85% ya Mashabiki wa Yanga SC walioenda Kigali Rwanda wamelala katika Mabasi yao

85% ya Mashabiki wa Yanga SC walioenda Kigali Rwanda wamelala katika Mabasi yao

Na sababu Kubwa ni kutokana na Hoteli nyingi kuwa za Gharama huku Wao ( Mashabiki ) wakiwa na Hela pungufu.

Taarifa za uhakika ambazo GENTAMYCINE nimezipata kutoka Jijini Kigali Rwanda ni kwamba nje ya Mashabiki Kulala ( Kimasikini na Kiuhuruma ) Ndani ya Mabasi Mikweche yao pia hata katika Chakula ni mwendo wa Kugongea tu Chips, Wali Maharage, Ugali Tembele na Maji.

GSM na Rais wa Yanga SC nimewasifu mno kwa Ujanja wenu mkubwa mlioutumia yaani mmepima kwa kufanya Cost Analysis Benefit kati ya Kuwanunulia Tiketi Mashabiki wote wa Yanga SC walioambatana na Timu huko na Kuwalisha Wote kwa hizi Siku Mbili mkaona bora muwalipie tu Tiketi na kwa Kula watapajua Wao kwani hamkuwalazimisha Wasafiri hadi huko wakati Wengi wao wakijijua fika kuwa ni Masikini wa Kutupwa ( Choka Mbaya ) kama Mimi GENTAMYCINE.

Yaani katika Uwanja wa Pele leo ni mwendo tu wa Kupiga Miayo kwa Njaa Kali huku tukiugulia Maumivu ya Kulala kwa Kujikunja ndani ya Mabasi yetu huku Migongo na Magoti vikiuma na Sura zetu kuwa ni za Usununu ( Hasira ) tupu.

Halafu Mchezaji Mstaafu Mnyarwanda Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima amesema Kujuana isiwe taabu kwani Jana alialika Mashabiki Kumi tu wakale na wakalale Kwake Chumba cha Wageni na Stoo ila ghafka anaona Kundi Kubwa la Mashabiki wa Yanga SC ambao Kipaumbele chao kilikuwa ni kutafuta Sifa tu kuwa Wameandamana na Timu yao hadi Kigali Rwanda ila hawana Hela ya Kula wala ya Kukodi Gesti hivyo Kawakataa na Kawatoa Baru na hivi sasa ( Asubuhi hii ) wanarandaranda tu Mitaani kama Chokoraa wa Mnazi Mmoja na Kisutu.

Na nina Bonge Moja la Exclusive nasubiria leo ama Mfungwe au Mtoe Sare na mkiwa mmekasirika kwa Matokeo ambayo hamkuyategemea nije nayo hapa ili muumie nayo maradufu. Yaani ni mwendo wa Kuwakereni / Kuwakera tu na ndiyo Furaha yangu Kuu na Tukuka Kwenu.

ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.
Kwa mujibu wa kamanda muliro, siku mbili hizi vitendo vya wizi na ukabaji vimepungua kama sio kuisha kwenye maeneo mengi kama Kinondoni Moscow, Tandale, Mburahati na Temeke kwa ujumla. Safari ya Kigali imeenda na watendaji wa hizo kazi
 
Na sababu Kubwa ni kutokana na Hoteli nyingi kuwa za Gharama huku Wao ( Mashabiki ) wakiwa na Hela pungufu.

Taarifa za uhakika ambazo GENTAMYCINE nimezipata kutoka Jijini Kigali Rwanda ni kwamba nje ya Mashabiki Kulala ( Kimasikini na Kiuhuruma ) Ndani ya Mabasi Mikweche yao pia hata katika Chakula ni mwendo wa Kugongea tu Chips, Wali Maharage, Ugali Tembele na Maji.

