Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Ngoja tusikie na upande wa kina FaizaFoxy Sir John Roberts Pascal Mayalla Lucas mwashambwa na johnthebaptist
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante kwa taarifa, tutayafanyia kazi.Rais Samia nimemaliza kumsoma na kuelewa mbinu anazotumia ktk uongozi wake. Anatumia 4U (Uongo, ulaghai, ucheleweshaji na upotoshaji), na siyo 4R kama alivyoutangazia umma. Nitatoa mifano ktk kuelezea hoja yangu.
Mfano wa kwanza
Aliudanganya umma (uongo) kwamba anataka 4R ili kuwepo na maridhiano (reconciliation), ustahimilivu (resilience) mabadiliko (reforms) na ujenzi mpya wa taifa (rebuild).
Akakilaghai (ulaghai) chama kikuu cha upinzani Chadema kuanza kukaa vikao na ccm ili kuyasaka maridhiano. Hoja na mapendekezo mengi yalitolewa ktk mazungumzo hayo.
Hakuishia hapo. Rais huyu aliunda kikosi kazi cha kupendekeza mabadiliko ya sheria. Hoja nyingi Sana ziliibuliwa na kupendekeza namna bora ya kuipatia katiba mpya. Naye rais aliibuka na kusema angependa katiba iandikwe na jopo la wadau na wataalamu pasipo kuleta zogo nchini. Watu wakapiga makofi na kusubiri utekelezaji .
Rais Samia akatumia mbinu ya kuchelewesha (ucheleweshaji) utekelezaji wa mapendekezo na hoja zalilizoibuliwa na vikao vya maridhiano na kikosi kazi.
Mwishowe rais kaja kupotosha(upotoshaji) kabisa kwamba katiba siyo mali ya wanasiasa bali ni mali ya wananchi. Hivyo elimu yapaswa kutolewa kwanza kwa miaka 3 ili wananchi waelewe ndipo iandikwe.
Mfano wa pili.
Aliwatumbua akina Lukuvi na Kabudi na akatulaghai watanzania kwamba anawafanya kuwa washauri wake lkn kumbe lengo ni kuwadhibiti wasifanye siasa za kuelekea 2025
Aliudanganya umma kwamba yeye anapenda sana kukosolewa lkn alipokosolewa na Ndugai kuhusu tabia yake ya kukopa mikopo sana alimtumbua haraka sana.
Tumeona pia kwenye ukosoaji wa sakata la DP World akina Mwabukusi wakipata shida, Dr. Slaa akivuliwa hadhi ya ubalozi na padre Kitima akinangwa hadharani na makamu wa rais.
Sasa kaingia kuzitunia 4U zake kwa wanaccm wa Kanda pendwa. Wanateuliwa kila uchwao na wao wanachekelea. Wanasahau kuwa mwanzo alionesha kuwachukia sana. Na hawajiulizi nini kimetokea hivi Sasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu ndiyo wanateuliwa? Bila shaka anazitumia 4U ili kuyafikia malengo yake kisiasa. Baada ya hapo kundi hili toka Kanda pendwa litatupwa kama karai jalalani.
Tunzeni andiko hili siku moja itakuwa rejea muhimu kwenu.
Wanasiasa wapo hivyo, hamjazoea tu ?
Huyu mama bado mnamfatilIia ..mimi nimeshaampuzia siku nyingiRais Samia nimemaliza kumsoma na kuelewa mbinu anazotumia ktk uongozi wake. Anatumia 4U (Uongo, ulaghai, ucheleweshaji na upotoshaji), na siyo 4R kama alivyoutangazia umma. Nitatoa mifano ktk kuelezea hoja yangu.
Mfano wa kwanza
Aliudanganya umma (uongo) kwamba anataka 4R ili kuwepo na maridhiano (reconciliation), ustahimilivu (resilience) mabadiliko (reforms) na ujenzi mpya wa taifa (rebuild).
Akakilaghai (ulaghai) chama kikuu cha upinzani Chadema kuanza kukaa vikao na ccm ili kuyasaka maridhiano. Hoja na mapendekezo mengi yalitolewa ktk mazungumzo hayo.
