Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.... Baby ukirudi niletee ice-cream... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] DaahUmesema kweli ndugu. Na usiombe ukutane nao sehemu za starehe au kwenye ma mall huko. Jinsi wanavyonata unaweza sema wanaishi mbinguni. Ukipanga nao miadi hata siku moja hawakwambii uafuate makwao; ni aidha nyumbani kwa rafiki ama njiani. Na wao hujifanya ni mwiko kupanda daladala au bodaboda wakiwa wanakuja kwako; wanataka wa request UBER.
Ila sasa usiombe ukutane nao kwenye mishe zao binafsi, wanajuaga mpaka kuingilia dirishani kwenye daladala za kugombania.
Kipimo cha mademu design hii, ukiwakaribisha kwako au hata hotel jambo la kwanza wanalofanya ni kupiga picha mfululizo kila angle na kupost chilling at home au living large. Hii huwa ni reference ya kuhalalisha maisha yao fake ya mtandaoni.
Na kama ni kwako umemkaribisha, atagoma kuondoka. Utakaona kamejilaza kwenye sofa kanabadilisha channel za tv, huku kamevaa tshirt yako bila ya chupi. Hakajali ni Jumatatu, siku ya kazi. Kenyewe kanazuga zuga tu ukaache hapo. Utasikia baby ukirudi niletee ice cream, kama vile kanaishi hapo.
Kakiondoka lazima kaache japo chupi, ukitahamaki kamehamishia nguo zake zote kwako na tayari kamehamia hapo.
Inaendana na Yule anayekubaioloji kavu kavu 24/7 mpaka sasa umeanza Kumlazimisha muwe mnapitia Rough Road ili muwahi Kufika.Hiyo picha kwenye status yako,inaendana na ulichokuandika.
Haki nmecheka [emoji23][emoji23] yuko zake anaangalia sea view ya Slipway mixer Double treeAaaah utakua unaongopa tuuu toa hio Note 20 plus na viatu vyenu vya manyoya nyonya upo zako fishmonger..ukisalimiwa..unanyali watu....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Salasala yote tu tena kuna Demu anakaa hiyo Salasala yenu ( ya Ushuani ) sina hamu tena kwani nimetoka Kumbandua tu Siku Tatu baadae Mgeni Gono akanikaribia ila kwakuwa Mimi tayari ni Dawa ( GENTAMYCINE ) huyo Mgeni akanikimbia Mwenyewe kwa Kuniogopa.Mkuu Genta! Kwa heshima na taadhima naomba ueleze hao watu wapo Sala sala ipi mkuu! Maana Salasala tunakaa watu na heshima zetu mkuu!
Poti nishasema ni mgane.Nisamehe sana Dada yangu Mpendwa nilikuwa Natania tu na sikujua kuwa Wewe kumbe ni Mjane kama ulivyosema. Pole Dada yangu na Samahani mno.
Ni Mgane au Mjane?Poti nishasema ni mgane.
Naona makala za kijasusi zimekuisha sasa umerudi kwenye default yako.Inaendana na Yule anayekubaioloji kavu kavu 24/7 mpaka sasa umeanza Kumlazimisha muwe mnapitia Rough Road ili muwahi Kufika.
Mbona hata aliyekutapika Wodi ya Uzazi nae ni default case au unajisahaulisha tu?Naona makala za kijasusi zimekuisha sasa umerudi kwenye default yako.
Njoo ujishaue kwangu dear!!nitahakikisha nakulisha ice cream Baada ya kukukojoza my!!![emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]hakuna mtu hapendi raha mkuu
Waache wajishaue
I mean tuache tujishauwe
Kumekuchaaaaa tayarNjoo ujishaue kwangu dear!!nitahakikisha nakulisha ice cream Baada ya kukukojoza my!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Heee maBig haya!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yamewahi kukukuta mambo, lolUmesema kweli ndugu. Na usiombe ukutane nao sehemu za starehe au kwenye ma mall huko. Jinsi wanavyonata unaweza sema wanaishi mbinguni. Ukipanga nao miadi hata siku moja hawakwambii uafuate makwao; ni aidha nyumbani kwa rafiki ama njiani. Na wao hujifanya ni mwiko kupanda daladala au bodaboda wakiwa wanakuja kwako; wanataka wa request UBER.
Ila sasa usiombe ukutane nao kwenye mishe zao binafsi, wanajuaga mpaka kuingilia dirishani kwenye daladala za kugombania.
Kipimo cha mademu design hii, ukiwakaribisha kwako au hata hotel jambo la kwanza wanalofanya ni kupiga picha mfululizo kila angle na kupost chilling at home au living large. Hii huwa ni reference ya kuhalalisha maisha yao fake ya mtandaoni.
Na kama ni kwako umemkaribisha, atagoma kuondoka. Utakaona kamejilaza kwenye sofa kanabadilisha channel za tv, huku kamevaa tshirt yako bila ya chupi. Hakajali ni Jumatatu, siku ya kazi. Kenyewe kanazuga zuga tu ukaache hapo. Utasikia baby ukirudi niletee ice cream, kama vile kanaishi hapo.
Kakiondoka lazima kaache japo chupi, ukitahamaki kamehamishia nguo zake zote kwako na tayari kamehamia hapo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume unaenda vipi getoni kwa demu ? Kodi umemlipia wewe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiwakuta pale kitambaa Cheupe huwezi amini kama wanalala kwa mafungu kama Carrot za Bonite[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mnafunguka humu ndani.Sasa hujakutana na wale ambao wanajifanya hawaijui miogo, utawasikia ".....yaani mimi tumbo langu nikila miogo lina unguruma.........".
Sasa ubahatike umfumanie kwenye maisha yake halisi asubuhi kapanga foleni na bakuli lake,halafu anampigia kelele muuzaji "........kila siku nikija unaichelewesha miogo yangu, hebu niwekee ya buku haraka.......".
Ukimuliza "...baby wewe si ulagi miogo....tumbo litaunguruma........",atazuga "......mimi leo tu basi nilikuwa na hamu ya miogo......",hamu ya miogo MIOGO YA BUKU !!!!!.....manake miogo ya buku ni mlima, unaweza ukaua winga asubuhi na mchana, ukipiga kombe lako la maji unapiga miluzi unaitafuta usiku.
Sasa yy miogo ya buku kwake ni mlo mmoja wa asubuhi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa Raha zao