50 People Who Are Screwing Up Tanzania

50 People Who Are Screwing Up Tanzania

Status
Not open for further replies.
ASANTE SANA MKUU,
Duuu kumbe sisi wengine watoto wa umri, lakini kama ikibidi kuwapiga kwa mawe kama walivyo fanya kaka zetu kule Musoma TUTAFANYA TU,naomba utusaidie tuwajue angalau kwa mstari mmoja wenye kujieleza kama ulivyofanya"Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
Mimi naomba niorodheshwe kwenye mgambo wa kujitolewa siku ikifika nielezwe tu,mimi
Abdulrahman Kinana n i mjomba wangu lakini siku ikifika nitaongoza twende kwenye maficho yake yoye.(ILI VIZAZI VIJAVYO VIWE NA MAJI SAFI YAKUNYWA WASIWE NA MGAO WA UMEME NA WAWE NA CHAKULA,LAZIMA TUWEPO VULNTEER WA KUUNGANA NA KINA T.LISSU NA KINA ZITTO KABWE)NINAKERWA KWELI, WATU WANAIBA PESA YA NCHI HALAFU WANATUTSA NAYO-YAANI NGOJA TU SIKU IKO,TUTABEBA MAWE NCHI NZIMA)
Naomba kwenye kufafanuliwa nielezwe hawa walifanya nini?
Sir Andy Chande, Sheikh Yahya Hussein
James Sinclair

Patrick Rutabanzibwa
Vincent Mrisho
:bange: MUNGU IBARIKI TANZANIA TUSINYANYUE MAWE.
 
The buck stops with us, the people. We are the ones who are screwing up our own country by electing these fools who don't know what the heck they are doing up there. These people didn't appoint themselves to be in those positions.

Every five years we get a chance to assess, evaluate, and examine the perfomance of our existing leaders and scrutinize the record of the potential ones. I can confidently say that we do an abysmal job in doing so.

In any other sophisticated society, none of these fisadis would be re-elected into office. But what can I say about us...well...you already know.
BIG NO!
I HAVE BEEN PUTTING NO TO ALL THESE Mapinduzi Candid.
But I came to learn later that these guys they do and get what want,they have now justified a guaranteed way of winning"chakachualism"
It seems you are not aware, infact they are appointing themselves man.
We (most of TZ's) do all do what you have said but the Mapinduzi guys still come as winners,some even announce that they have won even before the NEC has not verified the votes,
You seem not have participated(in Multi party elections) in any way,pls come home during the next term and put your words in practical.
God BTz.
 
mi naona hapa mkuu unaogopa, we anza kwa kuwataja wote uliowaorodhesha majina yao kwa kirefu then tuendelee maana umemtaja Jk tu na hao wengine vp..
 
The buck stops with us, the people. We are the ones who are screwing up our own country by electing these fools who don't know what the heck they are doing up there. These people didn't appoint themselves to be in those positions.

Every five years we get a chance to assess, evaluate, and examine the perfomance of our existing leaders and scrutinize the record of the potential ones. I can confidently say that we do an abysmal job in doing so.

In any other sophisticated society, none of these fisadis would be re-elected into office. But what can I say about us...well...you already know.

The ruling party, ccm as it refers to itself, is number one....and this makes the "mkulu" to take the same position as an individual being the chairman
 
Hebu jaribu ku-update list yako fika hadi 100, then waachie wananchi waamue what next
 
Nimefurahi kuwafahamu japo haujawaweka ma-president. Nashauri wa-tz wenye uchungu na nchi yetu tuanze kuwachukulia hatua as early as possible. Majizi makubwa haya.
 
jairo, luhanjo, sita, mwakyembe, makamba, riz-one, shimbo, the list goes on and on
 
I belive in people's power. No need of violence..we live in th society,lets tak our chances & update our fellow Tz'ans who ar blinded by the system..so whn comes 2 elections we do the right thing 4 majority succesion.Together we can. They use us so they can win..Now we hav to deny being used & we will be the winner by havn our nation to the right hands.
Lets wake up practicaly & educate society around us.
 
Ongeza kwenye list:-
1. Freeman Mbowe(Mnafki)
2. Zitto Kabwe(Mnafki/tumbotumbo)
3.Kikwete(Chanzo cha matatizo)
4.Christofa olisendeka(Mr Misifa/Mnafki/huyu hajui chochote maskini)
5.Samwel Sita(Mnafki)
6.Harrison Mwakyembe(Mnafki)
7.Daniel Porokwa (Mnafki)
8.Reginald Mengi(Mnafki/mfadhili wa makundi yanayosigana CCM kwa maslahi yake)
9.Iddi Simba
10.Masaburi
11. Norman Sigala-DC Hai (Huyu Balaa/Fisadi chupukizi)

Nawasilisha Wakuu!
 
We MOD, ur not fear at all KWANINI UNATOA MAONI YA WATU? Kisa nimemtaja MBOWE, ZITTO, na wengine wa CHADEMA? Kweli nimeamini JF ni wa CDM........yaani umeacha majina ya watu wa CCM iendelee kuwapo on board the kwakua nimetaja watu wa CDM ukaamua kuondoa wakati katika maoni yangu pia wamo wa CCM!!!! Acha kuwa bias Mod....Shame upon you!!!
 
