarisha Muungano.
Nimekuelewa, tatizo waliotaka Muungano walifikiria tu kujilinda ili Sultan asirudi kutawala maana alishataarishiwa msaada wa kijeshi kutoka Oman.Kama mzanzibari, na kwa masimango haya, how I wish lisitekelezwe ili iendelee kuwa chachu kwa wazanzibari kudai Zanzibar yao!
Huku ni kuchoshana tu na sisi tutaanza kudai mirabaa ya Ubuyu wa Tangawizi, viladu na mashelisheli.Ukitathimi kwa kina utagundua iyo 4% inatoka Tanganyika kwenda Zanzibar.
Ni kama vile Tanganyika inalipia gharama za muungano.
Mi naona kuweka vitu simple Zanzibar iwe na ZRA, iwe inakusanya mapato yenyewe ila shida sasa kwenye kugaramia shughuli za muungano itabidi Zanzibar ichangie. Au shughuli za muungano zipunguzwe zaidi ibaki moja tu ya Ulinzi.Usichokifahamu ni kwamba TRA wanakusanya kodi hadi Zanzibar. Ndio maana sheria inataka 4% ya mapato yote Tanzania iende Zanzibar. Tena hio 4% kwa maoni yangu ni ndongo ingepaswa walau 15%.
1. pesa ya visa: hivi kweli itakuwa nyingi kiasi hicho? manake hata bara kuna watalii wengi wanakuja.chapwa24 Sheria inaitaka serekali ya muungano iipatie Zanzibar 4.5% ya misaada yote pamoja na Bakia la Pato la Muungano.
Swali la kwanza ni kua Bakia la pato la Muungano ni lipi? Pato la muungano ni yale mapato yote yanayokusanywa na jamhuri katika mambo ambayo yamo ndani ya muungano kisheria.
Inavyotakiwa ni kuwa baada ya mapato yote kukusanywa, fedha inatakiwa itumike kwenye Budget ya mambo ya muungano, fedha yote itakayobakia inatakiwa igawanywe kwa washirika wa muungano. Kwahiyo Zanzibar wanatakiwa wapate 4.5% na Bara wapate 95.5%
Mfano: kama mapato ya mwaka ya source zote za Muungano ni milioni 120. Halafu Matumizi ya muasuala ya Muungano kuanzia mishahara pamoja na miradi mambo mengine ni milioni 20. Kwahiyo itabakia milion 100, Sasa hiyo mia itatakiwa igaiwe Zanzibar wachukue milioni 4.5 na Bara wachukue milion 95.5. Sasa tatizo lnakuja kuwa Bara hawajawahi kuwalipa Zanzibar stahiki yao ya mgao wa mapato kwa miaka yote hiyo. Pesa zote wanachukua wao, na ndio mana Zanzibar wanalalamika na ndio moja katika kero kubwa za muungano.
Swali jengine linalokujia wewe ni, Kwanini Zanzibar wapewe mgao wa fedha wakati wewe huuoni mchango wao kwenye hayo mapato?
Mtu yoyote anaetaka kuja Tanzania anlipia visa, Pesa ya visa direct inaingia kwenye mfuko wa Muungano. Zanzibar kwa mwaka kunakwenda watalii wasiopungua laki 3, hawa malipo ya visa zao zote zinachukuliwa na Bara, Zanzibar haifidika na hela visa ya watalii wanaokwenda kwao.
Ma company yote ta TZ, kuanzia ya mitandao ya simu, ving'amuzi, Mabenk na mengineyo, Yanasajiliwa Bara, lakini yanafika mpaka Zanzibar kutoa huduma bila kulipa kodi yoyote kule Zanzibar. Yani ni hivi Voda wanalipa Kodi Bara lakini wanatoa huduma mpaka Zanzibar. Fedha wanazolipia za kodi ni kwa ajili ya kutoa huduma mpaka Zanzibar, ila sasa TRA hawagawi mgao wa fedha zinazotokana na makampuni kwa Zanzibar.
Hiyo ni mifano miwili na ipo mengi tu kwenye kila sekta inayohusu Muungano.
Kwa kifupi wanachokifanya Serekali ya SMT, ni wizi wa mchana kabisa, Kila mwaka wanawaibia Zanzibar karibu 1 trillion. kwa kipindi cha miaka kumi kiharaka haraka Zanzibar wanaidai Tanzania fedha isiyopungua Trillion 10.
yaani, kila mmoja akusanye mapato kwenye nafasi yake. kama ni watalii wanaenda zanzibar, wakatoe visa pale zanzibar kwasababu si nchi ile? kama ni kukusanya mapato basi kuwe na ZRA ya kwao, nchi mbili zikusanye mapato kila mmoja kwa nafasi yake halafu kila mmoja sasa achangie kwenye muungano.Mi naona kuweka vitu simple Zanzibar iwe na ZRA, iwe inakusanya mapato yenyewe ila shida sasa kwenye kugaramia shughuli za muungano itabidi Zanzibar ichangie. Au shughuli za muungano zipunguzwe zaidi ibaki moja tu ya Ulinzi.
Kwahiyo na hili deni letu la taifa la 71tr wao pia wanachangia asilimia ngapi?..au tunagawana nusu kwa nusu.[emoji28][emoji28]Binafsi sina shida kama hiyo 4% itahusisha mapato na madeni. Kama ni mapato tu, hapo kuna tatizo.
To upompoma wako..mbara ni mgeni huko hatambuliki..ndio mana kuna kitambulisho cha ukaazi..kukipata mpka ukae miaka mitatu..sasa hii ni Tanzania au malawi..kwani NIDA haitoshi?Kwanza hii asilimia 4 ipo zamani kidogo na siyo jana au juzi.
Pili ni kwamba share ya Zanzibar katika kuanzisha BoT ilikuwa hailipwi, bara wanaipiga kimya kimya kwa miaka mingi.
Unalalamika kwamba ukifika Zanzibar unaonekana kama ni mgeni fulani hivi, hiyo ni kawaida hata kwa Wazanzibar walioko bara, na hata kwa wewe mwenyewe ukenda kwenye mkoa au wilaya siyo asili yako lazima utajulikana tu.