50 People Who Are Screwing Up Tanzania

50 People Who Are Screwing Up Tanzania

Status
Not open for further replies.
Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.

Tunaweza kuwataja bila uonevu?

Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

  1. Rostam Azziz
  2. Edward Lowassa
  3. Abdulrahman Kinana
  4. Andrew Chenge
  5. Idris Rashid,
  6. Nazir Karamagi,
  7. Gray Mgonja,
  8. Basil Mramba,
  9. Daniel Yona,
  10. Peter Noni,
  11. Nimrod Mkono,
  12. Subash Patel
  13. Yusuf Manji
  14. Anna Mkapa
  15. Johson Lukaza
  16. Vincent Mrisho
  17. Frederick Sumaye
  18. Omari Mahita
  19. Jeetu Patel
  20. Sir Andy Chande
  21. Amatus Liyumba
  22. Emmanuel Nchimbi
  23. Shailesh Vithlani
  24. Tanil Somaiya
  25. Eric Shigongo
  26. Patrick Rutabanzibwa
  27. Felix Mrema (Arusha)
  28. Laurence Masha
  29. David Mattaka
  30. Kingunge Ngombare Mwiru
  31. Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
  32. Malegesi Advocates
  33. Ringo Advocates
  34. Cleopa David Msuya
  35. Prof. Mkandara (UDSM)
  36. Maria Kejo
  37. Apson Mwang'onda
  38. Dr Edward Hosea - PCCB
  39. Ferdinand Ruhinda
  40. George Lauwo (TRA Customs)
  41. Cpt. John Chiligati
  42. Costa Mahalu
  43. James Sinclair
  44. Pius Msekwa
  45. Alex Massawe
  46. Zakhia Meghji
  47. Joseph Mungai
  48. Abdallah Kigoda
  49. Yusufu Makamba
  50. Sheikh Yahya Hussein
Tuendeleze list

NOTE: Marais wote kuanzia Mwalimu Nyerere pamoja na raia wote tunahusika kwa namna moja ama nyingine.

51. Wewe mwenyewe
 
Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.

Tunaweza kuwataja bila uonevu?

Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:


  1. Rostam Azziz
  2. Edward Lowassa
  3. Abdulrahman Kinana
  4. Andrew Chenge
  5. Idris Rashid,
  6. Nazir Karamagi,
  7. Gray Mgonja,
  8. Basil Mramba,
  9. Daniel Yona,
  10. Peter Noni,
  11. Nimrod Mkono,
  12. Subash Patel
  13. Yusuf Manji
  14. Anna Mkapa
  15. Johson Lukaza
  16. Vincent Mrisho
  17. Frederick Sumaye
  18. Omari Mahita
  19. Jeetu Patel
  20. Sir Andy Chande
  21. Amatus Liyumba
  22. Emmanuel Nchimbi
  23. Shailesh Vithlani
  24. Tanil Somaiya
  25. Eric Shigongo
  26. Patrick Rutabanzibwa
  27. Felix Mrema (Arusha)
  28. Laurence Masha
  29. David Mattaka
  30. Kingunge Ngombare Mwiru
  31. Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
  32. Malegesi Advocates
  33. Ringo Advocates
  34. Cleopa David Msuya
  35. Prof. Mkandara (UDSM)
  36. Maria Kejo
  37. Apson Mwang'onda
  38. Dr Edward Hosea - PCCB
  39. Ferdinand Ruhinda
  40. George Lauwo (TRA Customs)
  41. Cpt. John Chiligati
  42. Costa Mahalu
  43. James Sinclair
  44. Pius Msekwa
  45. Alex Massawe
  46. Zakhia Meghji
  47. Joseph Mungai
  48. Abdallah Kigoda
  49. Yusufu Makamba
  50. Sheikh Yahya Hussein

Tuendeleze list

NOTE: Marais wote kuanzia Mwalimu Nyerere pamoja na raia wote tunahusika kwa namna moja ama nyingine.

Hii list wamei-generalize sana, coz inataka watanzania wote ukiangalia ktk NOTE. Ingakuwa vema wangetajwa wale NGULI na MAPAPA SUGU wa kuvuruga nchi badala ya kutaja kila mtanzania kana kwamba Tanzania inaweza kujiendeleza yenyewe bila watanzania
 
Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.

Tunaweza kuwataja bila uonevu?

Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

  1. Rostam Azziz
  2. Edward Lowassa
  3. Abdulrahman Kinana
  4. Andrew Chenge
  5. Idris Rashid,
  6. Nazir Karamagi,
  7. Gray Mgonja,
  8. Basil Mramba,
  9. Daniel Yona,
  10. Peter Noni,
  11. Nimrod Mkono,
  12. Subash Patel
  13. Yusuf Manji
  14. Anna Mkapa
  15. Johson Lukaza
  16. Vincent Mrisho
  17. Frederick Sumaye
  18. Omari Mahita
  19. Jeetu Patel
  20. Sir Andy Chande
  21. Amatus Liyumba
  22. Emmanuel Nchimbi
  23. Shailesh Vithlani
  24. Tanil Somaiya
  25. Eric Shigongo
  26. Patrick Rutabanzibwa
  27. Felix Mrema (Arusha)
  28. Laurence Masha
  29. David Mattaka
  30. Kingunge Ngombare Mwiru
  31. Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
  32. Malegesi Advocates
  33. Ringo Advocates
  34. Cleopa David Msuya
  35. Prof. Mkandara (UDSM)
  36. Maria Kejo
  37. Apson Mwang'onda
  38. Dr Edward Hosea - PCCB
  39. Ferdinand Ruhinda
  40. George Lauwo (TRA Customs)
  41. Cpt. John Chiligati
  42. Costa Mahalu
  43. James Sinclair
  44. Pius Msekwa
  45. Alex Massawe
  46. Zakhia Meghji
  47. Joseph Mungai
  48. Abdallah Kigoda
  49. Yusufu Makamba
  50. Sheikh Yahya Hussein
Tuendeleze list

NOTE: Marais wote kuanzia Mwalimu Nyerere pamoja na raia wote tunahusika kwa namna moja ama nyingine.

mbona hukumuweka na muungwana mwenyewe?????!!!!!! au ndiyo nyie wa anaangushwa na watendaji wake.....kwani hao watendaji tumemchagulia sisi????:disapointed:

jana tu wamemaliza kikao cha CC na yeye akiwa chair na wameridhia Dowans kulipwa..si ni huyu angekuwa sehemu ya utatu wa utata wa JER(Jakaya Edward Rostam) na kwa hivyo angekuwa namba moja....
 
"mbona umemsahau Reginald Mengi?au anamla mama yako"

Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.

Tunaweza kuwataja bila uonevu?

Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

  1. Rostam Azziz
  2. Edward Lowassa
  3. Abdulrahman Kinana
  4. Andrew Chenge
  5. Idris Rashid,
  6. Nazir Karamagi,
  7. Gray Mgonja,
  8. Basil Mramba,
  9. Daniel Yona,
  10. Peter Noni,
  11. Nimrod Mkono,
  12. Subash Patel
  13. Yusuf Manji
  14. Anna Mkapa
  15. Johson Lukaza
  16. Vincent Mrisho
  17. Frederick Sumaye
  18. Omari Mahita
  19. Jeetu Patel
  20. Sir Andy Chande
  21. Amatus Liyumba
  22. Emmanuel Nchimbi
  23. Shailesh Vithlani
  24. Tanil Somaiya
  25. Eric Shigongo
  26. Patrick Rutabanzibwa
  27. Felix Mrema (Arusha)
  28. Laurence Masha
  29. David Mattaka
  30. Kingunge Ngombare Mwiru
  31. Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
  32. Malegesi Advocates
  33. Ringo Advocates
  34. Cleopa David Msuya
  35. Prof. Mkandara (UDSM)
  36. Maria Kejo
  37. Apson Mwang'onda
  38. Dr Edward Hosea - PCCB
  39. Ferdinand Ruhinda
  40. George Lauwo (TRA Customs)
  41. Cpt. John Chiligati
  42. Costa Mahalu
  43. James Sinclair
  44. Pius Msekwa
  45. Alex Massawe
  46. Zakhia Meghji
  47. Joseph Mungai
  48. Abdallah Kigoda
  49. Yusufu Makamba
  50. Sheikh Yahya Hussein
Tuendeleze list

NOTE: Marais wote kuanzia Mwalimu Nyerere pamoja na raia wote tunahusika kwa namna moja ama nyingine.
 
wewe na huyo aliye fuata ndo mnaongoza. coz hamchukui hatua
 
wakuu,
salaams, nikiwa kama mtanzania bila kujali tofauti ya chama, dini wala kabila ningependa tuwaorodheshe watu wote wanaorudisha nchi yetu nyuma. Imekua ni aibu sana kwani nyenzo zote tunazo za kutuwezesha kuwa kali hali ambayo sio masikini kama tulivyo sasa hivi.Najua ni hatua ngumu sema ni kheri na wenyewe wajijue kwamba tunawafahamu. Tusiangalie mambo ambayo yataturudisha nyuma kama dini, ukabila, chama, na mengineyo. Naomba tuwe wakweli nikiamini either wenyewe, ndugu au jamaa wataona na kuwaambia!

Tukiwa wawazi tutajenga nchi yetu...tusiongee kwa uoga!
ni mtazamo tu...
 
Hoja nzuri. Fungua pazia basi mkuu ina maana wewe huna hata mmoja kweli?
 
Unawajua ila unataka tukutajie. Kila mtu anawajua, ingawa sio wote walau watatu wanajulikana, unajifanya huwajui? unatutega? Hapa kuna ma great thinkers bwana, they can think what you think.
 
1. JK
2. EL
3. RA
4. AC
5. AM
6. ...
7. ...
tuendelee wakuu...
 
taja majina yote kwa ukamilifu kama unataka sera za uwazi na ukweli. JK naweza sema ni jumila kitwana ..weka wazi majina
 
bwana mzee usifanye hivyo,unajua kuna magazeti yanafanyaga hivyo
wanaandika habari ya mtu lakini hawamtaji
wataje strait away
mimi sijakupata bado
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom