4% ya mapato kwenda Zanzibar kama Hoja ya Muungano

4% ya mapato kwenda Zanzibar kama Hoja ya Muungano

4% ya ulichosema ni kwa ajili ya mambo ya Muungano.
Muungano ni gharama wala sio bra bra sijui nani anachangia nini wapi na lini.
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi moja, kama ambavyo fedha zinatolewa Kigoma /Mbeya zinakwenda Singida /Kilimanjaro & kinyume yake ndivyo ambavyo zinatakiwa zipelekwe Pemba /Unguja.
Maendeleo ni kwa ajili wote ndani ya JMT.
Zanzibar ni muhimu kuliko tunavyodhani, ukitaka kujua umuhimu huo ebu ishi Mikoa ya Pwani walau kwa miaka 10.
 
Kuna hoja nimekuta watu wanaongea, ni kuhusu kile ambacho mama amesema waziri wa fedha akakae na mwenzake wajadili na kusuluhisha katika kero za muungano. Ninaupenda sana Muungano,ninauunga mkono. lakini, nilijiuliza kitu kimoja, mimi kama mtu wa bara sitaki tupigwe pia kama wazenji wasivyopenda kupigwa.

1. hivi Zanzibar inachangia kitu gani kwenye kwa Tz bara kinachowastahilisha tuwagawie hiyo asilimia? Bara inafaidika nini toka Zanzibar?

2. Mgao unaoongelewa ni wa misaada toka nje, au ni mapato ya nchi (pato la madini bara, TRA, navitu vyote vya bara)?

3. kama ni mapato ya nchi, kwani TRA haipo Zanzibar ya kikwaokwao?

4. proportion ya wingi wa watu + ukubwa wa eneo vinazingatiwaje wakati wa kugawa pato ya muungano?

5. kwanini marais waliopita walikuwa hawashughulikii hilo jambo, kulikuwa na kitu gani walichokiona? including one of them who was Zanzibari.

6. kwa anayeelewa, naomba anieleweshe hili jambo kwasababu kama vile tu zanji wasivyopenda kupigwa, mimi kama mtu wa bara pia sipendi na sikubali.

Naongea hivi kwasababu watu wanavyoongea mtaani wanaongea kama vile kwasababu mama ni mzanzibar basi wanaona wazanzibar wanaweza kupitisha vitu vingi sana ambavo vilikuwa havipiti kwa awamu za nyuma ambazo nyingi hazikushikwa na rais wa zanzibar.

MWISHO: siongei kwa ubaya, wala kwa unafiki, ila ninaongea kinachoongelewa mitaani. Ninamwamini mama atafanya makubwa. Ila naamini tunatakiwa kuwa na busara ya hali ya juu kwasababu kuna mambo tunaweza kufanya tukifikiri tunajenga muungano kumbe ndio tunauweka kwenye mazingira ya kubomoka kabisa.
Unauliza juu ya marais waliopita kutolishughulikia hilo, napenda kukukumbusha tu kuwa kinachoitwa KERO ZA MUUNGANO zipo toka wakati wa Nyerere. Ni nyingi kimsingi ikiwa pamoja na hilo, marais wengine walilifumbia macho.

Ukiliona hilo ni gumu kwako au kwa Tanzania bara kuna suluhisho jingine. Nalo ni kuwaitoa wizara ya fedha kutokuwa ya muungano kama zilivyokuwa baadhi ya wizara. Hii itaiwezesha Zzibar kutafuta mapato yao wenyewe ikiwa pamoja na kukopa nje, misaada na hata kutafuta washirika wa kibiashara ndani na nje.

Mwisho hivi katika miradi mikubwa (SGR, BOMBA LA MAFUTA, Umeme, Fly over , mwendo kasi) aliyokuwa anaifanya Hayati Magu, ni mradi gani mkubwa aliufanya kule Zanzibar?
 
Kwenye Katiba kumeainisha vitu ambavyo ni vya muungano na vingine sio vya muungano, mfano mafuta na gesi au madini, wazanzibari wanadeka sana na huyu mwenzao kaja naona ndio ameamua kuwabeba muda sio mrefu atatuletea habari za Chato nyingine.

