80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'

80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'

Naona hii hoja tumshirikishe Waziri Dorothy Gwajima. Inakuwaje mwanamke kufikiria apate mwanamme ili ampe majukumu ya matatizo yake, kwani hawa wanawake hawana wazazi? Kwa kwei wanawake wa kibongo mnaboa kishenzi mpaka wanaume wanawakimbia.
Achana na kuwa na wazazi tu bro;

Wapo wengine wameolewa na waume safi wanawapa kila kitu but bado wanajishusha kwa wanaume wengine na kuanza vizinga ukisikia mke wa mtu analiwa ujue sababu ni hii tunawala kwa sababu ya hasira ya kuombwa ofa ofa zisizo rasmi mfano wife wa mtu anakuomba umuunge kifurushi cha buku,mara naomba unilipie nauli kwenye daladala nauli yenyewe 500, akikukuta supermarket utasikia jamani shemeji wanao unawanunulia zawadi gani leo?

So chanzo cha kuliwa kinaanzia huku kwenye ombaomba
 
Mie napenda sana wanawake wote naowatongoza na nyumba ndogo zangu waniombe fedha, vitu na vinginevyo, isipokuwa asitake very expensive things.

Ila hela za kula, saloon, nguo, bills ndogo ndogo za kwake nalipa zote, mwanamke mtamu jamani kwa uliyempenda moyoni uuuwiii, acha yeye ale hela zangu, mie nakula yeye, no one is losing.
 
Achana na kuwa na wazazi tu bro;Wapo wengine wameolewa na waume safi wanawapa kila kitu but bado wanajishusha kwa wanaume wengine na kuanza vizinga ukisikia mke wa mtu analiwa ujue sababu ni hii tunawala kwa sababu ya hasira ya kuombwa ofa ofa zisizo rasmi mfano wife wa mtu anakuomba umuunge kifurushi cha buku,mara naomba unilipie nauli kwenye daladala nauli yenyewe 500,akikukuta supermarket utasikia jamani shemeji wanao unawanunulia zawadi gani leo?So chanzo cha kuliwa kinaanzia huku kwenye ombaomba
Kwa kweli wanaboa na sijawahi msalimia manamke bila kupigwa mzinga hapa Bongo.
 
Wanawake hapa Tanzania wanautamaduni wa kuomba. Niwachache sana walilelewa katika mazingira ya kujitegemea na maisha yao wanayaendesha wenyewe.

Kuwa ombaomba kunasababisha waliwe hovyohovyo maana hakuna Cha bure duniani. Ukiwa na mtoto wa kike mfundishe kujitegemea aomdokene na utamanduni na tabia ya kuombaomba watu wengine bila sababu ya msingi.
 
Hii dhana ya kumuhudumia mtu mzima mwenye akili na nguvu zake katika set up yoyote ile, iwe ndoa au mahusiano ndiyo aiingii akilini. Kwanini ahudumiwe, awe mke au mchepuko. Ndiyo mentality ya kuwa omba omba, mtegemezi na kupe. Mabepari hatutaki.
Hii dhana ya kuhudumiwa sijui inatoka wapi. Unakuta una kipato kizuri lakini unampiga mumeo au mpenzi wako vizinga etc . Tusipobadilka tutajenga kizazi cha ajabu kabisa. Tujifunze kuchangia ustawi wa familia kwa pamoja.
 
Kwa nini unasema 80% ?
Actually ni 100%
Kina dada wanatia aibu, wao kuomba ni jadi sasa hivi.
Kutoa papuchi kwa ajili ya huduma si tatizo kabisa sasa hivi.
Wanaume mpaka tunaogopa kutania kina dada, ukimkoleza tu unaletewa papuchi unakotaka, kinachofuata ni matatizo lukuki, mara kodi ya nyumba mara chakula mara anauguliwa mara hela ya wine.
Jana tu kabibi kangu ka siku nyingi na tuliachana sababu ya kubomu kwingi, ati kaniambia anani missi na hapo hapo ana shida ya laki 2.
Nikamwambia zikinitembelea nitamjulisha!
Wengibe tutoe kwenye hiyo 100%. Tuko tunaojielewa. Siwezi kutoa papuchi sababu umenipa hela, hapo nitakua najiuza.
 
Wanaanzaga, nikuambie kitu
Sasa upange nyumba ya bei yote hiyo ilihali huna kipato. Jirani na nyumbani kwangu kuna apartment zinapangishwa, kuna wadada kama 2 wamepangishiwa hapo. Wanapewa kila kitu nz madanga yao lakini na wenyewe wana vimwaume vyao pembeni.

Yaani huwa siwaelewi hawa watu . Mwanamke unawezaje kuwa na zaidi ya mwanaume mmoja at the same time? Huu ni ukahaba
 
Wapo wanaopenda tunawaonaga kule. Pia udangaji ni dunia nzima sasa huyu mtoa mada anaongea as if wanawake wa kiTz wana tabia special kulinganisha na wengine.
Bora uwe kahaba kuliko kutumia neno mapenzi, huu ni ulaghai. Ulaya makahaba wanafanya kama biashara huko kwetu hawataki kujulikana wanatumia mapenzi kama gia ya kuchuna
 
Back
Top Bottom