MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
- Thread starter
-
- #321
Mkuu soma uzi vizuri kwanza. Huku mjini wala hauitaji kutongoza, wanajitongozesha alafu wanakuletea invoice.Hapo ndo mzizi wa hilo tatizo ulipo, unaobwa pesa na mwanamke baada ya wewe kumtongoza alafu unalalamika? Mwanaume ni mtawala hivyo ukitaka kutawala vizuri uwe na uchumi mzuri yaani jasho lako liwe kubwa alafu tafuta mwanamke wa sifa zako unazopenda muhudumie kwa ufahari kabisa na tabia utakuwa huru kumuonya tabia mbaya usizopenda na hapo atakuwa ni mkeo Sasa mwaume analalamika kuobwaobwa pesa na wanawake anaowatongoza kwani nani amekwambia utongoze hovyo hovyo? Wakati uliambiwa utafute wa kufanana na wewe na ukimpata utajisikia fahari kumuhudumia.
Hivi huwa mnatafuta wanawake wapi? Ukiona hivyo ujue na wewe na mbinafsi ulipata unayefanana naye.Kilichomtokea Jamaa ako kimenitokea mm jana acha niamke nijiandae nikiwa naelekea job ntakuja na Story kama ya jamaa ako mpaka sa hivi nataka tu ninwache huyu mwanamke
Mimi ni jukumu langu kumpa hela Mwanamke .... hapa kwenyewe nataka kumrushia Mwanamke 100k ila Tigopesa inazingua!Kama waombwaji wangeacha kutoa pesa na vitu vingine hii tabia inge kufa.
LIPIA TANGAZO MKUUMimi ni jukumu langu kumpa hela Mwanamke .... hapa kwenyewe nataka kumrushia Mwanamke 100k ila Tigopesa inazingua!
Mko wachache sana wanaume mnaojua majukumu yenu. Niliongea na swahiba yangu kuhusu hili, aliniambia mwanaume akimpata mwanamke ambae roho yake imeridhia anaweza kufanya lolote kuhakikisha mwanamke yule hana shida.Mimi ni jukumu langu kumpa hela Mwanamke .... hapa kwenyewe nataka kumrushia Mwanamke 100k ila Tigopesa inazingua!
Ela inatoka vizuri tu, ila inataka mifumo fulani hivi, siyo yakutengenezwa. Mimi nazungusha mpaka round ya gari achilia mbali pombe. Ila wanawake lazima wajue wajibu wao, wapambane wasiwe makupe.Mko wachache sana wanaume mnaojua majukumu yenu. Niliongea na swahiba yangu kuhusu hili, aliniambia mwanaume akimpata mwanamke ambae roho yake imeridhia anaweza kufanya lolote kuhakikisha mwanamke yule hana shida.
Niwatetee tena akina mama ...kwa kuzunguka kwangu nchi tofauti za wenzetu walioendelea na wale wa kati madanga yapo tu kote..
Na hapa shida ni hali yenu ya uchumi iko vipi.so sio kosa lao...umasikini mbaya ndugu.
Wewe utaweza kutulia tuli wakati anarudi muda anaotaka au siku anayopenda Ili asikusumbue umuhudumie?Mkuu, siyo kisiasa, namaanisha kifamilia, nafikiri mzee kule unguja ametulia tu na msuli wake.
Ni mwanaume mpumbavu tu ndiye atakayekataa mwanamke asi- fanikiwe katika endeavors zake. Ukishalijua hilo, manake huwezi kumpangia muda wa kurudi ikiwa yuko kwenye majukumu.Wewe utaweza kutulia tuli wakati anarudi muda anaotaka au siku anayopenda Ili asikusumbue umuhudumie?
Watawavamia wanaopenda kulelewa Sasa mpaka maandiko yapo bado mtu usijiandae kuwa mtawala wa himaya yako bado usubiri kuja kutawaliwa na wanawake Saba? Aaah!Isaya 4:1
Wakati huo wanawake saba watamvamia mwanaume mmoja na kumuambia,chakula na mavazi tutajitafutia wenyewe, lakini wewe utuondolee aibu yetu,uturuhusu tuitwe kwa jina lako.
Na huo ndio ukweli.... huwa nafarijika nikiona Mwanamke anaridhika na vile ninamjali.... Mwanamke ameumbwa anahitaji SECURITY ikiwemo security ya uhakika wa mahitaji yake.... huwa naamini nikimtizimia na akiwa na amani... ht mm nakuwa na AMANIMko wachache sana wanaume mnaojua majukumu yenu. Niliongea na swahiba yangu kuhusu hili, aliniambia mwanaume akimpata mwanamke ambae roho yake imeridhia anaweza kufanya lolote kuhakikisha mwanamke yule hana shida.
Soma vizuri uzi.Watawavamia wanaopenda kulelewa Sasa mpaka maandiko yapo bado mtu usijiandae kuwa mtawala wa himaya yako bado usubiri kuja kutawaliwa na wanawake Saba? Aaah!
Mkuu, ukiwaa na mentality hiyo utapigiwa sana wanawake wako.Na huo ndio ukweli.... huwa nafarijika nikiona Mwanamke anaridhika na vile ninamjali.... Mwanamke ameumbwa anahitaji SECURITY ikiwemo security ya uhakika wa mahitaji yake.... huwa naamini nikimtizimia na akiwa na amani... ht mm nakuwa na AMANI
Wewe unambiti ki hoe mama!! Hujui alienda kuomba ili tupone!? Kwaufupi wanaomba ili familia ipate mlo siyo sisi tunaomba ili tukatumbue barWanawake wengi wanachukulia mahusiano kama chanzo cha mapato au relief from their financial responsibilities na mbaya zaidi kama wameshnda bingo (bahati nasibu).MBONA MAMA SAMIA SULUHU HASSAN ANAJIPAMBANIA NA SASA NI RAISI NA TUNAMUHESHIMU
Kuna wanawake warembo na ukirudi nyumbani ukimuona tu roho yako burdani. Sasa umkute na yeye amefundwa jinsi ya kumhudumia mume, waja watasema amekuwekea limbwata kumbe ni roho yako tu.Na huo ndio ukweli.... huwa nafarijika nikiona Mwanamke anaridhika na vile ninamjali.... Mwanamke ameumbwa anahitaji SECURITY ikiwemo security ya uhakika wa mahitaji yake.... huwa naamini nikimtizimia na akiwa na amani... ht mm nakuwa na AMANI
Hawawezi kuacha kutoa kwakuwa wanategemeana ...double compliment, "...ukitaka kula lazima uliwe..." Chalinze lineKama waombwaji wangeacha kutoa pesa na vitu vingine hii tabia inge kufa.
Na hasa akitokea Tanga !!!Kuna wanawake warembo na ukirudi nyumbani ukimuona tu roho yako burdani. Sasa umkute na yeye amefundwa jinsi ya kumhudumia mume, waja watasema amekuwekea limbwata kumbe ni roho yako tu.
Kuhudumia mke na familia ni jukumu la mume, there's no running away from that. Ukiona mtu analalamika kutoa huduma kwa mke ujuwe uchumi wake bado sio mzuri na inabidi mke nae atoke atafute ili mambo yaende..na hapa tupo wanaume wengi tu, 80% tunataka wake zetu watoke kutafuta ili mambo yaende.
Kuhudumia mchumba, girlfriend ni maamuzi ya mtu, usilalamike kama uliamua mwenyewe kuhudumia girlfriend wako.
Tatizo kweli kuna wadada wanaomba...yaani kweli sio sawa, umemfaham leo, kesho sim imepasuka kioo.