Huu muungano sio koti alisema Karume, kuendelea nao ni kujiumiza vichwa bure, hao marais wenyewe wanatoka Zanzibar kuja kututawala bara, kwanini siku nyingine asitoke Rais bara akatawale Zanzibar?
We fala kweli yani vipindi vyote huoni kama Rais wa muungano wa bara anatawala Zanzibar .. acha roho mbaya wewe dogo Rais wa zanzibar ni kama boya tu Rais wa Jamhuri wa Mungano wa Tanzania ni anajulikana duniani kichwa panzi wee.
 
Mkuu, mbona hii ni simple. Ni kama vile ambavo dhabu na gesi ya Tanganyika haiwahusu wazanzibari.

Haiwahusu wakati wanataka wagawiwe 4% ya chenchi ya matumizi ya Muungano? Dhahabu na gesi havina chenji kwenye matumizi ya Muungano?
 
Zanzibar haichangii chochote, yeye mwenyewe Samia mshahara wake na marupurupu yote ni jasho la watanganyika

TRA ipo zanzibar lakini inakusanya mapato kwenye maeneo chache sana, na kisha mapato yote huachwa Zanzibar (hakuna shilingi inayokusanywa Zanzibar huvuka maji)

Orodhesha hayo maeneo machache ni kama yapi tuyajue
 
3. zaidi ya yote, wazanzibar bara wengi sana sana na binafsi huwa nawaona ni watz wala si wazazibar, pamoja na kwamba wao huwa wanapenda kujionyesha ni wa kisiwani sio wa uku. wanafaidika na chochote kinachofanywa na serikali ya muungano. sasa kama raia wao wanakula matunda ya muungano, utasemaje wanatudai? wanatudai chakula ambacho tulipokitenga hadi watoto wao wamekula? na kwanini sisi hatumiliki ardhi kisiwani wakati wao wanamiliki ardhi hadi migodi bara?

Mkuu umefika Zanzibar? umeona wabara waliokuepo Zanzibar? 80% ya wafanykazi wa mahoteli ni wabara. sasa hiyo hoja ya kuwa wazanzibar bara wapo wengi haina mashiko, mana hata Zanzibar wabara wapo wengi
 
2. makampuni ya simu:- naona zanzibar hapo wanafaidika kwa kupata huduma zao, kwasababu kama isingekuwa bara sidhani kama kungekuwa na kampuni la simu lingeenda kwao kugombania wateja chini ya milioni moja. kwahiyo wanapata huduma za simu kwa mgongo wa population ya bara, hapo washukuru wasilaumu. kama vipi wapige marufuku yasitoe huduma kule kama wataweza.
Wanafaidika kwa kipi? kwa makampuni kufanya kazi zao bila ya kulipa kodi?
 
Mi naona kuweka vitu simple Zanzibar iwe na ZRA, iwe inakusanya mapato yenyewe ila shida sasa kwenye kugaramia shughuli za muungano itabidi Zanzibar ichangie. Au shughuli za muungano zipunguzwe zaidi ibaki moja tu ya Ulinzi.

Mkuu mapato ya nchi hayatokani na kodi za TRA tu, kuna na source nyengine za mapato katika nchi
 
kuna kipindi nilisikia wanalalamika kuwa ukiagiza bidhaa toka zenji, inakuwa imelipiwa ushuru zenji lakini ikifika dsm inalipiwa tena. ina maana kule wana ushuru wa kikwao na wana makusanyo ya pesa ya kikwao.

Iko hivi mfano umennua Tv Zanzibar inch 38 kwa 300,000/= ile Tv unalipa usafiri kwenye boat 15,000/= unalipia bandari 5,000/= unasafiri na TV yako ZRB office pale Babdarin Zanzibar hawakugusi ukishuka pale Ferry dar kuna office ya TRA wanapima mizigo na kupekua mikoba pale sasa unalipia 30,000/= kama freezer 50,000 kama kubwa laki moja the same kwa bidhaa nyengne zozote electronics na nyengne mfano kama bidhaa za nyumbani zikizidi tano kwa items moja mfano umennua sufuria Zanzibar zikawa 5 kwa items hiyo hiyo ( sare) unalipa kodi haijalishi sio electronic na ukinnua kitu Tanganyika kikawa hivo pia unalipa kodi Zanzibar ukifka tu bandarin hakuna kitu utannua bila kulipa kodi
 
Kuna hoja nimekuta watu wanaongea, ni kuhusu kile ambacho mama amesema waziri wa fedha akakae na mwenzake wajadili na kusuluhisha katika kero za muungano. Ninaupenda sana Muungano,ninauunga mkono. lakini, nilijiuliza kitu kimoja, mimi kama mtu wa bara sitaki tupigwe pia kama wazenji wasivyopenda kupigwa.