Hakuishia hapo. Rais huyu aliunda kikosi kazi cha kupendekeza mabadiliko ya sheria. Hoja nyingi Sana ziliibuliwa na kupendekeza namna bora ya kuipatia katiba mpya. Naye rais aliibuka na kusema angependa katiba iandikwe na jopo la wadau na wataalamu pasipo kuleta zogo nchini. Watu wakapiga makofi na kusubiri utekelezaji .
Rais Samia akatumia mbinu ya kuchelewesha (ucheleweshaji) utekelezaji wa mapendekezo na hoja zalilizoibuliwa na vikao vya maridhiano na kikosi kazi.
Mwishowe rais kaja kupotosha(upotoshaji) kabisa kwamba katiba siyo mali ya wanasiasa bali ni mali ya wananchi. Hivyo elimu yapaswa kutolewa kwanza kwa miaka 3 ili wananchi waelewe ndipo iandikwe.
Mfano wa pili.
Aliwatumbua akina Lukuvi na Kabudi na akatulaghai watanzania kwamba anawafanya kuwa washauri wake lkn kumbe lengo ni kuwadhibiti wasifanye siasa za kuelekea 2025
Aliudanganya umma kwamba yeye anapenda sana kukosolewa lkn alipokosolewa na Ndugai kuhusu tabia yake ya kukopa mikopo sana alimtumbua haraka sana.
Tumeona pia kwenye ukosoaji wa sakata la DP World akina Mwabukusi wakipata shida, Dr. Slaa akivuliwa hadhi ya ubalozi na padre Kitima akinangwa hadharani na makamu wa rais.
Sasa kaingia kuzitunia 4U zake kwa wanaccm wa Kanda pendwa. Wanateuliwa kila uchwao na wao wanachekelea. Wanasahau kuwa mwanzo alionesha kuwachukia sana. Na hawajiulizi nini kimetokea hivi Sasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu ndiyo wanateuliwa? Bila shaka anazitumia 4U ili kuyafikia malengo yake kisiasa. Baada ya hapo kundi hili toka Kanda pendwa litatupwa kama karai jalalani.
Tunzeni andiko hili siku moja itakuwa rejea muhimu kwenu.
Alikuwa amesahau aspect mhim sanaNa Ufisadi, jumla ni 5U.
Mbowe wala hana shida naye kwa kuwa ndio aliyempa kisingizio cha kuipokea ruzuku waliyokuwa wameisusia kishikaji huku roho inaumaToka mwanzo tulisema huyo mama ni tapeli, lakini akina Mbowe wakaingia kichwa kichwa. Lengo la kuwapumbaza wapinzani ilikuwa ni Ili atawale bila pressure toka kwa wapinzani.
Kazi kwelikweli!.Rais Samia nimemaliza kumsoma na kuelewa mbinu anazotumia ktk uongozi wake. Anatumia 4U (Uongo, ulaghai, ucheleweshaji na upotoshaji), na siyo 4R kama alivyoutangazia umma. Nitatoa mifano ktk kuelezea hoja yangu.
Mfano wa kwanza
Aliudanganya umma (uongo) kwamba anataka 4R ili kuwepo na maridhiano (reconciliation), ustahimilivu (resilience) mabadiliko (reforms) na ujenzi mpya wa taifa (rebuild).
Akakilaghai (ulaghai) chama kikuu cha upinzani Chadema kuanza kukaa vikao na ccm ili kuyasaka maridhiano. Hoja na mapendekezo mengi yalitolewa ktk mazungumzo hayo.
Hakuishia hapo. Rais huyu aliunda kikosi kazi cha kupendekeza mabadiliko ya sheria. Hoja nyingi Sana ziliibuliwa na kupendekeza namna bora ya kuipatia katiba mpya. Naye rais aliibuka na kusema angependa katiba iandikwe na jopo la wadau na wataalamu pasipo kuleta zogo nchini. Watu wakapiga makofi na kusubiri utekelezaji .
Rais Samia akatumia mbinu ya kuchelewesha (ucheleweshaji) utekelezaji wa mapendekezo na hoja zalilizoibuliwa na vikao vya maridhiano na kikosi kazi.
