OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Aisee bila hela hupewi k.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna hela ya k na Kuna mizinga.Jua kutofautisha.aisee bila hela hupewi k.
Kwa sababu hakuna umhimu wowote wa kuzungushanaMbona wewe ukimtongoza unataka akupe siku hiyo hiyo
Hayo ni mawazo ya mwanamke mvivu na asiyejimbua. Nani amesema mwanamke ataishi kwa kumtegemea mwanaume? Kwa hivyo sisi tunakua wazazi wa pili, baada ya baba na mama yako?Tatizo ni mfumo wa kijamii unaofanya wanaume wengi kushindwa kumudu maisha ya kujitegemea na kushindwa kuoa hata mke mmoja, na pia unafiki wa kuiga mambo ya kimagharibi ya ndoa za mke mmoja na mambo ya usawa wa kijinsia. Kimsingi wanawake wote wanatakiwa kuishi kwa kuwategemea wanaume, sasa wanaume wanapoanza kulialia ni kuonyesha udhaifu mkubwa maana mchawi ni wao wenyewe na siyo hao wanawake........
Umenihamasisha nianze ku edit contact zanguKuna demu mie nimesave contact yake hilda omba omba
K inatoka vizuri tu wapo wadada waelewa they dont trade their private parts, pia kuna wale tunawakopaga vile vile.aisee bila hela hupewi k.
Kama waombwaji wangeacha kutoa pesa na vitu vingine hii tabia inge kufa.
😂😂😂Alafu wanapata wapi nguru Dada?
utafiti uchwara..
kwa msaada tu achana na wanawake wasiokuwa na kazi… huwawezi
akina miss buza mbona wapo tu, hao ndo size yako, hawana saloon service za gari wala mafuta
wengine achia wenye pesa zao..
mwanaume halii lii hovyo, jikaze
Hao Malonya tu. Pisi Kali zina price tagK inatoka vizuri tu wapo wadada waelewa they dont trade their private parts, pia kuna wale tunawakopaga vile vile.
Chakata kimasihara MkuuNaunga mkono hoja.
Hawa wanawake ni ombaomba sana.
Nje ya mada , ndani ya mada kuna shemeji yangu ananiomba sana, mpaka ghetto nimempangia ila nikimwomba mzigo anasema atakuwa ametenda kosa kubwa la kunivunjia heshima mimi na dada yake. Sasa heshima gani anaitaka huyu huku hata pesa ananiomba kisirisiri?
Kuna hiyo 20% iliyobakiNani kama mama.....
Kumbe ni omba2? Dunia haiishi vituko!
Ilibidi umle kisirisiri piaNaunga mkono hoja.
Hawa wanawake ni ombaomba sana.
Nje ya mada , ndani ya mada kuna shemeji yangu ananiomba sana, mpaka ghetto nimempangia ila nikimwomba mzigo anasema atakuwa ametenda kosa kubwa la kunivunjia heshima mimi na dada yake. Sasa heshima gani anaitaka huyu huku hata pesa ananiomba kisirisiri?
Watoi wa jf wengi ni akina Maraiah carey😂 full kulenga mirabaha ila watakuja kuni crush kuua soo!ni 99.99% siyo 80%
alaf cha kushangaza, waliopo jF wote watasema ni miss independent (nyuma ya kiibodi)
Wa JF waelewaWatoi wa jf wengi ni akina Maraiah carey😂 full kulenga mirabaha ila watakuja kuni crush kuua soo!