Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 413
...Former Principal Secretary PMO...!Sumaye alisahaulika. Who the hell is Vincent Mrisho?
**Freeman Mbowe, Zakhia Megji, John Komba, Emmanuel Nchimbi, Rtd CDF Rober Mboma...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...Former Principal Secretary PMO...!Sumaye alisahaulika. Who the hell is Vincent Mrisho?
Mkuu kwenye list yako naona Nchimbi ndiye anastahili kuwepo kwenye list....Former Principal Secretary PMO...!
**Freeman Mbowe, Zakhia Megji, John Komba, Emmanuel Nchimbi, Rtd CDF Rober Mboma...
Sijui inatumika vigezo gani?, lakini list kama hii yaweza tumika kuchafuana ama kuchafua hata wale wasiokuwepo.
duh, list itazidi 50 muda si mrefu.Malima
Kingunge na mwanae
Mremas (wa Ngurdoto, Tanroads etc)
Tena huyo serukamba nasikia mnyarwanda!! Kweli?
baba_enock, tuwabandike kwanza list wafikie "walau" 50 ili tuanze kuifahamisha serikali juu ya wabaya wetu hawa
Duh,Here we go
Yussuf Makamba
Captain Mkuchika
Captain Chiligati
Augustino Lyatonga Mrema
Patrick Rutabanzibwa
Rugemalila aka Mzee wa Heinken (+VIP Engineering)
Hashim Lundenga (Mzee wa Miss TZ)
Reginald Mengi
Salum Bhakressa
Askofu Zacharia Kakobe
Mch Dk Mama Lwakatare
....
kwi kwi kwi kwiMr. ZeUtamu wa Kujing'ata Ulimi naye yumo ndani ya nyumba
Kina Lwekaza vipi wakuu?
duh, mpaka umemwongezea jina la Dowans nyuma yake? Noma mkuu, mi nadhani tuwaongelee waliokula hela zetu na ambao walipelekea hela zetu kuliwa. Hao ni mafisadi in making mkuu wangu.Mkuu unaniitafuta ugomvi eeehh nimeweka kwenye list umewatoa eeehh
- Dowans Zitto Kabwe
Serukamba Peter
I am serious huyu mh amenitoka kabisa....
Ngoja nimwongeze mkuu, acceptable kabisasijui kama nimemwona LORAH MASHA hapo kwenye list! Mzee wa vitambulisho!!!
Hawa wamekula vipi pesa za watanzania? Yani hapa tunataka wanaoliibia taifa pesa ama wanahusika kwa namna moja ama nyingine kupelekea ufisadi mkubwa kwa Taifa.Alfred Tibaigana, Reginald Mengi