nelo de nelo
Member
- Sep 10, 2024
- 89
- 104
Maandamano ya wanasiasa sio wananchiTaifa linaenda kupona.
Nimeona Watanzania wametawanyika nyikani bila kiongozi.
Maandamano haya siyo ya CHADEMA, ni maandamano ya Wananchi.
Mungu atapokea kilio cha Watanzania
Maandamano co ya CHADEMA ila waandamanaji wameambiwa wasivae sare za CHADEMA!?, Inafikirisha aisee.Taifa linaenda kupona.
Nimeona Watanzania wametawanyika nyikani bila kiongozi.
Maandamano haya siyo ya CHADEMA, ni maandamano ya Wananchi.
Mungu atapokea kilio cha Watanzania
Nilifuatilia maandamano ya Kule Tunisia .
Wale walianzia kwa watu wanyonge na wavuja jasho kwenye maeneo muhimu ya masoko yaliyopo jirani jirani .
Walikua wanakuja kama wateja sokoni .
Soko linajaa wafanyabiashara wanauza na kununua mahitaji yao.
Soko lingine linajaa,hivyo hivyo halafu Ikifika jioni wanashangaa bado wetu wapo ,asubuhi wameshahamia kwenye soko lingine na kubeba mabango . Hapo ikawa ngumu sana kudhibiti mana vichochoro vya soko ni vingi na uwezekano wa kupiga risasi wateja na wafanyabishara ni mgumu na soko linaweza likaungua kwa mabomu na pia hakuna pa kurusha mana pia ni makazi ya watu. Ngoma ikahamia uwanjani wa wazi wakati huo waandamanaji walishafika zaidi ya milioni moja na nusu .
Polisi wakajaribu kuua jeshi likazuia ndugu zao kuuawa kwa sababu ya uroho wa mapolisi wanaotaka teuzi za Ukuu wa vituo vya mikoa na wilaya na uDCI na uIGP pamoja na wanasiasa wasioridhika na ufisadi wao na vyeo vyao. Jeshi likalinda uhai wa waandamanaji zaidi ya mil. mbili pale Tunisia yule mtu mmoja aliyekua ameshindwa kuongoza nchi akatoka madarakani kwa kujiuzulu nafasi ya urahisi .
Ingekua ni kule Somalia basi wangeanza soko la bububugulini , Ilalanichuni, Kariahakoloni, Ksh.tu na wengine wengine wanatokea pake Lumumbashi . Kufumba na kufumbua minazi mingi imeshajaaa .
Kamanda Mbowe kula chuma hicho.😂😂😂😂😂
Kifo ni kifo tu hata kwa kufa kwenye maandamano ni kifo tu .
Nimekereka sana
Noma sana.
Dr. NCHIMBI alitoa hotuba nzuri sana ya kuuma na kupuliza kama Mtanganyika mwenye maadili ya upendo,huruma ,utu na uzalendo .
Baaa, bwana wewe ,siakaja hamira jeshini mkubwa .
Sindio akalikoroga ntu yule .
Maandamano ya Tunisia yalikua ni kwa ajili ya usalama wa nchi yao na mamilioni ya Wananchi wao . Lakini pia maandamano ya Tunisia yalikua ni hasara kwa watawallalma waovu kupoteza nafasi zao.
23/9/2024 ikifanikiwa basi Tanzania mpya itakuja watu wataheshimu uhai wa watu na utu na usawa bila kujali,cheo, chama ,dini,kabila na rangi.
Hii mambo ya UVCCM kutoka huko Zanzibar wanaingia Tanganyika kuteka watu halafu wanawaachia ushuzi polisi kwa kuwapa taarifa za uongo inatakiwa ifikie mwisho .
Sasa hivi wanaanza kuwasakama Viongozi wa taasisi za dini hasa wale ambao sio Bakwata kama shehe ponda na wale wa kikristo eti ni chadema kwa sababu tu wanapinga mauaji na dhulma .
Wasipozuiwa 23 sept wataanza kuteka viongozi wa dini na kuliingizia jeshi la polisi.
