8/02/2015: Yanga vs Mtibwa match preview and live coverage

Ahsantee mkuu Freeland, niulizie nimeona sehemu eti Masuke ni Yanga. Ila usinitaje mimi nimesoma tu sehemu... simooo
Aisee hii ikitokea ni sawa na wewe kubadili kabila, Simba ndo timu pekee hata ikiwa mbovu namna gani nitaendelea kuishabikia japo hata kimoyo moyo.

Unaukumbuka wimbo wa Twanga Pepeta wa mtu pesa. 'Simba nimeipenda mwenyewe, hata ikishuka daraja nitaenda nayo', au kile kibwagizo kingine sijui ni kutoka kwenye wimbo gani. 'Simba ninavyoipenda ila sitakunywa sumu juu yake' halafu unamalizia na msaga sumu. Ninaipenda Simba shabiki wa damu.
 
Last edited by a moderator:

Ikifa, utakufa nayo?
 
Ikifa, utakufa nayo?

Simba ni taasisi ambayo imejengwa kwenye misingi imara na kuweka nguzo imara kwenye mioyo ya watu, hivyo sio rahisi kuharibu nguzo hizo kwenye mioyo ya watu na kamwe haiwezekani kuharibu misingi yake.
 
ndo tatizo la kuwa close sana na Bantu Lady,maswali ya kitoto kabisa,Simba itakufaje sasa

Nyota Nyekundu, Mseto, Cosmopolitan, Pilsner, Reli Morogoro, Ushirika Moshi, RTC Kagera, Biashara Shinyanga, Milambo Tabora n.k. ziko wapi Mkuu? Kama hizo zilikufa, nini cha ajabu Simba kufa?
 
ndo tatizo la kuwa close sana na Bantu Lady,maswali ya kitoto kabisa,Simba itakufaje sasa

Unauliza itakufaje!!!! itakufa hivyo hivyo kama unavyoiona kwenye msimamo wa ligi, kwani ipo nafasi ya ngapi!? Itakufa baada ya kushuka daraja.
 
Unauliza itakufaje!!!! itakufa hivyo hivyo kama unavyoiona kwenye msimamo wa ligi, kwani ipo nafasi ya ngapi!? Itakufa baada ya kushuka daraja.

Hajui kwamba kifo humkuta yeyote bila kujali anakubali au anakataa. Simba anatembea akiwa marehemu.
 
big up taifa stars wish ningekuwepo kuwaona am back .......loh shame mtibwaa ...sasa itabidii tumpeleke gwajima manungu kabla ya kwenda uwanjani..aiwezekani manungu kukawa nashida kila mkija dar mnamwagiwa magoli loh
 
hiv simba iko namba ngapi vile msimamo wa ligi mwenye uwezo wa kuweka msimamo wa ligi ni vyema zaidi loh
 
hiv simba iko namba ngapi vile msimamo wa ligi mwenye uwezo wa kuweka msimamo wa ligi ni vyema zaidi loh

