Kumbuka kuwa yeye mwenyewe ni Mzenji,kwa hiyo usishangae hiyo asilimia 4 ikapanda ikafika hata 40%.Mimi nomeshaona dalili za kuibeba Zanzibar kwa mbeleko ya chuma.
Hizo ni pesa kutoka nje mfano shirika la mpira wa miguu fifa pesa za mashiirika ya nje kama who pesa zinazotoka ktk numuiya za madola na mengine mingi tu jee unajua kama tanganyika ilikua hawana kiti umoja wa mataifa wana tumia kiti cha zanzibar na jee unajua zanzibar wanabendera lkn tanganyika hawanaKuna hoja nimekuta watu wanaongea, ni kuhusu kile ambacho mama amesema waziri wa fedha akakae na mwenzake wajadili na kusuluhisha katika kero za muungano. Ninaupenda sana Muungano,ninauunga mkono. lakini, nilijiuliza kitu kimoja, mimi kama mtu wa bara sitaki tupigwe pia kama wazenji wasivyopenda kupigwa.
1. hivi Zanzibar inachangia kitu gani kwenye kwa Tz bara kinachowastahilisha tuwagawie hiyo asilimia? Bara inafaidika nini toka Zanzibar?
2. Mgao unaoongelewa ni wa misaada toka nje, au ni mapato ya nchi (pato la madini bara, TRA, navitu vyote vya bara)?
3. kama ni mapato ya nchi, kwani TRA haipo Zanzibar ya kikwaokwao?
4. proportion ya wingi wa watu + ukubwa wa eneo vinazingatiwaje wakati wa kugawa pato ya muungano?
5. kwanini marais waliopita walikuwa hawashughulikii hilo jambo, kulikuwa na kitu gani walichokiona? including one of them who was Zanzibari.
6. kwa anayeelewa, naomba anieleweshe hili jambo kwasababu kama vile tu zanji wasivyopenda kupigwa, mimi kama mtu wa bara pia sipendi na sikubali.
Naongea hivi kwasababu watu wanavyoongea mtaani wanaongea kama vile kwasababu mama ni mzanzibar basi wanaona wazanzibar wanaweza kupitisha vitu vingi sana ambavo vilikuwa havipiti kwa awamu za nyuma ambazo nyingi hazikushikwa na rais wa zanzibar.
MWISHO: siongei kwa ubaya, wala kwa unafiki, ila ninaongea kinachoongelewa mitaani. Ninamwamini mama atafanya makubwa. Ila naamini tunatakiwa kuwa na busara ya hali ya juu kwasababu kuna mambo tunaweza kufanya tukifikiri tunajenga muungano kumbe ndio tunauweka kwenye mazingira ya kubomoka kabisa.
Sio misaada ni bakaa ya pato la muungano, hapa kuna vitu tunachanganya. Soma bandiko moja huko juu kuna mtu alielezea vizuri ingawa mwishoni alimaliza kwa jazbaUnajua Sky Eclat watu huwa wanajadili hata wasichokifahamu! Mleta mada mwenyewe amekurupuka kulalamika badala ya kuishia kuuliza swali yeye ametafasiri moja kwa moja kwamba kinachogawanwa ni pato la Taifa (kitu ambacho ni ujinga kuhoji!). Malalamiko ya Zanzibar yamekuwa kwenye kupunjwa fedha za misaada ambayo kwenye hati za muungano imetamkwa namna watakavyogawana hiyo misaada, sasa mama amekuja kuhakikisha makubaliano yanatekelezwa!
Yaani Tunaelekea kubaya sana,Mama huyu anajaribu kuleta hoja za kichokozi ili makusudi kuibeba Zanzibar,si nyumbani.Sasa Ina maana ipi kuwa na Muungano utadhani Tanganyika Tuko na Koloni lenye watu wavivu wenye kutegemea kubebwa???? [emoji16]
Yaani Tunaelekea kubaya sana,Mama huyu anajaribu kuleta hoja za kichokozi ili makusudi kuibeba Zanzibar,si nyumbani.
Hizo ni pesa kutoka nje mfano shirika la mpira wa miguu fifa pesa za mashiirika ya nje kama who pesa zinazotoka ktk numuiya za madola na mengine mingi tu jee unajua kama tanganyika ilikua hawana kiti umoja wa mataifa wana tumia kiti cha zanzibar na jee unajua zanzibar wanabendera lkn tanganyika hawana
Kama hamuutaki uvunjeni Muungano,Matakwa yanataka Jamhuri ilipe 4% kwenda SMZ.
Wanao ngangania huu muungano ni watanganyika siyo wa zanzibar na kila rais wa ccm asema yuko tayari kulinda mungano hata damu imwagike lkn mungano uwepo mashekhe wa uamsho wamo ndani kwa kutaka mamlaka kamili ya zanzibarYaani Tunaelekea kubaya sana,Mama huyu anajaribu kuleta hoja za kichokozi ili makusudi kuibeba Zanzibar,si nyumbani.
Kweli Mkuu.Kama hamuutaki uvunjeni Muungano,Matakwa yanataka Jamhuri ilipe 4% kwenda SMZ.
afu hiyo 4 pcnt wanailipa wanzanzibar au tanz bara?Ninavyoelewa ni 4% ya misaada kutoka nje in atakuwa kwenda SMZ.
