5G akiwa pekeake bei inakuwa juu kwasababu hana mshindani ila starlink akiingia kati lazima ujishushe ili kupata watejaSalamu, katika pitapita zangu za hapa na pale mitandaoni nimetumia muda kidogo kulinganisha teknolojia hizo mbili hapo juu.
Na matokeo yake nikagundua 5G ipo juu zaidi ya starlink kwa karibu Kila eneo speed, latency etc
Kwa Nini tusiwape muda Hawa watoa huduma wetu kuwekeza 5G Yao iwepo kila mahali hapa nchini? Sababu Kwa Dunia ya Sasa hivi inahitaji internet yenye Kasi na 5G ipo vizuri kwenye Hilo?
Sent using my Iphone 16 pro max
Yaani kbs unaamini jamaa wa Starlink wameshindwa kufikia hiyo speed?, aisee hawa wa sasa hawafai kbs kuwa entertain, hayo mabei wanayotupiga na hiyo speed ya net ya 3G NA 4G hayaleti matumaini ikiwa wata deploy 5G, acha tujaribu kwa huyu Starlink na huenda ushindani huu utafanya waje na bei za kizalendo!Kwa Nini tusiwape muda Hawa watoa huduma wetu kuwekeza 5G Yao iwepo kila mahali hapa nchini? Sababu Kwa Dunia ya Sasa hivi inahitaji internet yenye Kasi na 5G ipo vizuri kwenye Hilo?
Tunataka Mtandao ulio Huru usioweza Kuwa na Makando kando Kutoka Third part yoyoteSalamu, katika pitapita zangu za hapa na pale mitandaoni nimetumia muda kidogo kulinganisha teknolojia hizo mbili hapo juu.
Na matokeo yake nikagundua 5G ipo juu zaidi ya starlink kwa karibu Kila eneo speed, latency etc
Kwa Nini tusiwape muda Hawa watoa huduma wetu kuwekeza 5G Yao iwepo kila mahali hapa nchini? Sababu Kwa Dunia ya Sasa hivi inahitaji internet yenye Kasi na 5G ipo vizuri kwenye Hilo?
Sent using my Iphone 16 pro max
Kwanza starlink imelenga zaidi remote areas ambapo kwa africa kwa kweli haijalishi uko mjini bado internet ni kitendawili.Salamu, katika pitapita zangu za hapa na pale mitandaoni nimetumia muda kidogo kulinganisha teknolojia hizo mbili hapo juu.
Na matokeo yake nikagundua 5G ipo juu zaidi ya starlink kwa karibu Kila eneo speed, latency etc
Kwa Nini tusiwape muda Hawa watoa huduma wetu kuwekeza 5G Yao iwepo kila mahali hapa nchini? Sababu Kwa Dunia ya Sasa hivi inahitaji internet yenye Kasi na 5G ipo vizuri kwenye Hilo?
Sent using my Iphone 16 pro max
Huduma Yoyote Ikiwa na Mshindani Inakuwa Bora Huduma za Mitandao yetu ni Hovyo kwa kuwa hwana mshindani wao..Salamu, katika pitapita zangu za hapa na pale mitandaoni nimetumia muda kidogo kulinganisha teknolojia hizo mbili hapo juu.
Na matokeo yake nikagundua 5G ipo juu zaidi ya starlink kwa karibu Kila eneo speed, latency etc
Kwa Nini tusiwape muda Hawa watoa huduma wetu kuwekeza 5G Yao iwepo kila mahali hapa nchini? Sababu Kwa Dunia ya Sasa hivi inahitaji internet yenye Kasi na 5G ipo vizuri kwenye Hilo?
Sent using my Iphone 16 pro max
Umeandika kwa niaba yang asanteBila shaka sio swala la speed tu bali hata bei na upatikanaji wa mtandao.Ni vema kua na watoa huduma wengi kuchangamsha soko kwan n faida kwa mtumiaji wa mwisho kwa upande mwngine kuna tume ya ushindani itakayo regulate huo ushindan baina yao
Inawezekana wewe ni Mjinga ama ni Mpumbavu,nothing more nothing lessSalamu, katika pitapita zangu za hapa na pale mitandaoni nimetumia muda kidogo kulinganisha teknolojia hizo mbili hapo juu.
Na matokeo yake nikagundua 5G ipo juu zaidi ya starlink kwa karibu Kila eneo speed, latency etc
Kwa Nini tusiwape muda Hawa watoa huduma wetu kuwekeza 5G Yao iwepo kila mahali hapa nchini? Sababu Kwa Dunia ya Sasa hivi inahitaji internet yenye Kasi na 5G ipo vizuri kwenye Hilo?
Sent using my Iphone 16 pro max
Starlink itawanufaisha wa vijijini TU tatizo tunafata mkumbo. Vijijini Kwa vile minara haijafika sana wao wanahuitaji mkubwa wa starling ila sisi wa mijini hatuna shida mbona?5G network ipo supply by tower kwa hiyo itakua inashika baadhi ya maeneo tofauti na Starlink anategemea satellite popote pale inashika through devices zao
Kwa kujibu swali lako, 5g itanisaidia Kasi. Alafu mbona simu za 5G zipo hata za midrange zimejaa pale kariakoo. Hata starlink itahitaji simu ya smart ili kujiunga. Samsung a50s zipo za 5g kibao TU.Sasa mleta mada,kabla hujaongelea hili,umejiuliza wenye uwezo wa kumiliki simu zinazoweza kushika 5G? Au umeandika tu! Af,mfano,japo hayo maendeleo hatuyakatai. Ukiachana na ushabiki, 5G itakusaidia kitu gani wewe,ambacho kwako 4G haifanyi?
Kwa vile tu hukuwepo. Ningekuuliza miaka ya 2005 kuendelea,Internet ilikuwaje,ilitoa msaada gani,mpaka sasa!
Ila asilimia kubwa itawasaidia kushusha picha wanazozipenda wenyewe.