Kaangalie hapa: www.tff.or.tz/

[TABLE="class: leaguemanager standingstable, width: 100%"]
[TR]
[TH="class: num"]Pos[/TH]
[TH="class: num"] [/TH]
[TH="class: logo"] [/TH]
[TH]Team[/TH]
[TH="class: num"]Pld[/TH]
[TH="class: num"]W[/TH]
[TH="class: num"]T[/TH]
[TH="class: num"]L[/TH]
[TH="class: num"]Goals[/TH]
[TH="align: center"]Diff[/TH]
[TH="class: num"]Pts[/TH]
[/TR]
[TR="class: alternate"]
[TD="class: rank"]1[/TD]
[TD="class: num"]↑[/TD]
[TD="class: logo"]
[/TD]
[TD]Young Africans[/TD]
[TD="class: num"]13[/TD]
[TD="class: num"]7[/TD]
[TD="class: num"]4[/TD]
[TD="class: num"]2[/TD]
[TD="class: num"]15[/TD]
[TD="class: num"]8[/TD]
[TD="class: num"]25[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: rank"]2[/TD]
[TD="class: num"]↓[/TD]
[TD="class: logo"]
[/TD]
[TD]Azam[/TD]
[TD="class: num"]12[/TD]
[TD="class: num"]6[/TD]
[TD="class: num"]4[/TD]
[TD="class: num"]2[/TD]
[TD="class: num"]17[/TD]
[TD="class: num"]7[/TD]
[TD="class: num"]22[/TD]
[/TR]
[TR="class: alternate"]
[TD="class: rank"]3[/TD]
[TD="class: num"]↑[/TD]
[TD="class: logo"]
[/TD]
[TD]Polisi Morogoro[/TD]
[TD="class: num"]14[/TD]
[TD="class: num"]4[/TD]
[TD="class: num"]7[/TD]
[TD="class: num"]3[/TD]
[TD="class: num"]12[/TD]
[TD="class: num"]1[/TD]
[TD="class: num"]19[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: rank"]4[/TD]
[TD="class: num"]↑[/TD]
[TD="class: logo"]
[/TD]
[TD]JKT Ruvu[/TD]
[TD="class: num"]14[/TD]
[TD="class: num"]5[/TD]
[TD="class: num"]4[/TD]
[TD="class: num"]5[/TD]
[TD="class: num"]14[/TD]
[TD="class: num"]0[/TD]
[TD="class: num"]19[/TD]
[/TR]
[TR="class: alternate"]
[TD="class: rank"]5[/TD]
[TD="class: num"]↑[/TD]
[TD="class: logo"]
[/TD]
[TD]Ruvu Shooting[/TD]
[TD="class: num"]14[/TD]
[TD="class: num"]5[/TD]
[TD="class: num"]4[/TD]
[TD="class: num"]5[/TD]
[TD="class: num"]10[/TD]
[TD="class: num"]-1[/TD]
[TD="class: num"]19[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: rank"]6[/TD]
[TD="class: num"]↓[/TD]
[TD="class: logo"]
[/TD]
[TD]Mtibwa Sugar[/TD]
[TD="class: num"]12[/TD]
[TD="class: num"]4[/TD]
[TD="class: num"]6[/TD]
[TD="class: num"]2[/TD]
[TD="class: num"]13[/TD]
[TD="class: num"]4[/TD]
[TD="class: num"]18[/TD]
[/TR]
[TR="class: alternate"]
[TD="class: rank"]7[/TD]
[TD="class: num"]•[/TD]
[TD="class: logo"]
[/TD]
[TD]Coastal Union[/TD]
[TD="class: num"]14[/TD]
[TD="class: num"]4[/TD]
[TD="class: num"]6[/TD]
[TD="class: num"]4[/TD]
[TD="class: num"]10[/TD]
[TD="class: num"]1[/TD]
[TD="class: num"]18[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: rank"]8[/TD]
[TD="class: num"]↑[/TD]
[TD="class: logo"]
[/TD]
[TD]Kagera Sugar[/TD]
[TD="class: num"]14[/TD]
[TD="class: num"]4[/TD]
[TD="class: num"]6[/TD]
[TD="class: num"]4[/TD]
[TD="class: num"]11[/TD]
[TD="class: num"]0[/TD]
[TD="class: num"]18[/TD]
[/TR]
[TR="class: alternate"]
[TD="class: rank"]9[/TD]
[TD="class: num"]↓[/TD]
[TD="class: logo"]
[/TD]
[TD]Simba[/TD]
[TD="class: num"]13[/TD]
[TD="class: num"]3[/TD]
[TD="class: num"]8[/TD]
[TD="class: num"]2[/TD]
[TD="class: num"]13[/TD]
[TD="class: num"]2[/TD]
[TD="class: num"]17[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: rank"]10[/TD]
[TD="class: num"]↓[/TD]
[TD="class: logo"]
[/TD]
[TD]Mbeya City[/TD]
[TD="class: num"]13[/TD]
[TD="class: num"]4[/TD]
[TD="class: num"]4[/TD]
[TD="class: num"]5[/TD]
[TD="class: num"]9[/TD]
[TD="class: num"]-2[/TD]
[TD="class: num"]16[/TD]
[/TR]
[TR="class: alternate"]
[TD="class: rank"]11[/TD]
[TD="class: num"]↑[/TD]
[TD="class: logo"]
[/TD]
[TD]Ndanda[/TD]
[TD="class: num"]14[/TD]
[TD="class: num"]4[/TD]
[TD="class: num"]3[/TD]
[TD="class: num"]7[/TD]
[TD="class: num"]13[/TD]
[TD="class: num"]-5[/TD]
[TD="class: num"]15[/TD]
[/TR]
[TR="class: relegation"]
[TD="class: rank"]12[/TD]
[TD="class: num"]↓[/TD]
[TD="class: logo"]
[/TD]
[TD]Mgambo JKT[/TD]
[TD="class: num"]12[/TD]
[TD="class: num"]4[/TD]
[TD="class: num"]2[/TD]
[TD="class: num"]6[/TD]
[TD="class: num"]6[/TD]
[TD="class: num"]-5[/TD]
[TD="class: num"]14[/TD]
[/TR]
[TR="class: alternate relegation"]
[TD="class: rank"]13[/TD]
[TD="class: num"]•[/TD]
[TD="class: logo"]
[/TD]
[TD]Stand United[/TD]
[TD="class: num"]14[/TD]
[TD="class: num"]2[/TD]
[TD="class: num"]6[/TD]
[TD="class: num"]6[/TD]
[TD="class: num"]9[/TD]
[TD="class: num"]-8[/TD]
[TD="class: num"]12[/TD]
[/TR]
[TR="class: relegation"]
[TD="class: rank"]14[/TD]
[TD="class: num"]•[/TD]
[TD="class: logo"]
[/TD]
[TD]Prisons[/TD]
[TD="class: num"]13[/TD]
[TD="class: num"]1[/TD]
[TD="class: num"]8[/TD]
[TD="class: num"]4[/TD]
[TD="class: num"]10[/TD]
[TD="class: num"]-2[/TD]
[TD="class: num"]11[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Nasikia aibu kuiona ilipo omg...loh tuangalie isishuke daraja jamani
 

Aisee!!! Acha mimi nibadili kabila, wewe uje Yanga. Unaonaje hii?
 
ndo tatizo la kuwa close sana na Bantu Lady,maswali ya kitoto kabisa,Simba itakufaje sasa

Hahahahahhaaaa halafu ID yako ishapitwa na wakati, ibadili haileti maana kwasasa. Tatizo lako hufikirii ya mbali, akili zako fupi kama maisha ya funza.
Tatizo lako lingine ni kufuata akili za Komeo lachuma, yule mwenzako fyatu kabisa. Ila Yanga kiboko yake, sasa hivi anaugulia maumivu, watu wanambembeleza kwa kumpakata tu.
 

Akili za mbali azipate wapi huyo mbumbumbu wa kule Bunju!!!!! Hakujua kuwa maisha yanabadilika badilika, sasa anaona aibu hata kubadili ID yake.
 
Kama viongozi watimu yake akilimoja ilampwangu huyubantumpotezeeeeee weraaaaweraaaa bamtulismmmmm:canada:
 
Akili za mbali azipate wapi huyo mbumbumbu wa kule Bunju!!!!! Hakujua kuwa maisha yanabadilika badilika, sasa anaona aibu hata kubadili ID yake.
Akiendataifa anaondoka aujaisha sembusehumu najaribikumsaidia timuipi yakuhahamia weraaaweraaaaaa. OBS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…