- Thread starter
- #21
Yani mfano wewe umepanga fremu kariakoo umelipia Kodi ya mwaka 9M alafu akaja mtu anaitaka fremu yako unamuuzia au kumpangisha Kwa 14M sio milioni 9M uliyoilipia wewe mwanzo.Kiremba ni nini mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani mfano wewe umepanga fremu kariakoo umelipia Kodi ya mwaka 9M alafu akaja mtu anaitaka fremu yako unamuuzia au kumpangisha Kwa 14M sio milioni 9M uliyoilipia wewe mwanzo.Kiremba ni nini mkuu
Aisee.. 🤣🤣🤣Yani mfano wewe umepanga fremu kariakoo umelipia Kodi ya mwaka 9M alafu akaja mtu anaitaka fremu yako unamuuzia au kumpangisha Kwa 14M sio milioni 9M uliyoilipia wewe mwanzo.
kasema ghorofani. Usikute fremu ipo 5th floor jengo lisilo na lifti wateja wa kutafutia InstaToo good to be true!
Yes na yeye akitaka kuondoka anamtafuta mtu anauza lakini Kuna mgawanyo Hapo kumbuka jengo sio lako Kuna wamiliki wa jengo.Aisee.. 🤣🤣🤣
Wanajua watu wa Kariakoo ni kitu ganiKiremba ni nini mkuu
Hakika.Wanajua watu wa Kariakoo ni kitu gani
Floor ya 3 Uncle wateja wanafika vizuri sema fremu yake sio kubwa {Kigoli}.kasema ghorofani. Usikute fremu ipo 5th floor jengo lisilo na lifti wateja wa kutafutia Insta
Fremu hazina kilemba Uncle nyingi ni majengo yaliyo jegwa upyaa so karibu.Hakuna mambo ya Kiremba ?
kigoli meter ngap kwa ngap?Ipo floor ya pili na floor ya tatu sio kubwa sana {Kigoli} karibu.
Ahsante sana,nitakaribiaFremu hazina kilemba Uncle nyingi ni majengo yaliyo jegwa upyaa so karibu.
Meter tofautofauti Kwa vigoli tofautofauti Uncle siwezi andika hapa Kwa mfanya biashara hususani kariakoo nikisema kigoli atanielewa .kigoli meter ngap kwa ngap?
Uhuni juu ya uhuniYes na yeye akitaka kuondoka anamtafuta mtu anauza lakini Kuna mgawanyo Hapo kumbuka jengo sio lako Kuna wamiliki wa jengo.
Kwani kariakoo haijajaa Mzee?Kungekuwa unatengeneza faida nyingi kama unavyodai hizo sehemu ungekuta zimejaa
Sasa Mimi narahisisha nakupa fremu unalipa Kodi tu kisha na Mimi unanilipa ya mwezi mmoja.Uhuni juu ya uhuni