A BITTER TRUTH: Kwanini watu weusi walishindwa kwenda Ulaya/Amerika (Ughaibuni) kuwachukua wazungu (Whites) kisha kuwaleta Afrika kuwafanya watumwa?

Swali jingine linalofanana na hilo....ni kivipi Uingereza nchi ndogo iliweza kutawala karibu dunia nzima...Ni mind set au fikra..

Fikra za waafrika mpaka hatujaweza kutoka nje ya mipaka yetu...
 
Warabu wa Misri na Libya washakataa wao si waafrika, wapo wapo tu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja kati ya waafrika wapumbavu ni wewe, mda hii unaingiza mambo ya kijinga. na nyie ndo mnafanya waafrika tufeli kila siku, usenge tu... Mods nipigeni ban nipo tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo mkuu. Hii mijitu kijinga sana. Kila wakati wanawaza siasa. Kila mmoja anaye sema kitu kizuri kwa serikali basi wanfikiria kuwa ni member wa CCM.

Sisi wengine hata hiyo katiba ya CCM yenyewe hatuijui. Jamani! Inakuwa shida kweli.

Japo kuwa nawaelewa kuwa wangetaka msuguano wa vyama vya kisiasa, lakini tatizo CCM hawana wapinzani. Mpinzani gani ambaye umebaki CHADEMA? Hakuna mtu huko. Wote ni, kwa kijerumani tunasema, "Sie sind Menschen, die ständig kiffen. Die Betonung liegt aber wohl am Kiffen."

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali jingine linalofanana na hilo....ni kivipi Uingereza nchi ndogo iliweza kutawala karibu dunia nzima...Ni mind set au fikra..

Fikra za waafrika mpaka hatujaweza kutoka nje ya mipaka yetu...
Thanks. This is a very good question too
 
uko sahihi pia historia inaonyesha wazi kuwa hao waingeleza walikuwa savages tu kabla ya mrumi kuwapelekea ustaarabu hivyo kwa stages nane za ustaarabu utumwa ni stage ya kwanza na unapojitambua ndio unaenda nyingine hivyo wao kuwaza kujitafutia watumwa ni kwa kuwa wao walipitia hiyo stage kabla yetu si kwa kuwa wana akili zaidi ila kwa kuwa bado hatujatoka kwenye hatua hii aya awali kuelekea hizo zingine ndo maana tunaona kuwa wao wana akili zaidi
 
Unasumbuliwa na upuuzi tu kwani phd holder wetu hahifadhi kumbukimumbu ya jani lililomponya?

Hao unaowasifu unadhani dawa wanazitoa mbinguni ama humo humo misituni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu safi sana hili
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani anasema walikuwa weusi?!

Sent from my TECNO-J5 using Tapatalk
Kuna watu hapa wanatudanganya kuwa ule ustaarabu wa Egypt midhali tu Egypt iko Afrika basi ulikuwa ustaarabu wa watu weusi. Ndio nikakumbusha kuwa Egyptian siku zote ni weupe, na ule ustaarabu waliutengeneza wao.
Weusi wako Sudani Kusini na mambo yao tunayaona yanafanana tu na ya weusi wengine duniani.
 
Unasumbuliwa na upuuzi tu kwani phd holder wetu hahifadhi kumbukimumbu ya jani lililomponya?

Hao unaowasifu unadhani dawa wanazitoa mbinguni ama humo humo misituni?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama PhD yupi wa kwetu aliyewahi kufanya hivyo?
PhD za kiafrika zina mwisho wa aina mbili:
1. kupata title ya 'Dr' ili aitumie kugombea uongozi wa kisiasa au ateuliwe kuwa mkuu wa wilaya, mkoa, RAS etc
2. kufanya kazi university na kuchapisha machapisho mengi kwa mtindo wa kachumbari (hebu google publications za profesa mmoja wa bongo umjuaye halafu uziorodheshe zote, kisha ondoa jina la author uulize mtu yeyote kuwa huyu aliyeandika machapisho haya ni mtaalamu wa nini? Hutapata jibu kwa sababu ni kachumbari! Publications za kudandia!). Halafu anakuwa profesa hadi anastaafu kisha anarudi namba 1 hapo juu (siasa) au anarudi kijijini kulima na kunywa ulanzi na wasiosoma (hadi wanashangaa kasoma nini sasa!)
 
Hadi karne ya 16 nchi za kiafrika kusini mwa Jangwa la sahara,zilikuwa na majanga matupu mpaka pale zilipofikiwa ama na waarabu, washiraizi au wazungu.

Nakumbuka utawala wa kilwa, na tawala nyingi za pwani ziliwahi kupata ustaarabu kwa maingiliano na wageni, lakini makabila ya Interior ilikuwa majanga matupu.
Kuna mitaa huko bara hadi leo watu wanaamini mtu mweupe ni Mungu au malaika fulani hivi, na ako tayari kutowa loloto ili kupata baraka zake.
 
Hatareeeeeee
Hii ni kweli bila mawaa
 
Ina maana hatukuwa hata na sababu ya kwenda kwao kiunguzi tu !
Majibu mengi humu hayalidhishi. Hata vitabu vya Historia vinaanzia karne ya kumi na tano lakini bado mfano wetu na wa Wazungu haukuwa sawa na haukulingana. nafkiri tuendelee kufikirisha fikra mbona waarabu walifika katika kipindi cha nyuma zaidi kabla ya Wazungu kwa nini sisi tulikuwa nyuma ya jamii hizo kwenda kwao na kufanya kama wao walivyofanya? Vitabu vinasema walivyokuja ndiyo wameleta utegemezi kwetu mpaka leo na utajiri kwao mpaka leo kwa hiyo kwa namna zozote hata sisi tungekuwa na maarifa ya ku wawai kwenda kwao na kufanya walivyofanya kwa wakatu ule Africa ingekuwa tofauti( Kwa mawazo yangu).
 
Kwanza nianze kwa kukataa kwamba walishindwa, sababu ni kuwa watu weusi hawajawahi kujaribu wakashindwa na hatujawahi kufikiria kufanya ukatili na unyama kwa viumbe ambavyo ni mfano wa watu weusi kasoro rangi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…