64 year old Madonna is now dating 29 year old Boxer Josh Popper

Point kuu ya hii comment yako ni kumuona madonna live ...
 
Sky Eclat inawezekana hata wewe kuwa na energy na libido kama hiyo ni lifestyle tu ukianza na misosi na mazoezi.

Wamama wa kidhungu wanagegedana sana hata kibibi cha 70+ utakuta kipo vizuri hadi bj kinapiga
Kwaio mtaalam, swali la kizushi, unataka kusema mama Sky Eclat hana libido na energy tena? Yaan hata mo energy? Au hali vjzur na hafanyi mazoezi? 🤣🤣🤣🤣🤣
Inabd umtake radhi
 
ukweli mchungu ni kwamba, wazungu wanatubagua sana, ila kwenye suala la ngono, wanatuaminia mno kuliko hata wazungu wenzao. kwa walioishi ulaya watakubaliana na mimi hili. nafikiri hicho ndio kitu kikubwa Mungu alitubariki waafrika.
 
Hivi wanaume wanaojipodoa km wanawake wanapata raha gani? Yaan nmekutana na jamaa kajipodoa na kapaka wanja hawa wanaume hua wanawazaga nini kwani?
 
Hivi hao vijana wanaochukua wazee hawapimi risk ya kwamba wakati wa kazi huyo mzee anaweza shindwa himili kasi akakata moto??
 
Kuna Libibi listaafu linapenda vijana.....linahonga mpaka pesa kama Madonna tu,Bodaboda wanajipigia honi tu mpaka basi,ukiwa na mzazi hivyo ni laana tupu.
 
Vibenteni na mariioos hadi Ulayaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo maza ana mapenzi tu na Black coloured.
Hapo analea adopted 3 kids toka Malawi.
Sometime ni kujichanganya tu hata juzi alikua na Rema watu wakazusha wanadate.
Anajichanganya tu huko kiroho safi sometime hata hawapo pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…