A day in the Buddhist college

A day in the Buddhist college

.....niliponyanyuka pale chini silaha nikiwa nayo mkononi nilikimbia upande wa chooni huku watu wakigongana na kupiga kelele sana
Ndani ya dakika kumi nilikuwa nimesharuka ukuta niko mtaani kuku defender zenye mijibwa na polisi zikiwa zimeshatake cover pale ukumbini
Nilikimbia mtaa kwa mtaa lakini kwa nyuma umbali wa kilometer moja nilipopata tax iliyonipeleka Zithobeni B, pale ilikuwa ni A naumbali wake ilikuwa kama km 3 hv
Nilifika kule salama lakini nikakuta bar ha uswazi hasa yenye virugu zote
Pale nikampata kijana ambaye nilimnunulia bangi na pombe ya kienyeji kama gongo halafu nikamwomba anitafutie usafiri wa kwenda chuoni hiyo sasa ilikuwa saa saba usiku
Kila dereva aliyetajiwa chuo chetu aligoma kwenda palikuwa panaogopeka mno
Ilipofika saa nane usiku kilikuja kigari nissan dutsun mbele kikiwa na watu wawili lakini kwenye canopy kuko tupu
Yule kijana alienda akaongea nao cha ajabu wakakubali wakati ni kama wamekuja kwenye starehe tena kwa rand kumi tu mpaka chuoni
Nikapanda kwenye canopy kigari kikaondoshwa kwa kasi ya ajabu, mmh nikashtuka ...kunchungulia kwenye kioo nyuma ya cabin ni wale vijana wapambe wa wale wabaya wangu, nikajua nimekwisha
Tunaondoka Zithobeni B kuelekea A lakini tulipokaribia A ghafla mwelekeo ukabadilika kuelekea highway..nikajua leo ama zangu ama zao
Ile kutaka tu kuingia high way ikawa unakuja semi trailer ambapo ilibidi jamaa asimame ghafla la sivyo rungeishia palepale
Kitendo cha kusimama ghafla ndio kilinipa mwanya wa kufungua mlango wa canopy na kuruka,

Nafatilia kwa makini...
 
Nafatilia kwa makini...

Tutaendelea kesho

Baada ya kutuchia chini kwakweli ilikuwa kama cinema ya action kwakuwa nilisimama na silaha yangu ikiwa mkononi tayari kwa lolote, lakini wale jamaa naamini kabisa hawafikiria kabisa kama ningefanya vile hivyo waliendelea na safari wakijua mtu wao yupo
Baada ya pale nilianza kurudi kuelekea kule Zithobeni A, kumbuka hiyo ni saa nane usiku sasa
Baada ya kama dk kumi nikafika mtaa wa kwanza, mbele yangu kulikuwa na gari la polisi limepaki pale mtaani walikuwa wanalinda msiba
Mitaa ya South Africa mingi ina taa wale polisi walikuwa nje ya gari wakiangalia kule nilikotokea, nikiwa nimebakisha hatua tano kuwafikia ile bastola ilinidondoka nilikuwa nimeifutika kiunoni kumbe haijakaa vizuri
Kama kuna siku nilihisi kufa basi ilikuwa ni siku ile, lakini kitu cha kushangaza mno sikupaniki niliinama nikaiokota silaha yangu na kuifutika kiunoni tena lakini nilijua fika kuwa huo ndio ilikuwa mwisho wangu
Kwahiyo niakjiandaa kabisa kukamatwa, nikajongea mpaka walipo nikawasalimia skikumbuki kama waliitika nikawapita...sikuamini kilichokuwa kinatokea....lakini nikajua fika kuwa hata wao walipaniki na wakadhani mimi ni shetani au mchawi kwakuwa mwa usiku ule wa manane na kule nilikotokea hakukuwa namaelezo ya kutosha kumwambia mtu akuamini kuwa mimi nilikuwa binadamu wa kawaida
Basi nilienda zangu mpaka Zithobeni Kabisa nikapata tax kwa nguvu ya mtutu wa bastola na akanifikisha salama chuoni saa kumi kasoro alfajiri
Baada ya tukio lile nilikaa miezi mitatu bila kutoroka usiku
 
Baada ya kutuchia chini kwakweli ilikuwa kama cinema ya action kwakuwa nilisimama na silaha yangu ikiwa mkononi tayari kwa lolote, lakini wale jamaa naamini kabisa hawafikiria kabisa kama ningefanya vile hivyo waliendelea na safari wakijua mtu wao yupo
Baada ya pale nilianza kurudi kuelekea kule Zithobeni A, kumbuka hiyo ni saa nane usiku sasa
Baada ya kama dk kumi nikafika mtaa wa kwanza, mbele yangu kulikuwa na gari la polisi limepaki pale mtaani walikuwa wanalinda msiba
Mitaa ya South Africa mingi ina taa wale polisi walikuwa nje ya gari wakiangalia kule nilikotokea, nikiwa nimebakisha hatua tano kuwafikia ile bastola ilinidondoka nilikuwa nimeifutika kiunoni kumbe haijakaa vizuri

