Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,631
- 3,527
4% ya ulichosema ni kwa ajili ya mambo ya Muungano.
Muungano ni gharama wala sio bra bra sijui nani anachangia nini wapi na lini.
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi moja, kama ambavyo fedha zinatolewa Kigoma /Mbeya zinakwenda Singida /Kilimanjaro & kinyume yake ndivyo ambavyo zinatakiwa zipelekwe Pemba /Unguja.
Maendeleo ni kwa ajili wote ndani ya JMT.
Zanzibar ni muhimu kuliko tunavyodhani, ukitaka kujua umuhimu huo ebu ishi Mikoa ya Pwani walau kwa miaka 10.
Muungano ni gharama wala sio bra bra sijui nani anachangia nini wapi na lini.
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi moja, kama ambavyo fedha zinatolewa Kigoma /Mbeya zinakwenda Singida /Kilimanjaro & kinyume yake ndivyo ambavyo zinatakiwa zipelekwe Pemba /Unguja.
Maendeleo ni kwa ajili wote ndani ya JMT.
Zanzibar ni muhimu kuliko tunavyodhani, ukitaka kujua umuhimu huo ebu ishi Mikoa ya Pwani walau kwa miaka 10.