Tetesi: 90% ya Waandamanaji kutoka Mikoani wamewasili Dar es Salaam, Waliosalia ambao wengi wataingia Jumamosi wameombwa kutokuvaa sare za CHADEMA safarini

Moja ya chama cha hovyo kabisa chini ya uso wa dunia
 
Jf ni ukumbi wa kuelimishana, tunachojua ni Azory Gwanda alitekwa, kwanza hakuna anayejua sababu za kutekwa kwake wala hakana ajuaye kama aliuwawa!, kama wewe unazijua sababu, please share what you know! Ili na sisi tujue!.
P


Ngosha wewe ni mtu mwema na mwandishi wa habari wa mrengo wa kati.
Usifungamane na uovu.
Azori Gwanda alisharest in pisi siku nyingi sana. Ngoja niishie hapo. Any way tulishambiwa kifo ni kifo tu. Na kuzikwa ni kuzikwa tu hata ukitupwa porini kwenye mbuga za wanyama ukaokotwa na waokota kuni na kuzikwa bila uchunguzi ni kifo tu. Tusipoondoa huo usemi amini usiamini hata wewe uko siku utatekwa kwa sababu tu ya kugombania mwanamke na mtu akaamua kukusinguzia kuwa wewe ni Chadema na unamsema vibaya mamalia na unahatarisha amani ya nchi. Yaani mtu mmoja amekua ndiyo nchi kumsema vibaya umeasi nchi . Huu sio uzalendo kabisa .Ikitokea Vita na nchi nyingine tutapigwa vibaya mana kuna watakao sema hayo ni ya serikali hayaruhusu. Ndio maana tunaona jinsi unyama inavyoongezeka . Ni roho kamili imeingizwa Tanganyika. Watu wasiokua na maadili ya uvumilivu wa kidini na kikabila na kisiasa walivamia Tanganyika kwa pesa za Dubai. Kule hata ukitaka kujenga kanisa hupewi kiwanja. Ukila chakula wakati wa mfungo unapigwa sana . Ni jamii isiyostahili kabisa kutawala Tanganyika ambapo watu wa dini tofauti wanaoana na kuishi kwa amani maisha yote bila kugombana . Msikiti na kanisa vinajengwa jirani na watu wanasali na kuswali bila kanisa au msikiti kuchomwa moto.
Watu waliomuua Rais wao wa wa kwanza hawana huruma na mtu . Hata kwa sura tu alitoa hotuba ya kinyama na kuwafurahisha wasiojulikana kama vile alijua kuwa anaongea nao labda ni wahusika na hataki kuwapunguzia makali.

RIP Azori Gwanda .
Kufuatilia taarifa za mauaji ni jambo gumu sana.

Boni mayai yupo kilengoni . Na kwa amri ya mamalia watauawa sana .
Bora wauawe hadharani mana watapigwa risasi moja lakini wakitekwa watatesa na kuuawa kikatili sana na maiti zao huenda zisionekane milele.

Kikiendelea kumtofautisha Huyu Tofauti na yule mzalendo ni kuwa mzalendo alidili na majambazi sugu yaliyokuwa yanavunja mabenki na kupata pesa za kufadhili ugaidi , wauza madawa waliokua pia wanafadhili ugaidi. Lakini pia yule mzalendo alidili na wale wote waliokua wanapotosha juhudi zake za kuzuia rasilimali za nchi zisiibiwe na wageni. Kwa kweli alidhibiti sana mpaka tembo wakawa wengi kama nguchiro . Mzalendo aliyeenda zake aliipenda sana Tanganyika na watu wake na rasilimali zake ndio maana alikua anajua karibu lugha za makabila yote.

Dalali yeye anapenda kiti chake tu na ndugu zake basi. Ndio maana alilaani mauaji mara ya kwanza na kuonyesha kuguswa . Lakini aliposikia Salimia must go . Alijitokeza kala mbogo na kusema kifo ni kifo tu. Bora watu wafe kuliko kuachia kiti chake
Ni bora Mbowe na wafuasi wake
 
Saa ya Ukombozi ni Sasa,
Tumedharauliwa sana,
Tumepuuzwa vya kutosha,
Tumenyanyaswa sana,
Tarehe 23 Sept tunakataa hali hii.
 
Ngoja wengine tuendelee kuandamana kwenye mitandao ya kijamii! Huku ndiko wengi waliko kulinganisha na hao watakaokuwa mabarabarani.
Cowardness is still a problem!
 
