mickytop46
Member
- Nov 10, 2010
- 39
- 6
218
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah unaquote Uzi mrefu hivi kwa kuandika "Nice" inakeraga sana yanNice
Mimi ujanitumia mkuu email yangu ipo hapo juu na idea nilizoomba.Naona wengi mmeitikia; nawaomba mfanyie kazi .. isiishie hapa. Tumuunge mkono Rais wetu ili walau kufikia 2025 Tanzania iwe ya viwanda kweli. Sometimes inakera sana, eti hata gundi tunaagiza kenya, mayai, mazima, n.k wakati sehemu kwa ajili ya kufanyia kazi hizo tunazo za kutosha. Kazi zingine mtu anaweza kufanyia hata nyumbani na bado inalipa tu.
Kwa watakaohitaji vifaa-kazi wataagiza moja kwa moja Alibaba. Unalelewa hadi ulipo.
Nataka low dust chalkVipi umepitia hiyo list kwanza? Na ungehitaji idea gani ndo nikutumie ili uifanyie kazi? Hadi sasa kuna summary ya ideas 116, nakutumia kwa e-mail yako kwa ajili ya kukurahisishia.
iTAKUWA RAHISI UKINITAJIA NAMBA YAKE MKUU.Nataka low dust chalk
40 na 123 mkuu ndo napendaga sana hizo.iTAKUWA RAHISI UKINITAJIA NAMBA YAKE MKUU.
Business Idea For Making Low Dust Chalk US$ 2,500. Faida kwa mwaka USD 44,927
Mtaji sawa na fedha za kitanzania Tshs. 5,700,000. Ukihitaji andiko kamili tuwasiliane via e-mail.
Ahsante mkuu
Ok mkuu naperuziOk pitia kwenye hizo attachments, ukiona unaweza kufanya nijulishe ili upatiwe full business idea ikiwa na maelekezo kamili.
Naomba unitajie jina la kitabuHII KITABU ILIANDIKWA UGANDA C BORA UNGETUPIA.....subir nktulia ntupi一