"50 Cent" kawapa ngumi za uso wanawake

"50 Cent" kawapa ngumi za uso wanawake

Yupo sahihi 💯
Kwa situation hiyo basi 50cent huenda akakwepa misako kama walivyofanyiwa R. Kelly na P. Diddy.
Nyani Ngabu na Kiranga nipelekeeni ujumbe kwa 50cent kuwa endelee kukaza.
Alishafanyiwa akajichenga akashinda kesi.
Mwanamke alitoka patupu.
50 ndio kuibuka na mihela yoote mpk kesho bata tu.
Madem kafunga vioo.
 
Sidhani kama kuna kiumbe aliyetoka ubavuni mwa Adamu akawa hana standards zake!!
Kila mtu anazo,, ila za mwanamke tu ndiyo zinachukuliwa negative.
Standard za kutumia shimo la bure kupata pesa kwani unafikiri we kwa njaa zako 50cent anaweza akaamini kweli unampenda kama sio unataka simu ya jicho tatu
 
Back
Top Bottom