INAUZWA 4in 1 Printer for sale

INAUZWA 4in 1 Printer for sale

Fibanochi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2018
Posts
476
Reaction score
1,018
Wakuu nauza printer 4 in one yani ina scan,copy,print na fax kwa shilingi laki 760000, imenumuliwa mwaka jana kwa milioni 3 , hii ni Canon MF i5980dw ni wireless unaweza print bila kuunganisha wire, ipo Dar. Tuwasiliane kwa pm for more details
20180613_072708.jpg
20180613_072711.jpg
 
Last edited:
why ununue milion 3 na uuze laki saba.. kuna taarifa nahisi unaificha.. je ni mbovu?
 
Bei laki 720,000/-????.......bei kubwa sana.
Kubwa kwa kipimo kipi? Printer kama ilivyo kifaa kingine cha electronic kama simu, ipad, friji nk hutofautiana bei bei kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ubora, functions, na features nyingine ,nk.....mfano hii ni mulfi functional printer DW Canon ni moja ya sophisticated version ya Canon, sy printer kama printer za kawaida ina uwezo wa kuprint na kugeuza karatasi yenyewe(sy kila printer ina hii feature) unaweza tumia kama fax, ina wireless feature ambayo ndy msingi wake, inakufanya uweze kuprint document hata kwa kutumia simu yako ya mkononi bila kuunganisha waya wwt, na unaweza pia unganisha users kama zaidi ya watano kila mtu akawa anaweza print remotely kwa kutumia kifaa chake laptop au simu....unaweza Google for more detailed info.
 
Last edited:
why ununue milion 3 na uuze laki saba.. kuna taarifa nahisi unaificha.. je ni mbovu?
Unahitaji kwani? Watanzania mbona tuna shida sana na hatujielewi nn tunataka. Kwa taarifa tu sy mbovu na inafanya kazi vzr kama ni muhitaji sema tufanye biashara
 
Mkuu laserjet printer kwa sasa zinatumika ofisi za serikali tu.
 
Kubwa kwa kipimo kipi? Printer kama ilivyo kifaa kingine cha electronic kama simu, ipad, friji nk hutofautiana bei bei kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ubora, functions, na features nyingine ,nk.....mfano hii ni mulfi functional printer DW Canon ni moja ya sophisticated version ya Canon, sy printer kama printer za kawaida ina uwezo wa kuprint na kugeuza karatasi yenyewe(sy kila printer ina hii feature) unaweza tumia kama fax, ina wireless feature ambayo ndy msingi wake, inakufanya uweze kuprint document hata kwa kutumia simu yako ya mkononi bila kuunganisha waya wwt, na unaweza pia unganisha users kama zaidi ya watano kila mtu akawa anaweza print remotely kwa kutumia kifaa chake laptop au simu....unaweza Google for more detailed info.
Hivi milioni 1,000,000 ni sawa na 1,000,000?
 
Inatumia wino namba ngapi na bei ya wino!
Maana kitu kizuri sana hicho!
Boss bahati mbaya sijawahi badilisha wino tangu niinunue, lkn wake unapatikana canon city duka maalum la Canon.
 
Machine kali sana hii sema watu tunadoubt hiyo depreciation ya bei
 
Afadhali nmekutana na hii comment, mkuu naomba nielimishe kidogo utofaut wa LaserJet na ink jet mana huwa nayaona tu haya maneno kwenye mambo ya printer
 
Back
Top Bottom