MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
- Thread starter
- #461
Hili ni janga la taifaNamba uombe Leo asbh jion uombwe kutuma hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni janga la taifaNamba uombe Leo asbh jion uombwe kutuma hela
Mahusiano siyo ajira au chanzo cha mapatoKikoba hamtaki.
Kujiuza hamtaki
Kuombwa pia hamtaki.
Sasa tutaishije, siyo wote wenye kuweza kijiajiri
indeedTatizo ni sisi wanaume tunaendekeza kuwapa, tukatae na kuacha kuwapa kama hawajatia akili za kutafuta wenyewe!
Jibu swali ewe mtafiti... Mtafiti haji na majibu ya jumla jumla !!
Nakazia4. When you start exchanging love and private parts in return for money, you are no longer a lady, but a business woman commonly refered to as prostitute
Tofauti ya kudanga na kujiuza ni ipi?Sasa hapa unaingilia faragha za watu, unaweza kunipeleka mahakamani kwakuwa mimi ni mdangaji?
Kwa msumari wa inch sita na nyundo ya kilo mbiliNakazia
Wauzaji wako straight, exchange of money na papuchi. Wadangaji wako indirect, wana ku marinate kwanza alafu unapigwa invoice, ila wote nia yao ni moja. Kupata helaTofauti ya kudanga na kujiuza ni ipi?
Niuzie mie mbususu jamani🤣🤣🤣Kikoba hamtaki.
Kujiuza hamtaki
Kuombwa pia hamtaki.
Sasa tutaishije, siyo wote wenye kuweza kijiajiri
Nimekuelewa mkuu,nimegundua wadangaji ndio wengi kuliko wauzaji na siku hizi wanapenda kusema nilidate na fulani kupunguza makali ya kusema nilitembea naeWauzaji wako straight, exchange of money na papuchi. Wadangaji wako indirect, wana ku marinate kwanza alafu unapigwa invoice, ila wote nia yao ni moja. Kupata hela
Kwa akili zenu, tusingetoa pesa mnazanii mngekaa kwa relation, ..hyoo ndyoo mentality mmeshajijengea kwamba relation ni sehem ya kupatia pesa na ngoja niwambie ...yatawashindaaa tenaa sanaaKama waombwaji wangeacha kutoa pesa na vitu vingine hii tabia ingekufa.
Watafika kwenye ndoa wakiwa na viungo chakavuKwa akili zenu, tusingetoa pesa mnazanii mngekaa kwa relation, ..hyoo ndyoo mentality mmeshajijengea kwamba relation ni sehem ya kupatia pesa na ngoja niwambie ...yatawashindaaa tenaa sanaa
[emoji23][emoji23] hadii mkaolewe mtakua msha chosha viungoo
Hata wenye job bado wana tabia ya OmbaombaMnafata pisi kali ambazo ni jobless na wadangaji halafu mnakuja kulalamika as if wanaombaga figo
Haiombwi hivyo Mkuu[emoji23]Kama wewe bahili afu unataka kuingia mapajani kwa mwenzako, utaishia kuwaita shemeji tu
Haiombwi hivyoNgoja niwambie kitu.
Mi sioni shida kuombwa na mwanamke as long as ninacho anachoniomba nitampa. Ila kama sina katu simpi kwa kujilazimisha. Akishindwa kuendana na hali yangu nampa nafasi aende wapo wengine 9 watakuja nitachagua tena mmoja.
Kuomba matumizi kwa mwanamke maana yake anakuambia nipo chini yako and bila wewe siwezi kuishi.
Mm huwa nafurahia kuombwa ila sasa isiwe kukomoana, nikigundua unanikomoa hata kile nlipanga kukupa sitakupa nitakutumia ukiona sio rizki unatumika basi nakupa nasasi ya ku move on afu tunabakia marafiki wazuri tu. Ili siku ingine tukikutana upo na mme mwenzangu tunapeana mikono tunakaa meza moja tunafurahi, au siku ingine tunapasha kiporo
Kama unajua hauna chochote Cha kuingiza kipato kwanini usiombe akufungulie mtaji kuliko kuwa omba omba je siku huyo mtu wako akawa hana hela si ndio utajikuta unazama Kwenye udangaji hakuna kitu kibaya kama kumtegemea mtuNot me,
Padre ananipa hela as usual