1. hivi Zanzibar inachangia kitu gani kwenye kwa Tz bara kinachowastahilisha tuwagawie hiyo asilimia? Bara inafaidika nini toka Zanzibar?

2. Mgao unaoongelewa ni wa misaada toka nje, au ni mapato ya nchi (pato la madini bara, TRA, navitu vyote vya bara)?

3. kama ni mapato ya nchi, kwani TRA haipo Zanzibar ya kikwaokwao?

4. proportion ya wingi wa watu + ukubwa wa eneo vinazingatiwaje wakati wa kugawa pato ya muungano?

5. kwanini marais waliopita walikuwa hawashughulikii hilo jambo, kulikuwa na kitu gani walichokiona? including one of them who was Zanzibari.

6. kwa anayeelewa, naomba anieleweshe hili jambo kwasababu kama vile tu zanji wasivyopenda kupigwa, mimi kama mtu wa bara pia sipendi na sikubali.

Naongea hivi kwasababu watu wanavyoongea mtaani wanaongea kama vile kwasababu mama ni mzanzibar basi wanaona wazanzibar wanaweza kupitisha vitu vingi sana ambavo vilikuwa havipiti kwa awamu za nyuma ambazo nyingi hazikushikwa na rais wa zanzibar.

MWISHO: siongei kwa ubaya, wala kwa unafiki, ila ninaongea kinachoongelewa mitaani. Ninamwamini mama atafanya makubwa. Ila naamini tunatakiwa kuwa na busara ya hali ya juu kwasababu kuna mambo tunaweza kufanya tukifikiri tunajenga muungano kumbe ndio tunauweka kwenye mazingira ya kubomoka kabisa.
Wewe unaambiwa Zanzibar wamechangia zaidi ya 60% mchango wa kuanzishwa BOT halafu unasema 4% zanzibar kwa nini wakati Zanzibar ata 50% bado Tanganyika itakuwa wanaionea Zanzibar.,

Halafu Tanganyika wanajisahau sana kwenye hili wanaangalia idadi ya watu wakati Tanganyika walipoungana na zanzibar waliungana kama nchi na nchi.
 
Zanzibar ilikuwa nchi huru kabla ya Muungano, lakini ni mali halali ya Sultan wa Oman. Muungano ni ukuta tu uliojengwa kumzuia mwenye chake asidai haki yake aliyodhurumiwa na mapinduzi MATUKUFU. Zanzibar mkiona vema kujitenga mjue Sultani anaweza kuja kudai chake kama hajasamehe.
Hizi zilipendwa mkuu!
 
Kila nchi iwe na mapato yake. Almasi ya Mwadui iende kuwanufaisha Shinyanga na Tanganyika full stop... Hao sijui ndugu zetu Wazanzibari wakae na miradi yao... Eti Sato na Sangara wa Mwanza waende kupeleka maendeleo Pemba [emoji15] Hakuna hicho kitu....
 
Halafu huyu mama sometimes naona amekuja kutuchanganya tu, hii huruma anayoiweka mbele badala ya kutumia akili atatuumiza, hao wazanzibar wenzake wana bunge, mahakama, serikali, jeshi, kuonesha kwamba wana mamlaka wanajitegemea, sasa hii kuwabeba beba mara umeme, bado tuwagawie 4% maana yake nini?
Kumbuka kuwa yeye mwenyewe ni Mzenji,kwa hiyo usishangae hiyo asilimia 4 ikapanda ikafika hata 40%.Mimi nomeshaona dalili za kuibeba Zanzibar kwa mbeleko ya chuma.
 
Back
Top Bottom