500 Business Ideas (Mawazo ya Biashara 500)

500 Business Ideas (Mawazo ya Biashara 500)

Hatuendi hivyo; chagua unachokiweza ndo utumiwe.
Huoni kama unasumbuka kutuma moja moja,ungetupia hyo full doc then watu wakajichagulia wenyewe kulingana na uwezo wap wa mtaji
 
Huoni kama unasumbuka kutuma moja moja,ungetupia hyo full doc then watu wakajichagulia wenyewe kulingana na uwezo wap wa mtaji
Napost kulingana na vijana wangu wanavyoendelea kufanya uchambuzi ..
 
Uchambuzi !!! Haucopy kwenye hicho kitabu kweli?
Kama unaweza kukopi kwenye hicho kitabu endelea ... kwa wale wanaohitaji kuendelea na sisi wanaendelea tu.
 
Hapa ndo watu watakapotapeliwa. Kama umeamua kutoa msaada kama ulivyoandika toa tu msaada
Taasisi yenye ofisi, iliyosajiliwa kihalali haiwezi kufanya utapeli hata siku moja. Ondoa mawazo ya kurudisha watu nyuma. Sisi tunafanyia kazi tafiti zilizofanywa na watu makini.
 
Aisee nikajua kuwa hamaa ameufungua moyo na kutupia mzigo wote kumbe ni mtu mwingine kabisa.Mtoa mada tuthibitishie kama materials haya ni tofauti na hayo ya kwako mkuu
Mwenye macho haambiwi TAZAMA...

Kumbuka hakuna jipya chini ya jua
 
Mwenye macho haambiwi TAZAMA...

Kumbuka hakuna jipya chini ya jua
Swali langu je kuna tofauti yoyote katika hayo maandiko yako ambayo tunatakiwa kulipia 0.5% na hili la Full book ili tujue kama tutume hz hela au tumesamehewa
 
Swali langu je kuna tofauti yoyote katika hayo maandiko yako ambayo tunatakiwa kulipia 0.5% na hili la Full book ili tujue kama tutume hz hela au tumesamehewa
Tofauti iko kuwa sana ...
Moja, hilo lililoletwa hapa ni la mwaka 2010, na sasa ni mwaka 2018, kuna mangapi yamebadilika katika kipindi cha miaka 8?
Pili,
Ukiandika jambo lolote kwa lugha ya Kiingereza wanaoelewa vyema ni asilimia 27; lakini andiko likiandikwa kwa kiswahili wanaoelewa vyema ni asilimia 72. (Fuatilia tafiti zilizofanywa na Finscope Tanzania mwaka 2017 ndo utajua ni kwa nini unapaswa kuchangia ili upate kile kilicho bora)
 
Back
Top Bottom