GSM na Rais wa Yanga SC nimewasifu mno kwa Ujanja wenu mkubwa mlioutumia yaani mmepima kwa kufanya Cost Analysis Benefit kati ya Kuwanunulia Tiketi Mashabiki wote wa Yanga SC walioambatana na Timu huko na Kuwalisha Wote kwa hizi Siku Mbili mkaona bora muwalipie tu Tiketi na kwa Kula watapajua Wao kwani hamkuwalazimisha Wasafiri hadi huko wakati Wengi wao wakijijua fika kuwa ni Masikini wa Kutupwa ( Choka Mbaya ) kama Mimi GENTAMYCINE.

Yaani katika Uwanja wa Pele leo ni mwendo tu wa Kupiga Miayo kwa Njaa Kali huku tukiugulia Maumivu ya Kulala kwa Kujikunja ndani ya Mabasi yetu huku Migongo na Magoti vikiuma na Sura zetu kuwa ni za Usununu ( Hasira ) tupu.

Halafu Mchezaji Mstaafu Mnyarwanda Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima amesema Kujuana isiwe taabu kwani Jana alialika Mashabiki Kumi tu wakale na wakalale Kwake Chumba cha Wageni na Stoo ila ghafka anaona Kundi Kubwa la Mashabiki wa Yanga SC ambao Kipaumbele chao kilikuwa ni kutafuta Sifa tu kuwa Wameandamana na Timu yao hadi Kigali Rwanda ila hawana Hela ya Kula wala ya Kukodi Gesti hivyo Kawakataa na Kawatoa Baru na hivi sasa ( Asubuhi hii ) wanarandaranda tu Mitaani kama Chokoraa wa Mnazi Mmoja na Kisutu.

Na nina Bonge Moja la Exclusive nasubiria leo ama Mfungwe au Mtoe Sare na mkiwa mmekasirika kwa Matokeo ambayo hamkuyategemea nije nayo hapa ili muumie nayo maradufu. Yaani ni mwendo wa Kuwakereni / Kuwakera tu na ndiyo Furaha yangu Kuu na Tukuka Kwenu.

ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.
Wameenda kwa hiari yso unataka uwapangie pa kulala?
 
ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.
Aisha madinda on one and two
 
Kwa mujibu wa kamanda muliro, siku mbili hizi vitendo vya wizi na ukabaji vimepungua kama sio kuisha kwenye maeneo mengi kama Kinondoni Moscow, Tandale, Mburahati na Temeke kwa ujumla. Safari ya Kigali imeenda na watendaji wa hizo kazi
Utamuibia nani wenye hela wote tupo huku Rwanda
 
Ivi umu Jf kuna watu wanalipwa kwa kuanzisha thread ? Maana kuna thread zilitakiwa ziwe comment

Swali hili haliusiani na mleta thread
 
Na sababu Kubwa ni kutokana na Hoteli nyingi kuwa za Gharama huku Wao ( Mashabiki ) wakiwa na Hela pungufu.

Taarifa za uhakika ambazo GENTAMYCINE nimezipata kutoka Jijini Kigali Rwanda ni kwamba nje ya Mashabiki Kulala ( Kimasikini na Kiuhuruma ) Ndani ya Mabasi Mikweche yao pia hata katika Chakula ni mwendo wa Kugongea tu Chips, Wali Maharage, Ugali Tembele na Maji.

GSM na Rais wa Yanga SC nimewasifu mno kwa Ujanja wenu mkubwa mlioutumia yaani mmepima kwa kufanya Cost Analysis Benefit kati ya Kuwanunulia Tiketi Mashabiki wote wa Yanga SC walioambatana na Timu huko na Kuwalisha Wote kwa hizi Siku Mbili mkaona bora muwalipie tu Tiketi na kwa Kula watapajua Wao kwani hamkuwalazimisha Wasafiri hadi huko wakati Wengi wao wakijijua fika kuwa ni Masikini wa Kutupwa ( Choka Mbaya ) kama Mimi GENTAMYCINE.

Yaani katika Uwanja wa Pele leo ni mwendo tu wa Kupiga Miayo kwa Njaa Kali huku tukiugulia Maumivu ya Kulala kwa Kujikunja ndani ya Mabasi yetu huku Migongo na Magoti vikiuma na Sura zetu kuwa ni za Usununu ( Hasira ) tupu.

