DexterLab
Senior Member
- Oct 17, 2024
- 161
- 193
Salamu, katika pitapita zangu za hapa na pale mitandaoni nimetumia muda kidogo kulinganisha teknolojia hizo mbili hapo juu.
Na matokeo yake nikagundua 5G ipo juu zaidi ya starlink kwa karibu Kila eneo speed, latency etc
Kwa Nini tusiwape muda Hawa watoa huduma wetu kuwekeza 5G Yao iwepo kila mahali hapa nchini? Sababu Kwa Dunia ya Sasa hivi inahitaji internet yenye Kasi na 5G ipo vizuri kwenye Hilo?
Na matokeo yake nikagundua 5G ipo juu zaidi ya starlink kwa karibu Kila eneo speed, latency etc
Kwa Nini tusiwape muda Hawa watoa huduma wetu kuwekeza 5G Yao iwepo kila mahali hapa nchini? Sababu Kwa Dunia ya Sasa hivi inahitaji internet yenye Kasi na 5G ipo vizuri kwenye Hilo?