A day in the Buddhist college

A day in the Buddhist college

Kama nilivyoona vilikuwa ni viungo vya maiti halisi za vichanga na watu wazima wale watu hawafai kuishi duniani......
.........
Ilifika muda wa ibada nikachukuliwa kwenda huko underground floor, kulikuwa kunatisha mno nikakaa sehemu ya wageni kwa juu kidogo kabla ya holini
Hall lilikuwa kubwa lililopakwa rangi nyeusi na taa zilikuwa nyekundu sana zenye mwanga mkali, madhabahu MSALABA wake uliangalia chini na kulikuwa na jeneza lililofunikwa kutambaa chekundu
Ukumbi ulikuwa na watu wasiopungua hamsini hivi wote wakiwa uchi wa mnyama,ulianza mziki wa heavy metals wenye sauti za ajabu mno kama zile za kuzimu

nina swali hapa......
1.msalaba uliangalia chini kivip?kwamba uligeuzwa chini juu au??
2.watu hao walikua jinsia zote 2?
3.kulkua na wageni wangap labda?kwa makadirio!
 
I see we mshana jr kiboko. Haya mambo ni kweli au chai?

Nidanganye ili iweje sasa? Kwenye mada nyingi tu niliongelea kuwa niliwahi kusali kanisa la waabuduo shetani lakini sijawahi kuweka habari kamili in details kama hivi...natumia ID halisi sina sababu ya kuongopa
Na hii story kwangu sio valid tena kwakuwa haya mambo yalitokea miaka almost 18 iliyopita
 
Last edited by a moderator:
Nidanganye ili iweje sasa? Kwenye mada nyingi tu niliongelea kuwa niliwahi kusali kanisa la waabuduo shetani lakini sijawahi kuweka habari kamili in details kama hivi...natumia ID halisi sina sababu ya kuongopa
Na hii story kwangu sio valid tena kwakuwa haya mambo yalitokea miaka almost 18 iliyopita

Aisee kumbe ni mda mrefu ilitokea. Hivo vichanga walikua wanafanya nini. Pia naskia ibada zao hugeuza msalaba kwanini hawaweki uangalie juu. Na je mtu akitamka jina la Yesu inakuaje?
 
Temple tour na safari ya kwenda kuhudhuria ibada ya waabuduo shetani

Chuo chetu kila Jumapili kilikuwa kinapokea wageni wengi sana kutoka maeneo tofauti ya South Africa... Wengi walikuja temple kwa ajili ya ibada za chanting, meditation, masomo ya Buddhism lakini pia temple tour

Mimi nilikuwa mmoja wa ma tour guide, kazi ambayo niliipenda sana
Siku moja Jumapili mchana tukiwa karibia kabisa kumaliza shughuli za temple walikuja wazungu wanne wakiwa kwenye mavazi meusi full kuanzia miwani mpaka viatu
Wenzangu walikataa kuwahudumia lakini mimi nikakubali hivyo nikawachukua temple tour, wakawa watu wa maswali mengi sana kiasi kwamba tour iliisha karibia saa kumi na moja jioni

Baada ya tour ile ambayo waliipenda sana wakanipa ofa ya kwenda kwenye synagogue lao lililoko mji wa New Castle, mwendo wa zaidi ya masaa matatu toka chuoni, na kwamba nao wangependa mno nione ibada zao na usiku ule kulikuwa na ibada kubwa

Mpaka leo sijui ninini kilinifanya nikubali kwenda, tena kwa kutoroka kwakuwa nisingeruhusiwa katu na uongozi wa chuo
Nilicheza michezo yangu baada ya dinner na saa moja kasoro nilikuwa njiani kwenda New Castle na wale jamaa kwenye Cadillac jeusi tii, kuhudhuria ibada nisiyojua
Tukafika mwendo wa saa tatu usiku hivi nakumbuka huko njiani tulichepuka na kuingia rough road ya msitu na mashamba kwa zaidi ya nususaaa hivi

Kama kuna siku nilifika kuzimu basi ilikuwa siku hii, mbele yetu kulikuwa na jengo refu jeusi tii likisimama gizani ndani kulikuwa na taa za rangi zilizofifia
Jengo lilikuwa refu la grorofa tatu

km una nyuzi zingine na type huu humu JF plz nitag mshana jr
 
Last edited by a moderator:
Sasa na wewe ulivyokuwa kwenye hiyo temple ulikuwa uchi wa mnyama au ulikuwa umevaa mavazi gani na ni mavazi gani mnatakiwa mvae!?
 
Mkuu nimejikuta navutiwa na uzi wako maana napenda kusoma sana hizi mambo. The word is full of secrets you can not understand them all. Learn them slowly. Hivi ndivo DAN BROWN anasema. Nimejikuta nasoma vitabu vya jamaa sana kama vile DA VINCI CODE. FORTRESS. ANGELS AND DEMONS N.K

sasa mkuu umeshaandika kitabu chochote kuhusu hili unaloliongelea?

Kama hutojali naomba uniPM plz
 
Sasa na wewe ulivyokuwa kwenye hiyo temple ulikuwa uchi wa mnyama au ulikuwa umevaa mavazi gani na ni mavazi gani mnatakiwa mvae!?

Mimi mavazi yangu yalikuwa haya 1439760162222.jpg
 
Mkuu nimejikuta navutiwa na uzi wako maana napenda kusoma sana hizi mambo. The word is full of secrets you can not understand them all. Learn them slowly. Hivi ndivo DAN BROWN anasema. Nimejikuta nasoma vitabu vya jamaa sana kama vile DA VINCI CODE. FORTRESS. ANGELS AND DEMONS N.K

sasa mkuu umeshaandika kitabu chochote kuhusu hili unaloliongelea?

Kama hutojali naomba uniPM plz

Hii ndio mara ya kwanza naandika kwa uwazi takupm usijali
 
Tuendelee sasa....ibada ya mziki mzito ilipamba moto wale watu wakitembea kama mazombie ilikuwa inatisha sana
Kwenye kilele cha ule mziki na zile movement kama mazombie jeneza lilifunuliwa na akatoka kiongozi mkuu akiwa uchi na sime mkononi, ghafla akaletwa binti mweusi toka nyuma ya madhabahu ya kishetani na kwa pigo moja tu alitenganishwa kichwa na kiwiliwili, wale waumini walikimbilia madhabahuni na kuanza kuoga damu iliyokuwa inaruka sana...nilipoteza fahamu pale pale
Ninachotaka tu kusema hapa ni kwamba yalitokea mengi tangu muda ule nilipozirai nilipozinduka mpaka kufanikiwa kurudi chuoni alfajiri
Lakini kwa ufupi ni kwamba nilitakiwa niwe wakala wao...
Kipindi hicho south Africa watu walikuwa wanapotea sana hasa wageni , kumbe walikuwa wanarubuniwa kazi na kisha kwenda kutolewa kafara kwenye ibada za kishetani (fuatilia upoteaji wa watoto na watu wazima hapa Tanzania)
Hawa jamaa wana mtandao mkubwa walikuwa na mawakala kila mahali , death rate ya vichanga ilikuwa juu sana..kumbe mawakala wao walikuwa wanawauwa na kisha kuwapelekea (hii habari iliandikwa sana wakati ule kule na ushahidi juu)
Kwenye lile jumba kulikuwa na lita nyingi sana za damu , sijui ni ya binadamu ama la iliyohifadhiwa vizuri.ila walipendelea sana damu mbichi ya moto irukayo hii wanaamini iliwaongezea nguvu za kishetani na kutoogopa chochote
 
Back
Top Bottom