Inasikitisha sana Mkuu.Kweli Mkuu.
Deni la Taifa limefikia 70 Tilion,ni Taifa la JMT.
Kama ni kwa sula hiyo ni sawa kwa kuwa inaleta ukakasi eti mwenzako amekopa kwa kazi fulani afu akugawie wewe ambaye huna mango kazi na hizo pesa..wajengewe uwezo wa kukopa...Msaada sawa kama haujalenga eneo maalumu. Mkopo si unachukuliwa kufanya kitu husika. Mkopo wa kujenga stigilazi ZNZ wa gawiwe wa nini? Hili la mkopo wasaidiwe kwa kudhaminiwa kama watakuwa na mkakati wa kuulipa.
Kwanza nikukumbushe Kitu kimoja. Kabla ya huu unaoitwa Muungano kulikuwa na Jumuiya ya Afrika Mashariki ambapo Zanzibar ilikuwa Mwanachama na Tanganyika ilkuwa mwanachama. Ilipovunjwa jumuiya Afrika mashariki Pesa za Zanzibar na Za Tanganyika pia zilichukuliwa na Tanganyika zote na ikaanzishwa hio tunaiita BOT. Tokea Wakati huo Zanzibar haijawahi kupewa Pesa zake wela kupewa faida yoyte kutoka BOT.Kuna hoja nimekuta watu wanaongea, ni kuhusu kile ambacho mama amesema waziri wa fedha akakae na mwenzake wajadili na kusuluhisha katika kero za muungano. Ninaupenda sana Muungano,ninauunga mkono. lakini, nilijiuliza kitu kimoja, mimi kama mtu wa bara sitaki tupigwe pia kama wazenji wasivyopenda kupigwa.
1. hivi Zanzibar inachangia kitu gani kwenye kwa Tz bara kinachowastahilisha tuwagawie hiyo asilimia? Bara inafaidika nini toka Zanzibar?
2. Mgao unaoongelewa ni wa misaada toka nje, au ni mapato ya nchi (pato la madini bara, TRA, navitu vyote vya bara)?
3. kama ni mapato ya nchi, kwani TRA haipo Zanzibar ya kikwaokwao?
4. proportion ya wingi wa watu + ukubwa wa eneo vinazingatiwaje wakati wa kugawa pato ya muungano?
5. kwanini marais waliopita walikuwa hawashughulikii hilo jambo, kulikuwa na kitu gani walichokiona? including one of them who was Zanzibari.
6. kwa anayeelewa, naomba anieleweshe hili jambo kwasababu kama vile tu zanji wasivyopenda kupigwa, mimi kama mtu wa bara pia sipendi na sikubali.
Naongea hivi kwasababu watu wanavyoongea mtaani wanaongea kama vile kwasababu mama ni mzanzibar basi wanaona wazanzibar wanaweza kupitisha vitu vingi sana ambavo vilikuwa havipiti kwa awamu za nyuma ambazo nyingi hazikushikwa na rais wa zanzibar.
MWISHO: siongei kwa ubaya, wala kwa unafiki, ila ninaongea kinachoongelewa mitaani. Ninamwamini mama atafanya makubwa. Ila naamini tunatakiwa kuwa na busara ya hali ya juu kwasababu kuna mambo tunaweza kufanya tukifikiri tunajenga muungano kumbe ndio tunauweka kwenye mazingira ya kubomoka kabisa.
wanakusanya vitu vinavyobaki znz au vinatoka au kupitia znz kwenda bara?Usichokifahamu ni kwamba TRA wanakusanya kodi hadi Zanzibar. Ndio maana sheria inataka 4% ya mapato yote Tanzania iende Zanzibar. Tena hio 4% kwa maoni yangu ni ndongo ingepaswa walau 15%.
Kwenu Modis,
Hivi matusi kama haya yanaruhusiwa humu javini?
Heeee! sijui historia hiyo uliisoma wapi kuwa Zanzibar ni mali ya Sultani wa Oman. Kwani Tanganyika iliyotawaliwa na Muingereza ilikuwa mali yake? Hebu wacheni siasa za majitaka hizo hao waOman uchumi wao ni mkubwa wala hawana shida na Wazanzibari njaa.Zanzibar ilikuwa nchi huru kabla ya Muungano, lakini ni mali halali ya Sultan wa Oman. Muungano ni ukuta tu uliojengwa kumzuia mwenye chake asidai haki yake aliyodhurumiwa na mapinduzi MATUKUFU. Zanzibar mkiona vema kujitenga mjue Sultani anaweza kuja kudai chake kama hajasamehe.
Tena wengi kweli kweli. Hata wauza urojo kule Forodhani siku hizi wanatoka bara!Mkuu umefika Zanzibar? umeona wabara waliokuepo Zanzibar? 80% ya wafanykazi wa mahoteli ni wabara. sasa hiyo hoja ya kuwa wazanzibar bara wapo wengi haina mashiko, mana hata Zanzibar wabara wapo wengi
Kama wana ZRB kwa nn pia wana TRA kwahio wao wanalipa kodi mara 2 ndio maana nikasema kama wana TRA basi ni haki yao kupata zaidi ya hio 4%