7 natural laws of business

Kuna kitabu najua huna kinaitwa business secret in the bible mwindishi rabbi daniel lapin ni muisrael aisee kakisome hicho hapa bongo mwenye madini adimu ni mwl emilia busara anavitabu nondo sana huyo jamaa
 
bro ina maana kanuni za biashara zinazofundishwa shule hazina nafasi kabisa? ni mambo ya light side na dark side tu?

dah.

mbona wanasema business can be boiled down to a science
Nadhani hapo kwenye dark side ni debits side Dr, alafu credit side ni light side Cr,

Bila shaka huu ni uwendawazimu
 
mkuu Tanzania Dream kwenye thread yako ile ya Dark side ulitaja vitabu viwili ambavyo vinaweza msaidia mtu kujua yanayofanyika nyuma ya pazia huko ulimwengu wa kiroho..nimetafuta vile vitabu sijavipata ni hivi vitabu vya "MADHABAU ZA KUZIMU NA CHUO KIKUU CHA WACHAWI" vp mkuu kama unavyo PDF au soft copy naomba unisaidie kuvipata
 
mkuu Tanzania ..nimetafuta vile vitabu sijavipata ni hivi vitabu vya "MADHABAU ZA KUZIMU NA CHUO KIKUU CHA WACHAWI" vp mkuu kama unavyo PDF au soft copy naomba unisaidie kuvipata

Hicho kitabu cha Madhabau,cover yake iko hivyo,hakina soft copy,kinapatikana bookshop.....
 
View attachment 3187485
Hicho kitabu cha Madhabau,cover yake iko hivyo,hakina soft copy,kinapatikana bookshop.....
asante sana mkuu nitakisaka hadi nikipate japo imekuwa adimu kitabu kupatikana..na vp kuhusu huyu mwandishi wake mchungaji Mkumbo Mitula anapatikana vp kama unafahmu labda anaweza kuwa na acess ya kukipata kwa urahisi
 
View attachment 3187485
Hicho kitabu cha Madhabau,cover yake iko hivyo,hakina soft copy,kinapatikana bookshop.....

Mkuu kwa sisi wakatoliki tuna Maji ya baraka na rozari. Je naweza nikamwaga maji ya baraka dukani kwangu ikawa kinga au kufanya kazi kama ilivyo hiyo damu?

Au hii damu ya mwana wa M-ngu ina nguvu zaidi?
 
Mkuu kwa sisi wakatoliki tuna Maji ya baraka na rozari. Je naweza nikamwaga maji ya baraka dukani kwangu ikawa kinga au kufanya kazi kama ilivyo hiyo damu?

Au hii damu ya mwana wa M-ngu ina nguvu zaidi?
Nadhani utakuwa familiar na hii Bible verse hebr 12:24"na Yesu mjumbe wa agano jipya,na damu ya kunyunyizwa,inenayo mema kuliko ile ya habili"...
Ile kusema damu inanena,maana yake inaweza kubeba maneno,hapo ndipo concept ya agano inaingia na hiyo ndio tofauti yake na maji ya baraka.
 
Mkuu kikitoka ntakihitaji
 
Mkuu naomba Niku pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…