85% ya Mashabiki wa Yanga SC walioenda Kigali Rwanda wamelala katika Mabasi yao

Kwa mujibu wa kamanda muliro, siku mbili hizi vitendo vya wizi na ukabaji vimepungua kama sio kuisha kwenye maeneo mengi kama Kinondoni Moscow, Tandale, Mburahati na Temeke kwa ujumla. Safari ya Kigali imeenda na watendaji wa hizo kazi
 
Wameenda kwa hiari yso unataka uwapangie pa kulala?
 
Aisha madinda on one and two
 
Kwa mujibu wa kamanda muliro, siku mbili hizi vitendo vya wizi na ukabaji vimepungua kama sio kuisha kwenye maeneo mengi kama Kinondoni Moscow, Tandale, Mburahati na Temeke kwa ujumla. Safari ya Kigali imeenda na watendaji wa hizo kazi
Utamuibia nani wenye hela wote tupo huku Rwanda
 
Ivi umu Jf kuna watu wanalipwa kwa kuanzisha thread ? Maana kuna thread zilitakiwa ziwe comment

Swali hili haliusiani na mleta thread
 
Asante Mungu kwa KUNIPA , Akili, MAARIFA UFAHAMU na unyekevu,
 

habar nzuri lakin mwisho taarabu
 
Ivi umu Jf kuna watu wanalipwa kwa kuanzisha thread ? Maana kuna thread zilitakiwa ziwe comment

Swali hili haliusiani na mleta thread
You're a hypocrite and very Fool indeed.
 
haijalishi mradi wamekwenda kuipambania klabu yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…