Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.
Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.
Tunaweza kuwataja bila uonevu?
Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:
Tuendeleze list
- Rostam Azziz
- Edward Lowassa
- Abdulrahman Kinana
- Andrew Chenge
- Idris Rashid,
- Nazir Karamagi,
- Gray Mgonja,
- Basil Mramba,
- Daniel Yona,
- Peter Noni,
- Nimrod Mkono,
- Subash Patel
- Yusuf Manji
- Anna Mkapa
- Johson Lukaza
- Vincent Mrisho
- Frederick Sumaye
- Omari Mahita
- Jeetu Patel
- Sir Andy Chande
- Amatus Liyumba
- Emmanuel Nchimbi
- Shailesh Vithlani
- Tanil Somaiya
- Eric Shigongo
- Patrick Rutabanzibwa
- Felix Mrema (Arusha)
- Laurence Masha
- David Mattaka
- Kingunge Ngombare Mwiru
- Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
- Malegesi Advocates
- Ringo Advocates
- Cleopa David Msuya
- Prof. Mkandara (UDSM)
- Maria Kejo
- Apson Mwang'onda
- Dr Edward Hosea - PCCB
- Ferdinand Ruhinda
- George Lauwo (TRA Customs)
- Cpt. John Chiligati
- Costa Mahalu
- James Sinclair
- Pius Msekwa
- Alex Massawe
- Zakhia Meghji
- Joseph Mungai
- Abdallah Kigoda
- Yusufu Makamba
- Sheikh Yahya Hussein
NOTE: Marais wote kuanzia Mwalimu Nyerere pamoja na raia wote tunahusika kwa namna moja ama nyingine.
ASANTE SANA MKUU,
Duuu kumbe sisi wengine watoto wa umri, lakini kama ikibidi kuwapiga kwa mawe kama walivyo fanya kaka zetu kule Musoma TUTAFANYA TU,naomba utusaidie tuwajue angalau kwa mstari mmoja wenye kujieleza kama ulivyofanya"Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
Mimi naomba niorodheshwe kwenye mgambo wa kujitolewa siku ikifika nielezwe tu,mimi Abdulrahman Kinana n i mjomba wangu lakini siku ikifika nitaongoza twende kwenye maficho yake yoye.(ILI VIZAZI VIJAVYO VIWE NA MAJI SAFI YAKUNYWA WASIWE NA MGAO WA UMEME NA WAWE NA CHAKULA,LAZIMA TUWEPO VULNTEER WA KUUNGANA NA KINA T.LISSU NA KINA ZITTO KABWE)NINAKERWA KWELI, WATU WANAIBA PESA YA NCHI HALAFU WANATUTSA NAYO-YAANI NGOJA TU SIKU IKO,TUTABEBA MAWE NCHI NZIMA)
Naomba kwenye kufafanuliwa nielezwe hawa walifanya nini?
Sir Andy Chande, Sheikh Yahya Hussein
James Sinclair
Patrick Rutabanzibwa
Vincent Mrisho
:bange: MUNGU IBARIKI TANZANIA TUSINYANYUE MAWE.
The buck stops with us, the people. We are the ones who are screwing up our own country by electing these fools who don't know what the heck they are doing up there. These people didn't appoint themselves to be in those positions.
Every five years we get a chance to assess, evaluate, and examine the perfomance of our existing leaders and scrutinize the record of the potential ones. I can confidently say that we do an abysmal job in doing so.
In any other sophisticated society, none of these fisadis would be re-elected into office. But what can I say about us...well...you already know.
Zitto Kabwe
Ibrahim Lipumba
Mustafa Mkullo
Mustafa Mkulo kiboko, yaani huyu pamoja na kuwajibishwa bado maisha yake ni ya juu balaa, Ana mtoto wa kiume kaoa hana kazi wala biashara, ila yuko juu kimaisha, anabadilisha magari tu. Ana mtoto mwingine binti mjinga mjinga mmoja hivi, kwa jinsi mahela ya wizi yalivyomchanganya mpaka kaacha kazi, anabadilisha magari tu mjini hapa, hana kazi wala biashara. Kaolewa ndoa ya pili na mjinga mjinga mwenzie alietelekeza familia yake, sasa anajuta, anaendeshwa kama bushoke........................ watoto wengine wako nje ya nchi wanaishi maisha makubwa zaidi ya mtu anaefanya kazi. Hiyo ndo Tanzania yet inavyomalizwa[/B]
Mustafa Mkulo kiboko, yaani huyu pamoja na kuwajibishwa bado maisha yake ni ya juu balaa, Ana mtoto wa kiume kaoa hana kazi wala biashara, ila yuko juu kimaisha, anabadilisha magari tu. Ana mtoto mwingine binti mjinga mjinga mmoja hivi, kwa jinsi mahela ya wizi yalivyomchanganya mpaka kaacha kazi, anabadilisha magari tu mjini hapa, hana kazi wala biashara. Kaolewa ndoa ya pili na mjinga mjinga mwenzie alietelekeza familia yake, sasa anajuta, anaendeshwa kama bushoke........................ watoto wengine wako nje ya nchi wanaishi maisha makubwa zaidi ya mtu anaefanya kazi. Hiyo ndo Tanzania yet inavyomalizwa[/B]
Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.
Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.
Tunaweza kuwataja bila uonevu?
Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:
Tuendeleze list
- Rostam Azziz
- Edward Lowassa
- Abdulrahman Kinana
- Andrew Chenge
- Idris Rashid,
- Nazir Karamagi,
- Gray Mgonja,
- Basil Mramba,
- Daniel Yona,
- Peter Noni,
- Nimrod Mkono,
- Subash Patel
- Yusuf Manji
- Anna Mkapa
- Johson Lukaza
- Vincent Mrisho
- Frederick Sumaye
- Omari Mahita
- Jeetu Patel
- Sir Andy Chande
- Amatus Liyumba
- Emmanuel Nchimbi
- Shailesh Vithlani
- Tanil Somaiya
- Eric Shigongo
- Patrick Rutabanzibwa
- Felix Mrema (Arusha)
- Laurence Masha
- David Mattaka
- Kingunge Ngombare Mwiru
- Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
- Malegesi Advocates
- Ringo Advocates
- Cleopa David Msuya
- Prof. Mkandara (UDSM)
- Maria Kejo
- Apson Mwang'onda
- Dr Edward Hosea - PCCB
- Ferdinand Ruhinda
- George Lauwo (TRA Customs)
- Cpt. John Chiligati
- Costa Mahalu
- James Sinclair
- Pius Msekwa
- Alex Massawe
- Zakhia Meghji
- Joseph Mungai
- Abdallah Kigoda
- Yusufu Makamba
- Sheikh Yahya Hussein
NOTE: Marais wote kuanzia Mwalimu Nyerere pamoja na raia wote tunahusika kwa namna moja ama nyingine.
Nimemwongezea mkuu