Duh....!.
Asante.
Ubarikiwe sana.
P


Mkuu hii ni ndiyo hali halisi hata huko mitaani. Watu wana hasira sana .
Watu wamechoka kuishi kama digi gigi kwenye nchi walizoumbiwa na Mwenyezi Mungu. Hii nchi haijaumbwa na yule Mzanzibar wala polisi . Rasilimali za hii nchi haijaumbwa na Yule Mzanzibari wala chama chake . Chadema hawajaumbwa na Shetani . Sio CCM pekee walioumbwa na Mungu wakawekwa Tanganyika .

Kama kuna watu wasiostahili hata kuishi Tanzania ni wake wasiokatwa kodi kwenye mishara yao . Hao hata bunduki hawazigharamikii.

Watu wasiokatwa kodi wananunua silaha kwa kodi za Walipa kodi na kwenda kuwaua walipa kodi.

Freedom is coming 23sep
 
Saa ya Ukombozi ni Sasa,
Tumedharauliwa sana,
Tumepuuzwa vya kutosha,
Tumenyanyaswa sana,
Tarehe 23 Sept tunakataa hali hii.

Tuingie masokoni Ilala ,Kariakoo, Kisuitu ,Lumumba .
Tunueni biscuit na Juisi za kutosha . Taratibu tunaelekea Mkazi mmoja kufumba na kufumbua shetani asimshinde Mungu.

Shetani alikuja kuchinja na kuua lakini Masihi Mwana wa Mariam alikuja ili watu wawe na uhai tele .

CCM ni chama cha kishetani.

Yule mkuu wao aliwapa maelekezo kubwa CCM hakuna cha Mungu akipenda . Mungu apende asipende ushindi ni lazima kwa njia haramu au halali na nusu halali.

Shetani kule Maka anapigwa mawe huku Tanzania shetani anapigiwa makofi.
 
Nami niko njiani na basi la usiku
 

Ni kweli kabisa .

Mtu asiyelipa kodi hawezi kuwa bosi wa kodi zetu na uhai wetu .


Yaani Samia alekua mkuu kuliko Mungu aliyeumba hii dunia.
Yaani urais wa bahati ndio amejionea ana mamlaka mpaka juu ya roho za watu .

Eti Kifo ni kifo tu.
Yaani anasifia wauaji na kutishia kuua wetu ili waogope serikali. Kwani hao seikali ni akina nani na wametoka safari gani ?
Mpaka wao waone kuwa wengine hawana ruhusa kutawala .

Yaani kura wanaiba ,mali za umma wanaiba na kuwekeza kwa wageni , pesa za umma wanaiba halafu wanataka heshima kwa kuua watu . Yaani wanapora mapaka uhai wa watu.
Zanzibar kule kwao hawataki tukaishi kule sasa wanatufuluza mpaka huku kwetu Tanganyika .

Hii hata Mungu atakua upande wa Haki na shetani na watu wake waovu watashindwa sasa na watakua wa kwanza sasa kukimbia nchi wao.
Wanaona kuwa tunaishi Tangznyika kwa hisani yao .
 
Kama wapo wamasai shughulibitskuwa pevu maana haya watu wako moto sana
 
Kumekucha
 
Umeandika upumbavu sana na unaendeshwa na mihemko ya kidini, ushabarikiwa? Kwanini Tanganyika haitaki kukubali kuvunja MUUNGANO? Sababu kubwa ya Zanzibar kuwa hivyo ni Tanganyika kuilazimisha kubaki kwenye muungano na Wazanzibari hawataki huu muungano bila ya muungano Zanzibar ingekua imeendelea hakuna mfano. Maandamano pekee nitakayo shiriki ni yale ya kutaka muungano uvunjwe! Na ipo siku muungano utavunjwa tu mtake msitake ilikua Soviet union, Rome sembuse kijitanganyika??
 
Mzee Baba maandamano comes on 23rd Sept. 2024 hayatakuwepo.
 
Hiyo sentence ya "msiandamane mwenye nguvu mpishe" sio sahihi hata kidogo.
Hivi kati ya polisi na raia mwenye NGUVU ni nani kama wote wataamua kutumia nguvu?
Kuliambia jeshi la polisi kuwa nyie mna nguvu mwaweza kufanya lolote kwa raia ni kama kuwahukumu kifo tuu, maana mfano wao kufanya mambo kinyume kwa vile wameruhusiwa kubeba bunduki na mabomu sio sawa wataua wangapi kabla ya kufikiwa?
Hili jambo linataka hekima wala sio ubabe. Hivi Rais angewajibisha hao waliotajwa tuu yaani Masauni na Wambura na kutoa kauli nzuri kuhusu kukubali uchunguzi wa kina tungefika huku? Lazima kuna mtu/kikundi kibaya cha ushauri karibu naye kinampotosha kiongozi wetu kwa manufaa yao au nia mbaya kwake.
 
Nisamehe mimi, nisamehe mimi nimekosa sana!

Sitorudia tena!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…