Samia amebariki wetu kuuawa kwa sababu anaamini kuwa 'kifo ni kifo' tu ila hajui kuwa uhai ni uhai tu unapaswa kulindwa.Hii imekaa mkao sn mkuu🤝
Mbona mnapenda kudanganya na kujifanya kuwa mkiandamana mtaleta hofu kubwa, lakin ukweli maandamano ya CDM ni hayana impact yeyote? Mbona CDM iliandamana Mara kadha na hatukuona impact yeyote. Kwa hiyo hao asilimilia 90 watajaa kwenye mabarabara yote ya Dsm? Kama mna nguvu na impact kwann kila mkoa usiandamane ili shughuli zisimame kote Tanzania kama Genz Z ya Kenya.Hii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.
Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za CHADEMA, wala kutoweka vifaa vya CHADEMA kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.
Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki.
Soma Pia:
- Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
- News Alert: - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu
Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.
Mungu Ibariki Nchi yetu.
Karibuni sana, Jeshi la Polisi na vyombo vyote vya dola vimeshakusanya kila aina za zana kwa ajili ya kuwashughulikiaHii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.
Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za CHADEMA, wala kutoweka vifaa vya CHADEMA kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.
Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki.
Soma Pia:
- Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
- News Alert: - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu
Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.
Mungu Ibariki Nchi yetu.
Hii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.
Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za CHADEMA, wala kutoweka vifaa vya CHADEMA kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.
Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki.
Soma Pia:
- Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
- News Alert: - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu
Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.
Mungu Ibariki Nchi yetu.
Pale polisi anapochanganyikiwa na kugundua raia ana akili kuliko yeye na binduki yakeMaandamano co ya CHADEMA ila waandamanaji wameambiwa wasivae sare za CHADEMA!?, Inafikirisha aisee.
Hata wapumbavu maoni yao tunayasoma na sometimes tunayajibu msije wakajiua kwa sononaMaandamano ya wanasiasa sio wananchi
Kwahy unamshauri Prof. Janabi ajitahidi shift inayoingia kazini tarehe 23 kuwe na wataalamu wa kutosha baada ya matokeo kati ya mechi ya vijana wa serikali wenye morali Vs Waandamanaji wakaidiHii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.
Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za CHADEMA, wala kutoweka vifaa vya CHADEMA kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.
Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki.
Soma Pia:
- Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
- News Alert: - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu
Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.
Mungu Ibariki Nchi yetu.
kwahiyo wamejikusana malundo malundo au matita matita gentleman?🐒Hii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.
Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za CHADEMA, wala kutoweka vifaa vya CHADEMA kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.
Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki.
Soma Pia:
- Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
- News Alert: - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu
Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.
Mungu Ibariki Nchi yetu.
Hakika mkuuHakuna maandamano ya kuipinga serikali yanayoanzishwa na chama pinzani, bali yanaanzishwa na wananchi.
Uko nje ya mada, Japo umeandika gazeti.Asante kwa taarifa hii, pili nashauri tuache sensesionalism kwenye serious issues kama hii, hayo malundo ya watu kutoka mikoani kuja tuu kushiriki maandamano, is a big news!, kwasababu inaonyesha ama ni Watanzania wamepata emancipation ya kujitambua kudai haki zao no matter what, na wako tayari kugharimia haki hizo hata kama gharama yake ni machozi, jasho na damu, wako tayari kulipia wako tayari kwa lolote!. Hii ni habari njema sana kwa ukombozi wa pili wa taifa letu.
Lakini pia inawezekana hayo makundi yakawa ni kipimo kizuri cha kiwango cha joblessness ya watu wake, ni mtu tuu asiye na shughuli ya kufanya akipewa nauli ya kwenda popote, atakwenda na yuko tayari kwa lolote, ndio ana muds huo kusafiri kuja kuandamana kwenye maandamano haramu, japo the cause is the right causes?, this being the case, this is very dangerous!.
Ushauri wangu wa kwanza, ni Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!
Ila kama hao waandamaji ni Gen Z wetu, nawashauri Jeshi letu la Polisi litumie utaratibu huu kusambaratisha maandamano hayo Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa!
P