500 Business Ideas (Mawazo ya Biashara 500)

500 Business Ideas (Mawazo ya Biashara 500)

Tofauti iko kuwa sana ...
Moja, hilo lililoletwa hapa ni la mwaka 2010, na sasa ni mwaka 2018, kuna mangapi yamebadilika katika kipindi cha miaka 8?
Pili,
Ukiandika jambo lolote kwa lugha ya Kiingereza wanaoelewa vyema ni asilimia 27; lakini andiko likiandikwa kwa kiswahili wanaoelewa vyema ni asilimia 72. (Fuatilia tafiti zilizofanywa na Finscope Tanzania mwaka 2017 ndo utajua ni kwa nini unapaswa kuchangia ili upate kile kilicho bora)
Mkuu emails huzioni,mm bdo cjpt feedback chief.
 
mnaweka email zenu wakati mshawahi kumtukana jiwe humu..hiz mbinu za usalama shauri yenu..
weka email kama unajiona msafi
Acha woga kijana ....
Vijana wa It wako makini sana .. wakitaka kukutafuta sio lazima kujua e-mail yako. Popote ulipo provided unatumia kifaa kinachoonekana kwenye setilaiti unapatikana tu. Hapa ni kwa ajili ya kazi tu. Kama hutaki kufanya kazi, kaa kushoto, woga wako ndo umaskini wako.
 
mi mwenyewe mtaalam wa it nikipata tu email ya mtu nakua nimepata pakuanzia kukuchunguza maana humu nakufaham kama Tutor B..nikipata email yako ina majina yako halisi japo si asilimia zote kuwa jina halisi..ila unafahamika kuirahisi kwa kuweka adress zako kwenye kuku wengi..
 
Mkuu unachowatumia members kwa mbwembwe ni hiki hapa (nimeattach). Si kweli kampuni yako imeandaa hii report.

Hii report imeandaliwa Uganda mwaka 2010.
asante mkuu
maana jamaa kaandikisha majina watu kwa foleni had huruma yani...
 
Nahitaji business idea ya kufungua kiwanda cha alizeti. kukamua na kuuza mafuta.
 
Mmeshawekewa kitabu chote hapo , lakini bado mnataka kulipia, ni copy paste ya kitabu cha Uganda 2010, hakuna jipya analoliuza hapo. Mtaliwa pesa zenu
 
Mkuu unachowatumia members kwa mbwembwe ni hiki hapa (nimeattach). Si kweli kampuni yako imeandaa hii report.

Hii report imeandaliwa Uganda mwaka 2010.
Nakuunga mkono, Mimi ninayo hiyo attachment hakuna jipya jamaa analouza zaidi ya kutaka kuiba hela za watu
 
Wenye kuelewa tunaendelea vizuri, wasiohitaji kuelewa wataendelea kupeana udaku. Sisi tunafanyia kazi tafiti zilizofanyika na zikawekwa pasipo kufanyiwa kazi. Anakuja mtu analeta kitu cha 2010; na sasa ni 2018; hivi mtu huwezi kujiuliza miaka 8 imepita kitu hiki hakijabadilika kweli?

Angalizo hakuna jipya chini ya jua .. hata mpenzi wako wa sasa ni mpenzi wa zamani wa mwingine. Ila kwa sasa sio sawa na kipindi alipokuwa kwa mwingine.

Mwenye macho haambiwi tazama.
 
Mmeshawekewa kitabu chote hapo , lakini bado mnataka kulipia, ni copy paste ya kitabu cha Uganda 2010, hakuna jipya analoliuza hapo. Mtaliwa pesa zenu
Awazaalo fulani ndo huwa limejaa kichwani mwake.
 
Back
Top Bottom