8th Sullivan Summit Arusha Tanzania

8th Sullivan Summit Arusha Tanzania

Ndio maana ninasema bado siwezi kumuhukumu Muuungwana, in general maana kuna vitu kama hivi ambavyo ni plus kwa economy yetu na heshima kwa taifa letu!
ahsante mzee PM kwa hizi news!

Whats is the use of "heshima"? Heshima iendane na uwezo! Kama huna uwezo wa kununua suti lakini ukingangania kuinunua wewe ni maamuma! Mwaka jana nilikuwa moja ya nchi za Scandinavia (nchi inayotoa misaada kibao kwa Bongo) na kuna wabunge wachache waliokuwa na wazo la kutaka nchi iangalie uwezekano wa kuandaa mashindano ya kandanda ya nchi za Ulaya (UEFA) but hawakufua dafu kwani watu walikuja na hoja.... viwanja tutakavyojenga mashindano yakiisha tutavifanyia nini kama sio kupoteza hela ya bure? Nchi itajengwa na wananchi wenyewe na sio na wageni!!!!!
 
mwanakijiji motive ya hoja yangu ya ukubwa waukumbi imetokana na fact kuwa ..ukumbi wa simba pamoja na kupanuliwa umekuwa mdogo..wajumbe walikuwa wanazidi 3,000 hopefully ..wakati ule ukumbi uwezo wake hata wajumbe 2000 ni tatizo...that was bad!!

alafu pia mjue siku hizi kwa miji ya kitalii kama arusha catalogue ni CONFERENCE TOURISM ..wageni wanapenda party ,kutembelea vivutio sambamba na mikutano ..pia ni nzuri kwa communities za pale zitafaidika na kuonesha tamaduni zao ie ngoma....fikiria mkipata mikutano angalau sita kwa mwaka ya wajumbe 10,000....yaani wajumbe 60,000 kwa mwaka ...na at least kila mjumbe analipa dola 1,200 za ushiriki na malazi ...thats a big push to economy....LAZIMA WIZARA YA FOREGN WAAMUE HARAKA KUJENGA CONVENTION CENTRE PALE AICC...hata ikibidi ile ambayo wanataka kujenga dar wangeijenga ARUSHA ....kwa kuanzia ...wageni9 wengi huvutiwa na hali ya hewwa na pia hizo opportunity za kutembelea ngorongoro,na seringeti!!!...tukichelewa nairobi watatupiga bao...maana nao wana hali inayofanana na arusha ,..na wantangaza kuwa mgeni akifika kenyatta kufanya mkutano pia napata fursa ya kutembelea seringeti na ngorongoro..ambazo zipo karibu!@

Much respect, objective and constructive report.
 
Mimi nashangaa badala yakutangaza au kukuza biashara ya TTCL wanatumia Vodacom!!!!!!!!!!!



biashara huria ... hao TTCL Walijua kabisa kuwa kuna mkutano hawakukatazwa kuomba kudhamini...infact VODACOM stole the show....
 
jamani tufurahie hata mazuri kidogo yanayofanyika. Nampongeza Kikwete na serikali kwa kazi nzuri hapa waliyofanya. Taratibu tu mwisho tutafika.
 
pia kuna vitu vingi vilivutia hasa kuhusu wakili wa kwanza kumtetea marehemu mwalimu na kenyatta ..huyu ni mzee wa miaka 92 leo..yeye baada tu ya kupata degree yake marekani aliamua kutafuta destiny akaaamua atasettle afrika ..akaamua kuhamia MOSHI na kuacha mchahara mkubwa marekani ...this old man inspired everyone ..naamini waandishi wa habari wamemuhoji watamuelezea zaidi..

kuna profesa wa kimarekani ..black ..kibaya sikuchukua majina yao ..yeye ameamua pia kuhamia tanzania na ana miaka 32 hapa ..bado ni raia marekani..huyu pia aliwapa hisia sana afroamericans wanaotaka kuhamia afrika..

kuna yule mzee wa pale USA ..YEYE naye ni mmarekani aliyehamia hapa ...anamiliki shamba heka 265..anasema anaishi kwa raha hapa ...alivutia wengi..