Duh! nafatilia
 
Duh! nafatilia

Pale chuoni kulikuwa na wanafunzi toka mataifa mbalimbali kama Kongo, Zimbabwe, Brazil, israel, South Africa Lesotho na Malawi kwahiyo ilikuwa ni kazi kweli kuwaweka pamoja
Hii ilitokana na kuwa kila watu walikuwa na tamaduni zao halafu wote ni watu waliitika uraiani kuja kuanza maisha mapya ya chuo
Wote hawa walikuwa ni watu wa tabia tofauti za zisizofanana nzuri na mbaya wambea waongo wanafiki mashoga nk nk
Lakini wote baada ya muda walikuja kunyooka na kurudi kwenye mstari na kuacha kuishi kwa mazoea ya walikotoka... Walioshindwa kabisa na yale maisha waliondoka na kile chuo kilikuwa hakizuii watu kuondoka
 
Baada ya kutuchia chini kwakweli ilikuwa kama cinema ya action kwakuwa nilisimama na silaha yangu ikiwa mkononi tayari kwa lolote, lakini wale jamaa naamini kabisa hawafikiria kabisa kama ningefanya vile hivyo waliendelea na safari wakijua mtu wao yupo
Baada ya pale nilianza kurudi kuelekea kule Zithobeni A, kumbuka hiyo ni saa nane usiku sasa
Baada ya kama dk kumi nikafika mtaa wa kwanza, mbele yangu kulikuwa na gari la polisi limepaki pale mtaani walikuwa wanalinda msiba
Mitaa ya South Africa mingi ina taa wale polisi walikuwa nje ya gari wakiangalia kule nilikotokea, nikiwa nimebakisha hatua tano kuwafikia ile bastola ilinidondoka nilikuwa nimeifutika kiunoni kumbe haijakaa vizuri
Kama kuna siku nilihisi kufa basi ilikuwa ni siku ile, lakini kitu cha kushangaza mno sikupaniki niliinama nikaiokota silaha yangu na kuifutika kiunoni tena lakini nilijua fika kuwa huo ndio ilikuwa mwisho wangu
Kwahiyo niakjiandaa kabisa kukamatwa, nikajongea mpaka walipo nikawasalimia skikumbuki kama waliitika nikawapita...sikuamini kilichokuwa kinatokea....lakini nikajua fika kuwa hata wao walipaniki na wakadhani mimi ni shetani au mchawi kwakuwa mwa usiku ule wa manane na kule nilikotokea hakukuwa namaelezo ya kutosha kumwambia mtu akuamini kuwa mimi nilikuwa binadamu wa kawaida
Basi nilienda zangu mpaka Zithobeni Kabisa nikapata tax kwa nguvu ya mtutu wa bastola na akanifikisha salama chuoni saa kumi kasoro alfajiri
Baada ya tukio lile nilikaa miezi mitatu bila kutoroka usiku

Heshima kwako mkuu mshana, bila shaka ile kauli ya "ukimwona nyani kazeeka basi ujue kakoswa na mishale mingi" nahisi kwako ndio haswaaa! mahali pake.
 
mshanajr hili nadhani hili ni swali zuri sana mkuu, mimi na huyo hapo juu tunaomba majibu timilifu. Thanx for sharing

Ni kweli kabisa, lakini nimechagua kutofafanua kwakuwa hapa ni jukwaani na kwasababu zozote zile, nimechagua vya kusimulia, ambavyo mwisho wa yote bado nitabaki na ID yangu ileile
 
Last edited by a moderator:
Tukiachana na story za kuruka ukuta na starehe za South ifuatayo ndio miungu mikuu ya kibuddha
1.Sakyamuni Buddha (Sidharta Gautama) mtoto wa mfalme aliyekulia kwenye raha zote za dunia ila akaacha kila kitu na kwenda kutafuta enlightenment kwa njia ya meditation

2.Kuan yi Pusa, huyu ni Buddha wa kusaidia wakati wa matatizo na kuomba baraka nk na huwa kuwa ibada maalum za kuan yi pusa, ni kama vile Bikira Maria kwa wakatoliki

3.Bodhisattva-a Buddha with a thuosand hands, huyu hana tofauti na no 2, na mikono yake ni kiwakilishi kuwa anaweza kusaidia yeyoye wakati wowote na jambo lolote

4. Milefo- future Buddha huyu anaaminika ndiye Buddha ajaye kama ilivyo Yesu Kristo kwa wakristo
Inaaminika kwamba baada ya kipindi hiki cha KALIYUGA (dunia ya matatizo ya kila aina) kitakuja kipindi cha faraja (concept ya mbinguni)
Milefo anaitwa Buddha wa furaha na mpenda kula, nitaweka picha! Huyu ndie ambaye humkosi popote kwenye madhabahu za kibudha sehemu ya chakula
Chochote kinachonunuliwa hupewa yeye kwanza kwa maana ya kuweka pale alipo
 
