52% ya Kenyan "revenue" hutumiwa na 1.5% ya Population kama mishahara.

52% ya Kenyan "revenue" hutumiwa na 1.5% ya Population kama mishahara.

Wew hizo Gdp zinasaidia nn km turkana miaka nenda miaka rudi kuna njaa na hiyo Gdp kubwa how does it work km madaktari wanagoma.
Mwaishi kwa uchumi wa makaratasi ishini in reality
What's 1+1?
Ukipata jibu ndio urudi tudiscuss.
 
What's 1+1?
Ukipata jibu ndio urudi tudiscuss.
Let me ask you.
Umempa mkeo hela ya kununua mboga ya nyama na mchele, jioni unarudi unakuta ugali na sukuma week,utamchukuliaje mkeo ktk matumiz alioyafanya?!
Ukinijibu ndio urudi tu discuss
 
Let me ask you.
Umempa mkeo hela ya kununua mboga ya nyama na mchele, jioni unarudi unakuta ugali na sukuma week,utamchukuliaje mkeo ktk matumiz alioyafanya?!
Ukinijibu ndio urudi tu discuss
In my house I deal with menu which caters for a whole week and I know what is suppose to be eaten everyday. So it's up to you kama jioni inafika na bado hujui utakula nini usiku because I'm not in that bracket with you.
 
In my house I deal with timetables and I know what is suppose to be eaten everyday. So it's up to you kama jioni inafika na bado hujui utakula nini usiku.
Asee inaonekana hata kusoma hujui.
Embu Jaribu kurejea nilichokuuliza sawa?!
Hii ndio tabu yenu kenyans budget kubwa matumiz ya maana hayaonekani
 
In my house I deal with timetables and I know what is suppose to be eaten everyday. So it's up to you kama jioni inafika na bado hujui utakula nini usiku.
Tz kuna neema kibaaao ya chakula na silagi sukuma week km ww daily mandi sawa mkuu
 
Asee inaonekana hata kusoma hujui.
Embu Jaribu kurejea nilichokuuliza sawa?!
Hii ndio tabu yenu kenyans budget kubwa matumiz ya maana hayaonekani
Umeuliza what will I do kama nimepea mke wangu doh ya meat but nimeback home nikapata kama amepika veges. Sasa kitu nakuambia ni hivi, in my house I deal with what's on the menu ama hujui how it works?
 
Ingekua nimekuuliza maelezo ya kumaliza wakisii ungenijibu fasta tribalist mmoja ww
1132140
 
Umeuliza what will I do kama nimepea mke wangu doh ya meat but nimeback home nikapata kama amepika veges. Sasa kitu nakuambia ni hivi, in my house I deal with menu ama hujui hiyo pia?
Bado hujanijibu asee km ulikua unajibu hv shule sijui umefauluje?!!
We hapo unaona umejiibu pole sana si kosa lako
 
Umeuliza what will I do kama nimepea mke wangu doh ya meat but nimeback home nikapata kama amepika veges. Sasa kitu nakuambia ni hivi, in my house I deal with menu ama hujui hiyo pia?
Chukua example umekuta hivyo au ht maana ya example hujui?!
Daah there is ignoranct and literrant fool.
 
Hamna nchi ninyi, kila kitu kimewekwa na 'International standards " ninyi mpo kwenye "negative'"
1) Wage bill ninyi mpo 52% wakati standard ni 35%, ya revenue
2) Wage bill per GDP mpo 10% wakati International standard ni 5%
3) Debt to GDP ratio mpo 60% wakati Standard ni 40%.
4) Corruption mpo 85% wakati acceptable level ni below 20%
5) Unemployment mpo 48%
6) Below poverty line 42%
Tuliwashauri sana muingie barabarani muwaondoe UHURUTO wameshindwa kuongeza nchi, bado mnaendekeza ukabila
Sasa hivyo ni tofauti gani na jiji la Dar? Si nyie pia mnatumia ushuru wa hao wakazi 4m wa jiji kulipa wafanyi kazi wa jiji wasiopita 2% ?
 