KIMSINGI KWA HAPA TANZANIA MWASISI WA UDUGU KATI YA WATU WA ASILI YA AFRIKA [DIASPORA]...NI MWALIMU NYERERE HUTAAMINI NYERERE BINAFSI ALITOA DECREE YA KUWAKARIBISHA WAMAREKANI WEUSI KOKOTE WALIPO WANAOTAKA KURUDI AFRIKA WAJE..NA ALIAGIZA WAPEWE ARDHI...JAMII YA AFROAMERICANS WALIOKARIBISHWA NA NYERERE TANZANIA NI ZAIDI YA MIA ....NA KAMA HAWA WOTE WATOTO WAO WANGEAMUA KUISHI HAPA KUNGEKUWA NA JAMII YA AFRO AMERICANS HAPA TANZANIA WANAOZIDI 1,000....HAWA WAMETAPAKAA MIKOA YA ARUSHA NA MOROGORO ...WENGI WAO NI WENYE MSIMAMO MKALI WA PANAFRICANISM ..NA WENGI HUPENDA KUFUGA RASTA...PALE ARUSHA WAMAREKANI WA JAMII HII WALIOKUJA WANAFIKA 50...

KUHUSU HOPE MASTERS ...Kuna swali aliulizwa na mama mmoja wa jamii ya negro ya tanzania aliyechagua kuishi kwenye kijiji cha ujamaa huko morogoro...anaitwa mrs roberts ...alimuuliza hope..DO YOU PRACTICE WHAT YOU PREACH ,how many africans you invite to share meal at your table!!!??..hope alichukia sana na aliliita swali la huyu mama direct offend...alinyanyuka akaondoka mkutanoni......though sisi hatukuona ubaya wa swali la yule mama mmarekani wa morogoro....
 
biashara huria ... hao TTCL Walijua kabisa kuwa kuna mkutano hawakukatazwa kuomba kudhamini...infact VODACOM stole the show....

Mimi nadhani when the vumbi settles.. sitashangaa kuona jinsi gani waliokuwa nacho waliongezewa na wale wasiokuwa nacho hata kile kidogo walichonacho wananyang'anywa... Hapo nyuma ulitoa mifano ya biashara za Mrema zinavyoweza kuwa zimenufaika.. binafsi hilo halinipi tatizo kwani biashara katika ubepari ni kujiuza na kuuza.. lakini itakuwaje kuwa hakuna level playing field?
 
......kikubwa nilichokiona pia jina mwalimu nyerere ni bonge la brand ...basi tu tunashindwa kuli market au kwa kuwa amekufa..anazidiwa na mandela miongoni mwao kwa umaarufu..lakini wale wamarekani weusi wote wenye msimamo mkali jina la mwalimu kwa liko ngazi moja na BOB MARLEY ,HAILE SELASIE,marcus gavey,malcolm x, et al..

juhudi za kikwete kuwavutia hawa sio za kubeza ...pamoja na kuwa hapa tuna m bow bow sana jk..lakini kwa hili tusimbeze..THIS IS THE FULFILLMENT OF MWALIMU DREAM ....to see one africa....

kuna wengi hapa hawajui kuwa mwalimu zaidi ya kuwakaribisha black americans wahamie tanzania waishi kwenye vijiji vya ujamaa na kufundisha..pia binti yake wa kwanza anna aliolewa na kuzaa na MMAREKANI MWEUZI ALIYEAMIA HAPA KUITIKIA MWITO WA MWALIMU...na waliukuwa wakiishi na yule binti pale arusha ..sema kilichomuudhi mwalimu...ni binti yake anna kuanza kufuata imani ya ki rasta ya yule bwana...nasikia baadaye ndoa yao haikuendelea ..lakini wanao watoto ...na hata yule mmarekani alibadili jina na kujiunga na ukoo wa nyerere na hadi leo ni mwanaukoo!!
 