Tukiachana na story za kuruka ukuta na starehe za South ifuatayo ndio miungu mikuu ya kibuddha
1.Sakyamuni Buddha (Sidharta Gautama) 1439658145405.jpgmtoto wa mfalme aliyekulia kwenye raha zote za dunia ila akaacha kila kitu na kwenda kutafuta enlightenment kwa njia ya meditation

2.Kuan yi Pusa, 1439658193439.jpghuyu ni Buddha wa kusaidia wakati wa matatizo na kuomba baraka nk na huwa kuwa ibada maalum za kuan yi pusa, ni kama vile Bikira Maria kwa wakatoliki

3.Bodhisattva1439658230969.jpg Buddha with a thuosand hands, huyu hana tofauti na no 2, na mikono yake ni kiwakilishi kuwa anaweza kusaidia yeyoye wakati wowote na jambo lolote

4. Milefo- future Buddha 1439658308796.jpghuyu anaaminika ndiye Buddha ajaye kama ilivyo Yesu Kristo kwa wakristo
Inaaminika kwamba baada ya kipindi hiki cha KALIYUGA (dunia ya matatizo ya kila aina) kitakuja kipindi cha faraja (concept ya mbinguni)
Milefo anaitwa Buddha wa furaha na mpenda kula, nitaweka picha! Huyu ndie ambaye humkosi popote kwenye madhabahu za kibudha sehemu ya chakula
Chochote kinachonunuliwa hupewa yeye kwanza kwa maana ya kuweka pale alipo

1439658145405.jpg1439658193439.jpg1439658230969.jpg1439658308796.jpg
 
Mkuu mshana jr mnapokuwa mnatoa chakula kwa ghost huwa mnatoa chakula gan??!..

Je kwenye budhaa mnaamin kuwa kuna mwiasho wa dunia na kiama

Je kwenye budha mapepo na majini yanawekwa kwenye fungu gan!!!,je mtu akiwa amepata mapepo kuna Sara kwa ajili ya deliverance au kupunga majini!!??

Je nini mwanzo wa ulimwengu kwa mujibu wa Budha

Sante
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mshana jr mnapokuwa mnatoa chakula kwa ghost huwa mnatoa chakula gan??!..

Je kwenye budhaa mnaamin kuwa kuna mwiasho wa dunia na kiama

Je kwenye budha mapepo na majini yanawekwa kwenye fungu gan!!!,je mtu akiwa amepata mapepo kuna Sara kwa ajili ya deliverance au kupunga majini!!??

Je nini mwanzo wa ulimwengu kwa mujibu wa Budha

Sante
neo1, chakula tulichokuwa tunakula ndio tulikuwa tunawapa hao wadudu, na si chakula as such cha kushiba bali ni punje kati ya saba na 11, na kajani kamoja au viwili vya mboga, hivyo sasa baada ya chanting ndio hugeuka huko ulimwengu wa roho na kuwa chakula kingi refer habari ya ya mikate sita na samaki 3/5? Kwenye Bible

Hayo yote yanaingia kwenye fungu moja tu roho zinazotangatanga, ambazo huwaingia na kuwatoka watu, hakuna deliverance yoyote kwakuwa hatujawahi kuexperience kitu kama hicho
Na hii haiwezi kutokea kwenye Buddhism kwakuwa ni walewale na ndio maana wanawathamini na kuwalisha

Katika Buddhism hakuna kiama bali kitu kinaitwa realm of eternity- kuna post inahusu hii kitu ufuatilie
Na concept ya kiama katika Buddhism inazungumziwa kwenye kalpa
Kalpa ni sawa na jiwe lenye ukubwa wa maili tano, ulikate kipande cha robokilo kila baada ya miaka mitano mpaka liishe lote hiyo ndio kalpa kwahiyo maana yake ni kwamba hakuna mwisho

Buddha aliukuta ulimwengu na akauacha, kila kitu hakidumu milele kwenye ulimwengu unaodumu milele, dwelling into the realm of eternity in the impermanence world
 
Last edited by a moderator:
Huyo mwenye kitambi siyo Ho Tai budha anayetumika katika meditation unapotaka kuishi vizuri au to put it bluntly.unapotaka kutajirika?
 
Huyo mwenye kitambi siyo Ho Tai budha anayetumika katika meditation unapotaka kuishi vizuri au to put it bluntly.unapotaka kutajirika?

Ndio maana anaitwa smiling buddha, Buddha mwenye furaha muda wote anacheka na ameshiba- alama ya utajiri na kuridhika
 
1439664724326.jpghii alama ni ya kibuddha ikimaanisha milele kwa maana ya eternity- in the impermanence au impermanence in the eternity lakini Adolf Hitler alikuja kuichakachua na kuiweka hivi1439665020101.jpgkwahiyo watu huwa wanazichanganya sana na hii ya Hitler ndio ilikuja kuwa maarufu sana
1439665106029.jpg hii nayo inatumika sana kuelezea kitovu cha kitu, vitalpoint , heart n soul mbingu na dunia inatumika hasa kwenye yoga tai chi na baadhi ya practice za meditation
 
Back
Top Bottom