Habari wana JF. Thread hii inahusu KARIAKOO.
Kwanza kabisa naomba nianze Kwa taarifa kutoka EACLC UBUNGO. "Uongozi wa kituo Cha biashara Cha kimataifa Ubungo umetangaza Kodi ya duka EACLC UBUNGO inaanzia shilingi milioni moja za Kitanzania(1M Tsh)".
Hivyo Sasa Ndugu zangu naona Kuna Story nyingi Sana za kutishana/kukatishana tamaa kuhusu KARIAKOO story ni nyingi kuliko kawaida sasa ngoja niwape mwanga kidogo, Hapa kariakoo zipo fremu za Bei ya kawaida kabisa ambayo mtu yeyote anaweza kumudu, mfano zipo fremu za 85,000 juu ghorofani unalipia Kwa miezi sita au mwaka zipo za 100,000 zipo za 200,000 zipo za 250,000 zipo za 300,000 zipo za 350,000 zipo za 400,000 zipo za 500,000 zipo za 800,000 mpaka 1,000,000 inategemea na mtaa pia na sehemu yani namaanisha Kama ni underground, juu au chini kawaida.
Hivyo basi msiogope kuja kufanya biashara au kuplan kufanya biashara kariakoo kwani fremu za Bei chee zipo nyingi sana achana na story za kukatishana tamaa wakati unaweza kuingia kariakoo na mtaji wako mdogo kabisa na ukapiga kazi vizuri kama wafanya biashara wengine na ukatengeneza faida kubwa.
Kwa maana hiyo basi wale wote wanao hitaji fremu za kuuzia nguo, viatu, urembo, vyombo, huduma za kifedha kama M-PESA , TIGO PESA, AIRTEL MONEY, HALO PESA, CRDB wakala, NMB wakala, NBC wakala n.k, kuuza simu, kuuza underwear(boxer,chupi,soksi,taiti n.k), kuuza vinywaji kama soda, maji, juisi n.k, kuuza vifaa vya simu, kuuza vyakula, kuuza mifuko kwa jumla, kuuza t shirt, kuuza vifaa vya ujenzi, fremu za pharmacy, stoo za mizigo, kuuza vifaa vya saloon, kuuza computer, kuuza nguo za michezo, stationary n.k karibuni fremu zipo nyingi sana.
Pia wale wanao hitaji HOSTEL KARIAKOO zipo{Wanafunzi DIT, CBE, DMI, TIA, IFM, AMAZON n.k} karibuni sana.
"YOU WIN WE WIN"
Kwanza kabisa naomba nianze Kwa taarifa kutoka EACLC UBUNGO. "Uongozi wa kituo Cha biashara Cha kimataifa Ubungo umetangaza Kodi ya duka EACLC UBUNGO inaanzia shilingi milioni moja za Kitanzania(1M Tsh)".
Hivyo Sasa Ndugu zangu naona Kuna Story nyingi Sana za kutishana/kukatishana tamaa kuhusu KARIAKOO story ni nyingi kuliko kawaida sasa ngoja niwape mwanga kidogo, Hapa kariakoo zipo fremu za Bei ya kawaida kabisa ambayo mtu yeyote anaweza kumudu, mfano zipo fremu za 85,000 juu ghorofani unalipia Kwa miezi sita au mwaka zipo za 100,000 zipo za 200,000 zipo za 250,000 zipo za 300,000 zipo za 350,000 zipo za 400,000 zipo za 500,000 zipo za 800,000 mpaka 1,000,000 inategemea na mtaa pia na sehemu yani namaanisha Kama ni underground, juu au chini kawaida.
Hivyo basi msiogope kuja kufanya biashara au kuplan kufanya biashara kariakoo kwani fremu za Bei chee zipo nyingi sana achana na story za kukatishana tamaa wakati unaweza kuingia kariakoo na mtaji wako mdogo kabisa na ukapiga kazi vizuri kama wafanya biashara wengine na ukatengeneza faida kubwa.
Kwa maana hiyo basi wale wote wanao hitaji fremu za kuuzia nguo, viatu, urembo, vyombo, huduma za kifedha kama M-PESA , TIGO PESA, AIRTEL MONEY, HALO PESA, CRDB wakala, NMB wakala, NBC wakala n.k, kuuza simu, kuuza underwear(boxer,chupi,soksi,taiti n.k), kuuza vinywaji kama soda, maji, juisi n.k, kuuza vifaa vya simu, kuuza vyakula, kuuza mifuko kwa jumla, kuuza t shirt, kuuza vifaa vya ujenzi, fremu za pharmacy, stoo za mizigo, kuuza vifaa vya saloon, kuuza computer, kuuza nguo za michezo, stationary n.k karibuni fremu zipo nyingi sana.
Pia wale wanao hitaji HOSTEL KARIAKOO zipo{Wanafunzi DIT, CBE, DMI, TIA, IFM, AMAZON n.k} karibuni sana.
"YOU WIN WE WIN"