That is all good PM.. but this Nyerere wa kwenye makongamano, warsha na sherehe za Chama.. Nyerere ambaye ni currency ya kununulia kura, Nyerere wa jina sidhani kama watu wanamtaka tena. Watanzania wenyewe wameshamsahau na wengine kumpuuzia.. Sidhani kama watu wangejua wangeweza kutengeneza the whole brand.. ya Mambo ya Mwalimu na kumuenzi kikweli kweli..
 
That is all good PM.. but this Nyerere wa kwenye makongamano, warsha na sherehe za Chama.. Nyerere ambaye ni currency ya kununulia kura, Nyerere wa jina sidhani kama watu wanamtaka tena. Watanzania wenyewe wameshamsahau na wengine kumpuuzia.. Sidhani kama watu wangejua wangeweza kutengeneza the whole brand.. ya Mambo ya Mwalimu na kumuenzi kikweli kweli..


....mwanakijiji nakubaliana na wewe kuwa watanzania hasa ccm ..nin wazuri kufuatilia hotuba za mwalimu na kuzitumia hasa kwa minadili ya uchaguzi..baada ya hapo business as usual..si umeona wameshindwa kufufua uhai wa chama hata kwa kuganyia mkutano PEMBENI YA KABURI LAKE ...JUST IMAGINE ..BESIDE HIS MAOSELEUM....YET THE CHAIRMAN COULDN"T STAND...

ninapoongelea kulicommercilize jina la mwalimu yaani brand..angalia namna mandela wanavyocommercialize 4665...wale wote wanaoamini misimamo yake wanachangia ..nuliamaanisha kumbe mwalimu ana wafuasi ....na kweli kila siku butiku anakuja marekani...naamini wengi kwa nilivyoongea nao wangependa kuchangia MWALIMU NYERERE FOUNDATION....lakini shangaa taasisi yake wala haikutuma MSHIRIKI ..sembuse kuwa hata na banda pale..hii ni weakness ya kina membe au butiku...?...mwalimu aliongelewa sana pale ..lakini taasisi ya kusimamia anayoyaamini..labda haikualikwa au hawakuja!
 
PM... serikali na sitoshangaa uongozi wa CCM hold MNF with contempt.. Taasisi ya Mwalimu Nyerere ingetengewa fedha na kuingizwa katika bajeti ya Bunge na kuiondoa kabisa katika adha ya kuomba omba... Lakini as long as SAS, Butiku na wengine wako pale hawatapata nafasi kwenye serikali hii.
 
PM... serikali na sitoshangaa uongozi wa CCM hold MNF with contempt.. Taasisi ya Mwalimu Nyerere ingetengewa fedha na kuingizwa katika bajeti ya Bunge na kuiondoa kabisa katika adha ya kuomba omba... Lakini as long as SAS, Butiku na wengine wako pale hawatapata nafasi kwenye serikali hii.


..mwanzoni palikuwa na hayo maoni kwa baadhi ya wabunge baada ya nwalimu kufariki ..ili taasisi isibaki yatima baadhi walitaka iwe funded direct na ikulu.......hii move ilikuwa discouraged chinichini na watu kama sumaye na kikwete wakihofia kuwa ingekuwa kama kumuidhinishia SAS pesa za kufanya kampeni...

since sasa SAS hana presidential ambitions ni bora sasa ..MWALIMU NYERERE FOUNDATIONS..wawekwe kwenye budget ya serikali..hii pia itasaidia wao kupata michango kwa wafadhili ..you know charity begins at home!
 
..mwanzoni palikuwa na hayo maoni kwa baadhi ya wabunge baada ya nwalimu kufariki ..ili taasisi isibaki yatima baadhi walitaka iwe funded direct na ikulu.......hii move ilikuwa discouraged chinichini na watu kama sumaye na kikwete wakihofia kuwa ingekuwa kama kumuidhinishia SAS pesa za kufanya kampeni...

since sasa SAS hana presidential ambitions ni bora sasa ..MWALIMU NYERERE FOUNDATIONS..wawekwe kwenye budget ya serikali..hii pia itasaidia wao kupata michango kwa wafadhili ..you know charity begins at home!

