Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huoni kama unasumbuka kutuma moja moja,ungetupia hyo full doc then watu wakajichagulia wenyewe kulingana na uwezo wap wa mtajiHatuendi hivyo; chagua unachokiweza ndo utumiwe.
Kunywa soda crate 2 hapo nakuja kulipa, bless up brooodahFull bookView attachment 827022
Uchambuzi !!! Haucopy kwenye hicho kitabu kweli?Napost kulingana na vijana wangu wanavyoendelea kufanya uchambuzi ..
Anyway,whatever the case is good to usNapost kulingana na vijana wangu wanavyoendelea kufanya uchambuzi ..
Basi na Mimi najiunga na nyinyi, tuendelee mtaalamKama unaweza kukopi kwenye hicho kitabu endelea ... kwa wale wanaohitaji kuendelea na sisi wanaendelea tu.
Sawa nko tayarMbona hiyo tayari nimeishaipost mkuu? Nasubiri utayari wako ili upate full descriptions
Hapa ndo watu watakapotapeliwa. Kama umeamua kutoa msaada kama ulivyoandika toa tu msaadaUnachangia 0.5% ya mtaji unaohitajika then unapatiwa andiko kamili.
Taasisi yenye ofisi, iliyosajiliwa kihalali haiwezi kufanya utapeli hata siku moja. Ondoa mawazo ya kurudisha watu nyuma. Sisi tunafanyia kazi tafiti zilizofanywa na watu makini.Hapa ndo watu watakapotapeliwa. Kama umeamua kutoa msaada kama ulivyoandika toa tu msaada
Aisee nikajua kuwa hamaa ameufungua moyo na kutupia mzigo wote kumbe ni mtu mwingine kabisa.Mtoa mada tuthibitishie kama materials haya ni tofauti na hayo ya kwako mkuuFull bookView attachment 827022
Mwenye macho haambiwi TAZAMA...Aisee nikajua kuwa hamaa ameufungua moyo na kutupia mzigo wote kumbe ni mtu mwingine kabisa.Mtoa mada tuthibitishie kama materials haya ni tofauti na hayo ya kwako mkuu
Swali langu je kuna tofauti yoyote katika hayo maandiko yako ambayo tunatakiwa kulipia 0.5% na hili la Full book ili tujue kama tutume hz hela au tumesamehewaMwenye macho haambiwi TAZAMA...
Kumbuka hakuna jipya chini ya jua
Tofauti iko kuwa sana ...Swali langu je kuna tofauti yoyote katika hayo maandiko yako ambayo tunatakiwa kulipia 0.5% na hili la Full book ili tujue kama tutume hz hela au tumesamehewa