Mwishowe rais kaja kupotosha(upotoshaji) kabisa kwamba katiba siyo mali ya wanasiasa bali ni mali ya wananchi. Hivyo elimu yapaswa kutolewa kwanza kwa miaka 3 ili wananchi waelewe ndipo iandikwe.
Mfano wa pili.
Aliwatumbua akina Lukuvi na Kabudi na akatulaghai watanzania kwamba anawafanya kuwa washauri wake lkn kumbe lengo ni kuwadhibiti wasifanye siasa za kuelekea 2025
Aliudanganya umma kwamba yeye anapenda sana kukosolewa lkn alipokosolewa na Ndugai kuhusu tabia yake ya kukopa mikopo sana alimtumbua haraka sana.
Tumeona pia kwenye ukosoaji wa sakata la DP World akina Mwabukusi wakipata shida, Dr. Slaa akivuliwa hadhi ya ubalozi na padre Kitima akinangwa hadharani na makamu wa rais.
Sasa kaingia kuzitunia 4U zake kwa wanaccm wa Kanda pendwa. Wanateuliwa kila uchwao na wao wanachekelea. Wanasahau kuwa mwanzo alionesha kuwachukia sana. Na hawajiulizi nini kimetokea hivi Sasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu ndiyo wanateuliwa? Bila shaka anazitumia 4U ili kuyafikia malengo yake kisiasa. Baada ya hapo kundi hili toka Kanda pendwa litatupwa kama karai jalalani.
Tunzeni andiko hili siku moja itakuwa rejea muhimu kwenu.
Mbowe out, kwa kuingia kichwa kichwa ✌️Toka mwanzo tulisema huyo mama ni tapeli, lakini akina Mbowe wakaingia kichwa kichwa. Lengo la kuwapumbaza wapinzani ilikuwa ni Ili atawale bila pressure toka kwa wapinzani.
We mpumbavu hakuna kanda pendwa nchi hii usituletee maubaguzi yenu ya kipuuzi. Huo upuuzi amekufanao yule msukuma mshamba.Rais Samia nimemaliza kumsoma na kuelewa mbinu anazotumia ktk uongozi wake. Anatumia 4U (Uongo, ulaghai, ucheleweshaji na upotoshaji), na siyo 4R kama alivyoutangazia umma. Nitatoa mifano ktk kuelezea hoja yangu.
Mfano wa kwanza
Aliudanganya umma (uongo) kwamba anataka 4R ili kuwepo na maridhiano (reconciliation), ustahimilivu (resilience) mabadiliko (reforms) na ujenzi mpya wa taifa (rebuild).
Akakilaghai (ulaghai) chama kikuu cha upinzani Chadema kuanza kukaa vikao na ccm ili kuyasaka maridhiano. Hoja na mapendekezo mengi yalitolewa ktk mazungumzo hayo.
Hakuishia hapo. Rais huyu aliunda kikosi kazi cha kupendekeza mabadiliko ya sheria. Hoja nyingi Sana ziliibuliwa na kupendekeza namna bora ya kuipatia katiba mpya. Naye rais aliibuka na kusema angependa katiba iandikwe na jopo la wadau na wataalamu pasipo kuleta zogo nchini. Watu wakapiga makofi na kusubiri utekelezaji .
Rais Samia akatumia mbinu ya kuchelewesha (ucheleweshaji) utekelezaji wa mapendekezo na hoja zalilizoibuliwa na vikao vya maridhiano na kikosi kazi.
Mwishowe rais kaja kupotosha(upotoshaji) kabisa kwamba katiba siyo mali ya wanasiasa bali ni mali ya wananchi. Hivyo elimu yapaswa kutolewa kwanza kwa miaka 3 ili wananchi waelewe ndipo iandikwe.
Mfano wa pili.
Aliwatumbua akina Lukuvi na Kabudi na akatulaghai watanzania kwamba anawafanya kuwa washauri wake lkn kumbe lengo ni kuwadhibiti wasifanye siasa za kuelekea 2025
Aliudanganya umma kwamba yeye anapenda sana kukosolewa lkn alipokosolewa na Ndugai kuhusu tabia yake ya kukopa mikopo sana alimtumbua haraka sana.
Tumeona pia kwenye ukosoaji wa sakata la DP World akina Mwabukusi wakipata shida, Dr. Slaa akivuliwa hadhi ya ubalozi na padre Kitima akinangwa hadharani na makamu wa rais.
Sasa kaingia kuzitunia 4U zake kwa wanaccm wa Kanda pendwa. Wanateuliwa kila uchwao na wao wanachekelea. Wanasahau kuwa mwanzo alionesha kuwachukia sana. Na hawajiulizi nini kimetokea hivi Sasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu ndiyo wanateuliwa? Bila shaka anazitumia 4U ili kuyafikia malengo yake kisiasa. Baada ya hapo kundi hili toka Kanda pendwa litatupwa kama karai jalalani.
Tunzeni andiko hili siku moja itakuwa rejea muhimu kwenu.
Mlaghai mamako aliyekufanya usimjue hata babako halisiHuyo mama ni mlaghai nguli.
Ruzuku ya 100m@month nayo ni kitu Cha maana?Mbowe wala hana shida naye kwa kuwa ndio aliyempa kisingizio cha kuipokea ruzuku waliyokuwa wameisusia kishikaji huku roho inauma
Toka mwanzo tulisema huyo mama ni tapeli, lakini akina Mbowe wakaingia kichwa kichwa. Lengo la kuwapumbaza wapinzani ilikuwa ni Ili atawale bila pressure toka kwa wapinzani.
Kabisa, japo hata hivyo wanaolalamikaga kuibiwa kura havizidi vyama viwili. Hivyo vingine havina Cha kuibiwa, na vingine vipo kama bortion tu ya ccm.Tatizo huwa hatuambiliki, hatushauriki Wala hatujifunzi.
Na Bado kama Congo tutawenda kwenye uchguzi mkuu bila Katiba mpya na wagombea 20+ was urais, kulalamika baadaye kuibiwa kura.
Tuko kama tumerogwa!
Kabisa, japo hata hivyo wanaolalamikaga kuibiwa kura havizidi vyama viwili. Hivyo vingine havina Cha kuibiwa, na vingine vipo kama bortion tu ya ccm.
🤣🤣🤣Rais Samia nimemaliza kumsoma na kuelewa mbinu anazotumia ktk uongozi wake. Anatumia 4U (Uongo, ulaghai, ucheleweshaji na upotoshaji), na siyo 4R kama alivyoutangazia umma. Nitatoa mifano ktk kuelezea hoja yangu.
Mfano wa kwanza
Aliudanganya umma (uongo) kwamba anataka 4R ili kuwepo na maridhiano (reconciliation), ustahimilivu (resilience) mabadiliko (reforms) na ujenzi mpya wa taifa (rebuild).
Akakilaghai (ulaghai) chama kikuu cha upinzani Chadema kuanza kukaa vikao na ccm ili kuyasaka maridhiano. Hoja na mapendekezo mengi yalitolewa ktk mazungumzo hayo.
Hakuishia hapo. Rais huyu aliunda kikosi kazi cha kupendekeza mabadiliko ya sheria. Hoja nyingi Sana ziliibuliwa na kupendekeza namna bora ya kuipatia katiba mpya. Naye rais aliibuka na kusema angependa katiba iandikwe na jopo la wadau na wataalamu pasipo kuleta zogo nchini. Watu wakapiga makofi na kusubiri utekelezaji .
Rais Samia akatumia mbinu ya kuchelewesha (ucheleweshaji) utekelezaji wa mapendekezo na hoja zalilizoibuliwa na vikao vya maridhiano na kikosi kazi.
Mwishowe rais kaja kupotosha(upotoshaji) kabisa kwamba katiba siyo mali ya wanasiasa bali ni mali ya wananchi. Hivyo elimu yapaswa kutolewa kwanza kwa miaka 3 ili wananchi waelewe ndipo iandikwe.
Mfano wa pili.
Aliwatumbua akina Lukuvi na Kabudi na akatulaghai watanzania kwamba anawafanya kuwa washauri wake lkn kumbe lengo ni kuwadhibiti wasifanye siasa za kuelekea 2025
Aliudanganya umma kwamba yeye anapenda sana kukosolewa lkn alipokosolewa na Ndugai kuhusu tabia yake ya kukopa mikopo sana alimtumbua haraka sana.