MNF is another NGO just like HAKI ELIMU, TGNP etc, kwanini itengewe fedha bungeni? If i was a foundation established by the act of parliment I would have understood. Or is it another GONGO?-GOverntment NGO?

Asha
 
Asha that is my point.. ianzishwe kwa sheria ya Bunge na kuwa chartered... na hivyo inapewa special status... Ningekuwa mimi kwenye chama cha upinzani ningeinyaka hiyo hoja na kuwaweka CCM kwenye defensive na kuwaahidi wananchi kuwa taasisi hiyo ya MNF itatengewa fedha ili ijiendeshe katika kuenzi kumbukumbu, wito, kazi, na maono ya Mwalimu Nyerere... na tena ningeandaa hata mswada binafsi... hiyo inaitwa political triangulation..
 
Asha that is my point.. ianzishwe kwa sheria ya Bunge na kuwa chartered... na hivyo inapewa special status... Ningekuwa mimi kwenye chama cha upinzani ningeinyaka hiyo hoja na kuwaweka CCM kwenye defensive na kuwaahidi wananchi kuwa taasisi hiyo ya MNF itatengewa fedha ili ijiendeshe katika kuenzi kumbukumbu, wito, kazi, na maono ya Mwalimu Nyerere... na tena ningeandaa hata mswada binafsi... hiyo inaitwa political triangulation..

..mzee,

..pamoja na kwamba wazo ni zuri,halitasaidia kwani lita-set precedent ya makada kuja na ngo zao na kutaka funding.

..hao mnf wanahitaji fund raising skills,halafu accounts zao ziko clean kweli?
 
..mzee,

..pamoja na kwamba wazo ni zuri,halitasaidia kwani lita-set precedent ya makada kuja na ngo zao na kutaka funding.

..hao mnf wanahitaji fund raising skills,halafu accounts zao ziko clean kweli?

TAasisi ya Mwalimu Nyerere ni ya tofauti na inapaswa kuwa na status tofauti... isiwe na haiwezi kuwa one of the NGOs... Ni foundation yenye hadhi ya taasisi ya Bunge..
 
Serikali inatumia 30m dollars kwenye huu mkutano,inawapa complimentary kwenda mbugani,wao wanaongelea baba zao,Martin Luther King...Then mkutano ukiisha,wanafanyiwa party kubwa Zanzibar(Kempinski),huku Wazanzibari wenyewe wako kwenye giza.Mimi mpaka sasa hivi sijaelewa huu mkutano unatusaidia kivipi.Ingekuwa ni mara ya kwanza unafanyika Africa,ningesema labda.Sasa wale wanyamwezi kila anayehojiwa anasema he/she happy to come back home.Mbongo anajikusanya kwenda kutafuta mwekezaji....
I have been a big fan of Bush toka alivyokuja hapa.Kaja na pesa zake,katumia sana,na kuacha nyingine nyingi tu,na zitaendelea kuja.Kaja na waandishi habari wengi sana,habari za yeye kuwa huku i'm sure zilionyeshwa kwenye channel nyingi sana huko US.Mpaka taa za barabarani hapa waliamriwa waweke maeneo waliyotaka na wao walilipia.
Sullivan wamekuja kuweka daraja kati ya wamarekani weusi na waafrika...hilo daraja kwa nini halijaonyesha mafanikio yeyote west Africa walikofanya hii mikutano kabla,tufanikiwe sisi?

Mtani,

These are short term economic strategies to earn quick buck from Awamu ya Nne. Everything they have done so far is quick fix to gain short term momentum and claim victory in those small insignificant economic gains.

In short Kikwete's government has no sound economic program or plan. He is yet to deliver an economic plan that is feasible and for Mtanzania.

He has always been talking about "inviting Investors" but forgeting that for Tanzania to prosper, we need vibrant internal economic revolution and not patches from donor aid, grant and viagra reactionary sort of economical enhancement to our propserity, progress and economic stability!
 
Rev. Kishoka,

Mkuu wewe kiboko.... yaani huwa sina la kuongeza! huniacha hoi.
 
Back
Top Bottom