Hamna nchi ninyi, kila kitu kimewekwa na 'International standards " ninyi mpo kwenye "negative'"
1) Wage bill ninyi mpo 52% wakati standard ni 35%, ya revenue
2) Wage bill per GDP mpo 10% wakati International standard ni 5%
3) Debt to GDP ratio mpo 60% wakati Standard ni 40%.
4) Corruption mpo 85% wakati acceptable level ni below 20%
5) Unemployment mpo 48%
6) Below poverty line 42%
Tuliwashauri sana muingie barabarani muwaondoe UHURUTO wameshindwa kuongeza nchi, bado mnaendekeza ukabila
Yeah ,just inflate the statistics to suit your twisted agenda.Wewe ni kama George W .Bush na zile weapons of mass destruction ambazo zilipikwa kuhalalisha uchokozi na vita bila msingi.
 
Yeah ,just inflate the statistics to suit your twisted agenda.Wewe ni kama George W .Bush na zile weapons of mass destruction ambazo zilipikwa kuhalalisha uchokozi na vita bila msingi.
Which figure is inflated?, listen carefully to your president. Kenya is a "man eat man society ", nothing works per international standard, even price of construction of SGR per kilometer is far and above that of international cost. Kenya is a typical failed state.
 
In my house I deal with menu which caters for a whole week and I know what is suppose to be eaten everyday. So it's up to you kama jioni inafika na bado hujui utakula nini usiku because I'm not in that bracket with you.

Ahaaa haaa haaa
Kwa hiyo wewe unapanga leo tule ndizi au omena.
Duu sasa mkeo kazi yake NINI?
 

Ninakumbuka miaka ya nyuma sana, mwalimu Julius Nyerere alisema Kenya ni " man eat man society ", akimaanisha kwamba wakenya wanaishi kama Wanyama wa porini, kila anayepata nafasi anajichukulia kadri awezavyo kwa ajili yake na familia yake, hakuna anayemjali mtu mwengine.
Nchi ambayo inatumia zaidi ya nusu ya makusanyo yake ya mwezi, kwa ajili ya kulipa mishahara kwa watumishi ambao ni 1.5% ya wananchi wote, hii maana yake 48% ndio inabaki kwa ajili ya kuhudumia watu 45M.
Kwamba haya ndio matunda ya katiba mpya, kutengeneza vyeo vingi huko ktk " county level ili "wage bill iwe kubwa". Sasa katika hali hii mtaweza vipi kujenga miradi mikubwa kwa pesa yenu?, vipi mtaweza kuendesha nchi bila kukopa kwa wachina?.
Crooked way of seeing things as always. The 52% = government services ama wanalipwa kukaa kwa ofisi and By the way that's the money inayomfikia common mwananchi kule mashinani kwa urahisi.
2) Am one of the remaining 98% who earn from the private sector, the source of the same government monies.Our economy is private sector driven and So the work of gov is enabling and not doing business.The remaining 48 Carters for your last point including paying loans.
That said I agree with you we have a bloated civil service.52% is a bit on the upper side and I think gov should work on it
 
The problem with kenyans is that they do not want to recognize their problems..Hata hiyo 52% inayo enda kulipa mishahara utapata nusu yake inalipa wazungu na wachina walio ajiriwa na serikali..Hivi lazima madaktari wa cuba wafanye kazi kenya? Lazima treni ziendeshwe na mchina? lazima stedi za treni zifagiliwe na mchina? lazima bosi wa KQ na Safaricom wawe wageni? Bodi za mashirika ya serikali zimejaa wahindi na mabeberu.
 
Crooked way of seeing things as always. The 52% = government services ama wanalipwa kukaa kwa ofisi and By the way that's the money inayomfikia common mwananchi kule mashinani kwa urahisi.
2) Am one of the remaining 98% who earn from the private sector, the source of the same government monies.Our economy is private sector driven and So the work of gov is enabling and not doing business.The remaining 48 Carters for your last point including paying loans.
That said I agree with you we have a bloated civil service.52% is a bit on the upper side and I think gov should work on it
Very lame excuses:
There is nothing special about kenya and its private sector, and there is no excuse for using 52% revenue to pay salaries. for your information 97% of all Jobs in TZ are from private sector, only 3% from GoT
Screenshot_2019-06-20_105907.png
 
Back
Top Bottom