46% ya Wanawake wa Zanzibar ni Wanene Kupita Kiasi, Tanzania Bara ni 36%

46% ya Wanawake wa Zanzibar ni Wanene Kupita Kiasi, Tanzania Bara ni 36%

Halafu sijui ni shetani au ni nini, juzi tu nmewaza kwa sauti nikajisemea "nipunguze kidogo kula" cha ajabu hiyo jana nmeamka na apetite ya hatari asubuhi nmekula chapati tatu... Shetani ana nguvu kuliko breakdown
Mwenzako nakula wali maharage, asubuhi mchana na jioni. Mlo size ya mwanaume...sijui ni hii baridi inaleta njaa nashindwa kuelewa
 
Yani niilete huko ipigwe vumbi??? Hapana kaka piga tu punyeto
Alafu nyiee watoto wakike acheni dharau...kwani mbususu ikipigwa vumbi inashindwa kutoa utelezi toka lini? Ingekuwa hivyo leo hii tusingekuwa hapa tunachapa marimba ya mzungu🤣🤣🤣🤣🤣
 
Unene wa Zanzibar unatokaba na kuzaa sana sio kula ,chunguza hilo unene anaopata mwanamke baada ya kuzaa .
Wanakula sana Wanga, Zanzibar chakula yao kubwa ni ngano na mchele na mihogo basi.
 
Mr safuher kuna mada hapa na wengine wanaopenda kujua kuhusu uzito sukari na afya mbalimbali muwe na subira tu link zinachelewa kufunguka ila ni madini ukiwa na subira kdooogo


Jichagulie mwenyewe cha kusoma hapa (presha, sukari?, ulcers, utajiri, ujasiriamali?)
Adante sana mkuu.

Ngoja tuingie mgodini tukaongeze maarifa
 
Mkuu safuher nimelipata zuri zaidi kwa wanawake wa Zanzibar. Kumbe inawezekana vita yao sio kuwaogopa wanaume

Ni baada ya kuangalizishwa kwa lazma nyimbo mbili tatu za taarab nikiwa safarini. Nyimbo ambazo sio maarufu kabisa kanda nyingine

Wanawake wa Zenji wana vita kubwa sana ya muda wote. Kuwaza wanasemwa wanasemana na kuoneana wivu na wenzao. Lakini pia wanawalinda waume zao wasiibiane wao kwa wao. Ni vita kubwa iliyo endelevu.

Hivyo miili yao hujitunzia akiba zaidi wakati huo wa 'dhiki'.
Tuendelee na utafiti. Na mtu yeyote ukigundua nipo biased, niumbue hapahapa
 
Unajua hizo asilimia 46 ya Zanzibar mzima ni Sawa na MKOA wa DAR TU?HIVYO hii tafiti sio ya ukweli
 
Halafu sijui ni shetani au ni nini, juzi tu nmewaza kwa sauti nikajisemea "nipunguze kidogo kula" cha ajabu hiyo jana nmeamka na apetite ya hatari asubuhi nmekula chapati tatu... Shetani ana nguvu kuliko breakdown
Yaani chapati tatu ndio umekula sana,.??
 
Back
Top Bottom