Sijui inatumika vigezo gani?, lakini list kama hii yaweza tumika kuchafuana ama kuchafua hata wale wasiokuwepo.
NDIO MAANA LIST IMELETWA KWETU sasa wewe thibitisha kwa hoja na facts kuwa fulani either atoke katika list or aingizwe. kusema tu kuchafua au kuchafuana ni siasa. kama unaona mtu anachafuliwa toa facts zako na kama unaoa awekwe toa sababu nafikiri hivi ndivyo tunavyotakiwa kufanya. hili tujifunze wote.
 
baada ya invisible kuweka kitabu cha "100 people who are screwing up america" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.

Tunaweza kuwataja bila uonevu?

Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:
  1. rostam azziz
  2. edward lowassa
  3. abdulrahman kinana
  4. andrew chenge
  5. idris rashid,
  6. nazir karamagi,
  7. gray mgonja,
  8. basil mramba,
  9. daniel yona,
  10. peter noni,
  11. nimrod mkono,
  12. subash patel
  13. yusuf manji
  14. anna mkapa
  15. johson lukaza
  16. vincent mrisho
  17. frederick sumaye
  18. omari mahita
  19. jeetu patel
  20. sir andy chande
  21. amatus liyumba
  22. emmanuel nchimbi
  23. shailesh vithlani
  24. tanil somaiya
  25. eric shigongo
  26. patrick rutabanzibwa
  27. felix mrema (arusha)
  28. laurence masha
  29. david mattaka
  30. kingunge ngombare mwiru
  31. mark manji & sadiki muze (hawa wamepelekea atcl kufikia icu)
  32. malegesi advocates
  33. ringo advocates
  34. cleopa david msuya
  35. prof. Mkandara (udsm)
  36. maria kejo
  37. apson mwang'onda
  38. dr edward hosea - pccb
  39. ferdinand ruhinda
  40. george lauwo (tra customs)
  41. cpt. John chiligati
  42. costa mahalu
  43. james sinclair
  44. pius msekwa
  45. alex massawe
  46. zakhia meghji
  47. joseph mungai
  48. abdallah kigoda
  49. yusufu makamba
  50. sheikh yahya hussein
tuendeleze list

note: marais wote kuanzia mwalimu nyerere pamoja na raia wote tunahusika kwa namna moja ama nyingine.
mie kwa mtazamo wangu hawa wote na wengine wote wataojitokeza wanakamua maziwa ya n'gombe wetu (wanaiba kwenye serikali yetu) lakini siagi wanayotengeneza ni akili yao binafsi.

Mtu mbaya kuliko wote ni katibu mkuu kiongozi philimon luhanjo ambaye anasimamia ajira ,mamlaka ya nidhamu za makatibu wakuu wa mawizara,wakurugenzi wa idaara za serikali,makamishna wa mawizara, vyombovya ulinzi na usalama, igp, mkurugenzi wa pccb, mkurugenzi wa mashtaka, na vyombo kama cha cag ukiangalia unakuta hawa wote wanahusika na kuweza kuwabana hawa wakamua maziwa kabla hawajatengeneza siagi na kuanza kuila sasa waliopewa haya majukumu ya kubanana na wezi hawa hivi katibu mkuu kiongozi kwanini asihoji uwezo wa mtumishi huyo.kwani mie ninavyojua wakuu hawa cv za huitwa kila mara na kupitiwa upya! Usishangae ukaambiwa kwamba cv aliyoingia nayo kwa mfano mkurugenzi wa pccb kama kunatakiwa uteuzi unamlenga anatakiwa kuwasilisha cv yake upya. Sasa kwa staili hiyo nadhani kama hawa watu wanashindwa kufanya kazi zao lazima kunanjia ya kuhakiki na kumpima upya mtendaji huyo.

Kwa taarifa yenu tu p luhanjo amekuwa akilinda cv za watendaji wanaolalamikiwa yeye amekuwa akiwasikia mnalalamika basi anafanya kila jitihada huyo mtu atateuliwa katika nafasi kubwa.cv zao anazo yeye,na bahati mbaya jk anamwogopa sijui au anaona umri ule sio wa kumwadhibu kwa kumbwaga chini. Kwahiyo mavyombo ya wakuwashulikia yapo ila tujiulize kwanini yanakosa nguvu.sikiliza otuba ya raisi ya mwaka mpya 2011 raisi anatushitakia wananci kwamba wezi wa mbolea ya ruzuku wameingia katika mpango na watumishi wa umma lakini mpaka leo wapi umesikia mtandao huo umeshikwa hivi ilikuwa mpaka raisi aseme na hilo inawezekana vyombo vya ulinzi na usalama vilijikita katika biashara hiyo haramu kwa watanzania maskini.
 
Well, nimewaweka "watanzania" kwa ujumla wao kuwa ndicho chanzo nambari moja cha matatizo ya taifa letu

What do you mean by a sophisticated society? You mean Tanzania is sophisticated? No way....put down the criteria for that sophistication you are trying to dub Tanzania about. With people who are scared of rallying for their constitutional rights? With appalling inflation at our bed rooms and no one is irked with it? Give me big break
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom