80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'

80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'

Wanawake wanawaomba wanaume sababu na wanaume wanawaomba wanawake. Ingekua sivyo wanaume wangeacha kutoa wanachoombwa ili kukomesha tabia ya kuomba

Siku hizi wote wanawake na wanaume wanadai haki sawa
Jua haliwezi kuchoza Magharibi likazama Mashariki, haiwezekani ku control nature mkuu, unadhani wale ombaomba walemavu wanaopewa mimba mitaani chanzo ni nini kama siyo wanaume wenye ndoa zilizoyumba nyumbani
 
Mwanamke kuwa omba omba haifai na siyo sawa hata kidogo.

Tubadilishe namna yetu ya kufikiri na mitazamo juu ya hilo.


Imeandikwa katika Biblia

Mithali 31:10 nakuendelea

Mwanamke mwema hufanya yafuatayo;

- Anafanana na Merikebu ya Biashara

Yani anaposafiri na kurudi nyumbani hurudi na bidhaa za biashara mbalimbali [emoji108]

Containers kwa containers za bidhaa mbalimbali zitakazouzwa na kuleta faida.

- Hutafuta shamba akalinunua kwa pesa itokanayo na mapato ya mikono yake na sio kudanga au kutegemea hela ya Mwanaume [emoji108]

- Huamka kabla usiku haujaisha na kuanza shughuli za uzalishaji wenye tija.

- huleta chakula chake toka mbali

- huwapa watu wa nyumbani mwake chakula na wajakazi sehemu yao.

- hali chakula cha uvivu

Huangalia njia za watu wa nyumbani mwake.

- Huitwa Kheri Na wanaume.

N.k.

Someni hadi mwisho
 
Alafu wanakuja kujumlisha wake zao wa ndoa na hao waombaji wao, mume kama mume anawajibu wa kuhudumia familia yake na ndo kitu kinampa ukuu wa kutawala imagine unabeba jukumu la kuongoza ratiba ya mke wako unamwamusha mtu usiku akuhudumie huduma ya Upendo na kwa Upendo Sasa usipokuwa na majuku juu yake utaweza kuvuruga ratiba zake? Na watoto hivyo hivyo unawaongoza wewe Sasa utaongoza kwa maneno bila vitendo?

Mithali 31:10-31
Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana thamani yake yapita thamani ya marijani. Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato. Humtendea mema wala si mabaya, Siku zote za maisha yake. Hutafuta sufu na kitani; Hufanya kazi yake kwa moyo wote. Afanana na merikebu za biashara; Huleta chakula chake kutoka mbali. Tena huamka, kabla usiku haujaisha; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula;

Na wajakazi wake sehemu zao. Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu. Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi; Hutia mikono yake nguvu. Huona kama bidhaa yake ina faida; Taa yake haizimiki usiku. Hutia mikono yake katika kusokota; Na mikono yake huishika pia. Huwakunjulia maskini mikono yake; Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake.

Hawahofii theluji watu wa nyumbani mwake; Maana wote wa nyumbani mwake huvikwa nguo nyekundu. Hujifanyia mazulia ya urembo; Mavazi yake ni kitani safi na urujuani. Mume wake hujulikana malangoni; Aketipo pamoja na wazee wa nchi. Hufanya nguo za kitani na kuziuza; Huwapa wafanya biashara mishipi. Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake; Anaucheka wakati ujao.

Hufumbua kinywa chake kwa hekima, Na sheria ya wema iko katika ulimi wake. Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake; Wala hali chakula cha uvivu. Wanawe huondoka na kumwita heri; Mumewe naye humsifu, na kusema, Binti za watu wengi wamefanya mema, Lakini wewe umewapita wote.

Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili; Bali mwanamke amchaye BWANA, ndiye atakayesifiwa. Mpe mapato ya mikono yake, Na matendo yake yamsifu malangoni.
 
Mwanamke kuwa omba omba haifai na siyo sawa hata kidogo.

Tubadilishe namna yetu ya kufikiri na mitazamo juu ya hilo.


Imeandikwa katika Biblia

Mithali 31:10 nakuendelea

Mwanamke mwema hufanya yafuatayo;

- Anafanana na Merikebu ya Biashara

Yani anaposafiri na kurudi nyumbani hurudi na bidhaa za biashara mbalimbali [emoji108]

Containers kwa containers za bidhaa mbalimbali zitakazouzwa na kuleta faida.

- Hutafuta shamba akalinunua kwa pesa itokanayo na mapato ya mikono yake na sio kudanga au kutegemea hela ya Mwanaume [emoji108]

- Huamka kabla usiku haujaisha na kuanza shughuli za uzalishaji wenye tija.

- huleta chakula chake toka mbali

- huwapa watu wa nyumbani mwake chakula na wajakazi sehemu yao.

- hali chakula cha uvivu

Huangalia njia za watu wa nyumbani mwake.

- Huitwa Kheri Na wanaume.

N.k.a

Someni hadi mwisho
Asante sana naomba niiweke mwazo kabisa wa uzi
 
Mithali 31:10-31
Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana thamani yake yapita thamani ya marijani. Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato. Humtendea mema wala si mabaya, Siku zote za maisha yake.

Hutafuta sufu na kitani; Hufanya kazi yake kwa moyo wote. Afanana na merikebu za biashara; Huleta chakula chake kutoka mbali. Tena huamka, kabla usiku haujaisha; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao. Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu.

Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi; Hutia mikono yake nguvu. Huona kama bidhaa yake ina faida; Taa yake haizimiki usiku. Hutia mikono yake katika kusokota; Na mikono yake huishika pia. Huwakunjulia maskini mikono yake; Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake. Hawahofii theluji watu wa nyumbani mwake; Maana wote wa nyumbani mwake huvikwa nguo nyekundu. Hujifanyia mazulia ya urembo; Mavazi yake ni kitani safi na urujuani. Mume wake hujulikana malangoni; Aketipo pamoja na wazee wa nchi.

Hufanya nguo za kitani na kuziuza; Huwapa wafanya biashara mishipi. Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake; Anaucheka wakati ujao. Hufumbua kinywa chake kwa hekima, Na sheria ya wema iko katika ulimi wake. Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake; Wala hali chakula cha uvivu. Wanawe huondoka na kumwita heri; Mumewe naye humsifu, na kusema, Binti za watu wengi wamefanya mema, Lakini wewe umewapita wote.

Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili; Bali mwanamke amchaye BWANA, ndiye atakayesifiwa. Mpe mapato ya mikono yake, Na matendo yake yamsifu malangoni.
 
Hilo ni jambo jema sana,serikali iimpe support huyo mzee aendelee kuwasitiri akina mama wenye mahitaji maalum
Ni kweli kabisa, anapokea kila mtu pale kwake, vijana na wazee, wake kwa waume, anaowafindosha kazi mbali, anaowafundisha ufundi mbali, anaowafundisha ujasiriamali na kutafutia mitaji mbali, anaowapatia ukulima mbao. Ilimradi kwa Mzee Abdul ushindwe mwenyewe tu.

Nilivypasikia nilikuwa siamini ikabidi nimtumie whatsapp kwa namab ya mtu nijifanye kama mimi ni single mother mwenye mahitaji maalum. Alinijibi kwa ufupi tu, njoo huku kwetu tuone tutanyanyuana vipi, unaishi wapi sasa hivi? Nikamwambia nipo Manzese kwa rafiki yangu, akaniuliza "utaweza maisha ya kwetu huku nje ya mji"? Kama utaona taabu siku ya Jumamosi tutampa mtu namba zako atakutafuta anakuja huko mjini, aone jinsi ya kufanya. Mie mwenyewe nikaonaa enheeeee, nimebeep amepiga. Nikamtumia message nikamwambia, asihangaike kumtuma mtu nimeongea na mdogo wangu kaniambia nikaishi kwake. Yalkaishia hapo.

Siku nyingine nikamtafuta kama ni mtu atakae kusaidia sadaka zake, akanambia "hatupokei sadaka za samaki" njoo huku uone sadaka zako zinavyoweza kurudi tena kwako, njoo uwekeze kwenye mambo ya waja wema. Hatutaki sadaka bila kuifanya kuwa endelevu. Haapo nikamshangaa sana na bado naendelea kumdadisi, nimeanza kuipata picha, ana very simple but highly effective ideas za empowerment. Tena akanifahamisha kuwa hata wao hawatoi sadaka ya samaki, wanakupa nyavu ukavue ili nawe uendeleze wengine. Siwezi kuyaeleza mengi aliyonifahamisha, atakae kuyafahamu amwandikie whatsapp, kanoiruhusu niitangaze namba yake, Hana neno.

Allah amzidishie kila la kheri, yaani kwanza utapoongea nae tu, unatambua kuwa huyu mtu yupo serious na anachokifanya.

Abdul Ghafur, hongera sana kwa juhudi zako. Allah akupe umri mrefu uwe mfano mwema wa kuigwa hata na serikali.
 
Kiasilia mwanaume ni mtoaji na. mwanamke ni mpokeaji

Huku unakokuita onbaomba kunakutengeneza kua baba bora mtu ambae anahudumia familia yake asa kama vitu vidogo ulivovitaja kama hivo je, ukiwa na familia kubwa utaweza???

Binafsi naona wanaotoa mada kama hizi ni hawa “young adults” 21-24 au hawa wa 25 na 27

Huez mkuta mkaka kwa his late 30 au early 40 anaongelea mada kama hizi na ndo maana waga wanawachukulia mademu zenu kwasababu hamjakua bado kiakili

My take; tafuta hela mwenye hela hapigagi makelele hivi na ukitaka for free umba wako 🥱

Yani unilale weee unichakaze ehee afu usepe hivihivi hapana haingiii akilini !!!

Ni kweli kabisa utoto unasumbua....

Ni kweli kiasilia mwanaume ni mtoaji sababu sisi kiasilia ndio tunabeba mimba na kulea,hivyo most times hatuko kwenye shughuli za kimaendeleo...na tunategemea 'resources' kutoka kwa mwanaume..ni trait tunayo share na wanayama wengi kasoro simba.
 
Ni kweli kabisa utoto unasumbua....

Ni kweli kiasilia mwanaume ni mtoaji sababu sisi kiasilia ndio tunabeba mimba na kulea,hivyo most times hatuko kwenye shughuli za kimaendeleo...na tunategemea 'resources' kutoka kwa mwanaume..ni trait tunayo share na wanayama wengi kasoro simba.
Mithali 31:10-31 SRUV
Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana thamani yake yapita thamani ya marijani. Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato.

Humtendea mema wala si mabaya, Siku zote za maisha yake. Hutafuta sufu na kitani; Hufanya kazi yake kwa moyo wote. Afanana na merikebu za biashara; Huleta chakula chake kutoka mbali. Tena huamka, kabla usiku haujaisha; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao. Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu. Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi; Hutia mikono yake nguvu. Huona kama bidhaa yake ina faida; Taa yake haizimiki usiku. Hutia mikono yake katika kusokota; Na mikono yake huishika pia.

Huwakunjulia maskini mikono yake; Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake. Hawahofii theluji watu wa nyumbani mwake; Maana wote wa nyumbani mwake huvikwa nguo nyekundu. Hujifanyia mazulia ya urembo; Mavazi yake ni kitani safi na urujuani. Mume wake hujulikana malangoni; Aketipo pamoja na wazee wa nchi. Hufanya nguo za kitani na kuziuza; Huwapa wafanya biashara mishipi.

Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake; Anaucheka wakati ujao. Hufumbua kinywa chake kwa hekima, Na sheria ya wema iko katika ulimi wake. Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake; Wala hali chakula cha uvivu.

Wanawe huondoka na kumwita heri; Mumewe naye humsifu, na kusema, Binti za watu wengi wamefanya mema, Lakini wewe umewapita wote. Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili; Bali mwanamke amchaye BWANA, ndiye atakayesifiwa. Mpe mapato ya mikono yake, Na matendo yake yamsifu malangoni.
 
Ni kweli kabisa, anapokea kila mtu pale kwake, vijana na wazee, wake kwa waume, anaowafindosha kazi mbali, anaowafundisha ufundi mbali, anaowafundisha ujasiriamali na kutafutia mitaji mbali, anaowapatia ukulima mbao. Ilimradi kwa Mzee Abdul ushindwe mwenyewe tu.

Nilivypasikia nilikuwa siamini ikabidi nimtumie whatsapp kwa namab ya mtu nijifanye kama mimi ni single mother mwenye mahitaji maalum. Alinijibi kwa ufupi tu, njoo huku kwetu tuone tutanyanyuana vipi, unaishi wapi sasa hivi? Nikamwambia nipo Manzese kwa rafiki yangu, akaniuliza "utaweza maisha ya kwetu huku nje ya mji"? Kama utaona taabu siku ya Jumamosi tutampa mtu namba zako atakutafuta anakuja huko mjini, aone jinsi ya kufanya. Mie mwenyewe nikaonaa enheeeee, nimebeep amepiga. Nikamtumia message nikamwambia, asihangaike kumtuma mtu nimeongea na mdogo wangu kaniambia nikaishi kwake. Yalkaishia hapo.

Siku nyingine nikamtafuta kama ni mtu atakae kusaidia sadaka zake, akanambia "hatupokei sadaka za samaki" njoo huku uone sadaka zako zinavyoweza kurudi tena kwako, njoo uwekeze kwenye mambo ya waja wema. Hatutaki sadaka bila kuifanya kuwa endelevu. Haapo nikamshangaa sana na bado naendelea kumdadisi, nimeanza kuipata picha, ana very simple but highly effective ideas za empowerment. Tena akanifahamisha kuwa hata wao hawatoi sadaka ya samaki, wanakupa nyavu ukavue ili nawe uendeleze wengine. Siwezi kuyaeleza mengi aliyonifahamisha, atakae kuyafahamu amwandikie whatsapp, kanoiruhusu niitangaze namba yake, Hana neno.

Allah amzidishie kila la kheri, yaani kwanza utapoongea nae tu, unatambua kuwa huyu mtu yupo serious na anachokifanya.

Abdul Ghafur, hongera sana kwa juhudi zako. Allah akupe umri mrefu uwe mfano mwema wa kuigwa hata na serikali.
Natamani sana kutoa sadaka yangu kwake ili asaidie hao watu wenye mahitaji maalum. Nitamtafuta nione nini cha kufanya.
 
Umekamatika ndio upige mzinga heavy?.Nature ya mwanamke ni mbinafsi upande wa hela yake na ndio maana ndani ya nyumba mke akiwa na 1milion, mume akiwa na laki tatu, hiyo nyumba jumla ina laki tatu.

Nina mifano mingi, ila huu mmoja wa juzi wa jamaa yangu dereva wa bajaj. Siku hiyo alichelewa kuamka sababu jana yake alifanya kazi nyingi, sasa asubuhi mkewe alienda gengeni. Jamaa kuamka alikuwa anaitafuta simu yake, katafuta wee baadae akawa anatafuta kwa kubahatisha, si akajaribu kuangalia upande wa kabati zinapokaa nguo za mkewe, pekua pekua akaziona milioni moja na laki nne. Jamaa mpaka alichoka, mkewe kurudi gengeni anamuomba mia tano ya Pampas, jamaa akamchana live kuhusu zile milioni 1.4,kumbe baba yao miezi miwili iliyopita aliuza eneo maeneo ya Kibaha baadae akaamua kuwapa watoto wake 1.5m na hapo hela ya matumizi kila kitu anaacha jamaa.

Sasa just imagine una 1.4m ila bado unamuomba 500 ya pampas mume wake ambaye kazi yake kuendesha bajaj tena ya mtoto aliye mzaa.

Mwanamke anaweza akawa ana hela mtoto anaumwa baada kumpeleka hospitalini, anampigia simu mme wake, mme wake anamwambia basi tumia akiba yako nikija nitalipa, bahati mbaya huko alipo enda mambo hayajawa vizuri. Sasa siku karudi mke anakumbushia kuhusu hela ya matibabu ya mtoto, mumewe anamwambia kwa sasa mambo si mazuri, utapewa mineno mixer kununiwa utazani labda mtoto ulizaa ww peke yako.

Bado kuna wale wanafunguliwa biashara na waume zao msingi ukikata mmewe anamuongezea, sasa siku au msimu hela kidogo inakuwa ngumu, mume anamwambia mkewe basi tumia faida yako kununua unga wa mwezi huu, mimi sasa hivi mambo hayapo vizuri,baada muda fulani lazima ataikumbushia hiyo na ataidai na hapo bado msingi ukikata anaomba umuongezee hela.

Dada nyinyi (95%) ni wabinafsi hajalishi mna kazi au hamna.Mimi katika maisha yangu siipigii hesabu hela ya mke wangu sababu ina masimango na maneno mengi.
joseph1989 Hii comment inastahili kufanyiwa lamination na kuwekwa kwenye hifadhi ya kumbukumbu ya Taifa
 

Mithali 31:10-31 SRUV​

Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana thamani yake yapita thamani ya marijani. Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato. Humtendea mema wala si mabaya, Siku zote za maisha yake. Hutafuta sufu na kitani; Hufanya kazi yake kwa moyo wote. Afanana na merikebu za biashara; Huleta chakula chake kutoka mbali. Tena huamka, kabla usiku haujaisha; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao. Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu. Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi; Hutia mikono yake nguvu. Huona kama bidhaa yake ina faida; Taa yake haizimiki usiku. Hutia mikono yake katika kusokota; Na mikono yake huishika pia. Huwakunjulia maskini mikono yake; Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake. Hawahofii theluji watu wa nyumbani mwake; Maana wote wa nyumbani mwake huvikwa nguo nyekundu. Hujifanyia mazulia ya urembo; Mavazi yake ni kitani safi na urujuani. Mume wake hujulikana malangoni; Aketipo pamoja na wazee wa nchi. Hufanya nguo za kitani na kuziuza; Huwapa wafanya biashara mishipi. Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake; Anaucheka wakati ujao. Hufumbua kinywa chake kwa hekima, Na sheria ya wema iko katika ulimi wake. Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake; Wala hali chakula cha uvivu. Wanawe huondoka na kumwita heri; Mumewe naye humsifu, na kusema, Binti za watu wengi wamefanya mema, Lakini wewe umewapita wote. Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili; Bali mwanamke amchaye BWANA, ndiye atakayesifiwa. Mpe mapato ya mikono yake, Na matendo yake yamsifu malangoni.

sasa ndio nini....
 
Kubalance the story ungeleta na mume mwema yukoje....
Ni balance story kivipi, hayo siyo mandishi yangu ni mitume na manabii, yameongelewa hayo mambo toka zamani katika jitihada za kuzuia uomba omba na udangaji
 
Back
Top Bottom