Tumeona pia kwenye ukosoaji wa sakata la DP World akina Mwabukusi wakipata shida, Dr. Slaa akivuliwa hadhi ya ubalozi na padre Kitima akinangwa hadharani na makamu wa rais.
Sasa kaingia kuzitunia 4U zake kwa wanaccm wa Kanda pendwa. Wanateuliwa kila uchwao na wao wanachekelea. Wanasahau kuwa mwanzo alionesha kuwachukia sana. Na hawajiulizi nini kimetokea hivi Sasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu ndiyo wanateuliwa? Bila shaka anazitumia 4U ili kuyafikia malengo yake kisiasa. Baada ya hapo kundi hili toka Kanda pendwa litatupwa kama karai jalalani.
Tunzeni andiko hili siku moja itakuwa rejea muhimu kwenu.
Kitu nimegundua watanzania wengi wanapenda kuibiwa/kupigwa. Wanafurahia ufisadi/wizi.Rais Samia nimemaliza kumsoma na kuelewa mbinu anazotumia ktk uongozi wake. Anatumia 4U (Uongo, ulaghai, ucheleweshaji na upotoshaji), na siyo 4R kama alivyoutangazia umma. Nitatoa mifano ktk kuelezea hoja yangu.
Mfano wa kwanza
Aliudanganya umma (uongo) kwamba anataka 4R ili kuwepo na maridhiano (reconciliation), ustahimilivu (resilience) mabadiliko (reforms) na ujenzi mpya wa taifa (rebuild).
Akakilaghai (ulaghai) chama kikuu cha upinzani Chadema kuanza kukaa vikao na ccm ili kuyasaka maridhiano. Hoja na mapendekezo mengi yalitolewa ktk mazungumzo hayo.
Hakuishia hapo. Rais huyu aliunda kikosi kazi cha kupendekeza mabadiliko ya sheria. Hoja nyingi Sana ziliibuliwa na kupendekeza namna bora ya kuipatia katiba mpya. Naye rais aliibuka na kusema angependa katiba iandikwe na jopo la wadau na wataalamu pasipo kuleta zogo nchini. Watu wakapiga makofi na kusubiri utekelezaji .
Rais Samia akatumia mbinu ya kuchelewesha (ucheleweshaji) utekelezaji wa mapendekezo na hoja zalilizoibuliwa na vikao vya maridhiano na kikosi kazi.
Mwishowe rais kaja kupotosha(upotoshaji) kabisa kwamba katiba siyo mali ya wanasiasa bali ni mali ya wananchi. Hivyo elimu yapaswa kutolewa kwanza kwa miaka 3 ili wananchi waelewe ndipo iandikwe.
Mfano wa pili.
Aliwatumbua akina Lukuvi na Kabudi na akatulaghai watanzania kwamba anawafanya kuwa washauri wake lkn kumbe lengo ni kuwadhibiti wasifanye siasa za kuelekea 2025
Aliudanganya umma kwamba yeye anapenda sana kukosolewa lkn alipokosolewa na Ndugai kuhusu tabia yake ya kukopa mikopo sana alimtumbua haraka sana.
Tumeona pia kwenye ukosoaji wa sakata la DP World akina Mwabukusi wakipata shida, Dr. Slaa akivuliwa hadhi ya ubalozi na padre Kitima akinangwa hadharani na makamu wa rais.
Sasa kaingia kuzitunia 4U zake kwa wanaccm wa Kanda pendwa. Wanateuliwa kila uchwao na wao wanachekelea. Wanasahau kuwa mwanzo alionesha kuwachukia sana. Na hawajiulizi nini kimetokea hivi Sasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu ndiyo wanateuliwa? Bila shaka anazitumia 4U ili kuyafikia malengo yake kisiasa. Baada ya hapo kundi hili toka Kanda pendwa litatupwa kama karai jalalani.
Tunzeni andiko hili siku moja itakuwa rejea muhimu kwenu.
Bado hamjasemaHakuna Rais hapa, ni bomu Tena la kienyeji.
Aliwaharibu sana yule limbukeni wa madarakaWe mpumbavu hakuna kanda pendwa nchi hii usituletee maubaguzi yenu ya kipuuzi. Huo upuuzi amekufanao yule msukuma mshamba.