Halafu Mchezaji Mstaafu Mnyarwanda Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima amesema Kujuana isiwe taabu kwani Jana alialika Mashabiki Kumi tu wakale na wakalale Kwake Chumba cha Wageni na Stoo ila ghafka anaona Kundi Kubwa la Mashabiki wa Yanga SC ambao Kipaumbele chao kilikuwa ni kutafuta Sifa tu kuwa Wameandamana na Timu yao hadi Kigali Rwanda ila hawana Hela ya Kula wala ya Kukodi Gesti hivyo Kawakataa na Kawatoa Baru na hivi sasa ( Asubuhi hii ) wanarandaranda tu Mitaani kama Chokoraa wa Mnazi Mmoja na Kisutu.

Na nina Bonge Moja la Exclusive nasubiria leo ama Mfungwe au Mtoe Sare na mkiwa mmekasirika kwa Matokeo ambayo hamkuyategemea nije nayo hapa ili muumie nayo maradufu. Yaani ni mwendo wa Kuwakereni / Kuwakera tu na ndiyo Furaha yangu Kuu na Tukuka Kwenu.

ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.

habar nzuri lakin mwisho taarabu
 
Na sababu Kubwa ni kutokana na Hoteli nyingi kuwa za Gharama huku Wao ( Mashabiki ) wakiwa na Hela pungufu.

Taarifa za uhakika ambazo GENTAMYCINE nimezipata kutoka Jijini Kigali Rwanda ni kwamba nje ya Mashabiki Kulala ( Kimasikini na Kiuhuruma ) Ndani ya Mabasi Mikweche yao pia hata katika Chakula ni mwendo wa Kugongea tu Chips, Wali Maharage, Ugali Tembele na Maji.

GSM na Rais wa Yanga SC nimewasifu mno kwa Ujanja wenu mkubwa mlioutumia yaani mmepima kwa kufanya Cost Analysis Benefit kati ya Kuwanunulia Tiketi Mashabiki wote wa Yanga SC walioambatana na Timu huko na Kuwalisha Wote kwa hizi Siku Mbili mkaona bora muwalipie tu Tiketi na kwa Kula watapajua Wao kwani hamkuwalazimisha Wasafiri hadi huko wakati Wengi wao wakijijua fika kuwa ni Masikini wa Kutupwa ( Choka Mbaya ) kama Mimi GENTAMYCINE.

Yaani katika Uwanja wa Pele leo ni mwendo tu wa Kupiga Miayo kwa Njaa Kali huku tukiugulia Maumivu ya Kulala kwa Kujikunja ndani ya Mabasi yetu huku Migongo na Magoti vikiuma na Sura zetu kuwa ni za Usununu ( Hasira ) tupu.

Halafu Mchezaji Mstaafu Mnyarwanda Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima amesema Kujuana isiwe taabu kwani Jana alialika Mashabiki Kumi tu wakale na wakalale Kwake Chumba cha Wageni na Stoo ila ghafka anaona Kundi Kubwa la Mashabiki wa Yanga SC ambao Kipaumbele chao kilikuwa ni kutafuta Sifa tu kuwa Wameandamana na Timu yao hadi Kigali Rwanda ila hawana Hela ya Kula wala ya Kukodi Gesti hivyo Kawakataa na Kawatoa Baru na hivi sasa ( Asubuhi hii ) wanarandaranda tu Mitaani kama Chokoraa wa Mnazi Mmoja na Kisutu.

Na nina Bonge Moja la Exclusive nasubiria leo ama Mfungwe au Mtoe Sare na mkiwa mmekasirika kwa Matokeo ambayo hamkuyategemea nije nayo hapa ili muumie nayo maradufu. Yaani ni mwendo wa Kuwakereni / Kuwakera tu na ndiyo Furaha yangu Kuu na Tukuka Kwenu.

ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.
haijalishi mradi wamekwenda kuipambania klabu yetu
 
Back
Top Bottom