Kama nilivyoona vilikuwa ni viungo vya maiti halisi za vichanga na watu wazima wale watu hawafai kuishi duniani......
.........
Ilifika muda wa ibada nikachukuliwa kwenda huko underground floor, kulikuwa kunatisha mno nikakaa sehemu ya wageni kwa juu kidogo kabla ya holini
Hall lilikuwa kubwa lililopakwa rangi nyeusi na taa zilikuwa nyekundu sana zenye mwanga mkali, madhabahu MSALABA wake uliangalia chini na kulikuwa na jeneza lililofunikwa kutambaa chekundu
Ukumbi ulikuwa na watu wasiopungua hamsini hivi wote wakiwa uchi wa mnyama,ulianza mziki wa heavy metals wenye sauti za ajabu mno kama zile za kuzimu
nina swali hapa......
1.msalaba uliangalia chini kivip?kwamba uligeuzwa chini juu au??
2.watu hao walikua jinsia zote 2?
3.kulkua na wageni wangap labda?kwa makadirio!
