Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aisee hapana labda utumie mautundu ya kuingia bank na kutoa hela na kunikabidhi ndiyo utanipataKwa mfano unaweza kutumia hayo mautundu ya kibudha kumpata miss chaga?
mtani na ada ni bure au?Hahhahaaaaa
cc: miss chagga
Hoja yangu imeegemea ktk imani kwamba Mungu ni mmoja tu kwa ulimwengu mzima anayepaswa kuabudiwa.Ni wewe tu hujui kuzifata protocol za Mungu, wao wanazifata kweli kwa kuitolea ibada na sadaka, mbona mi nimebarikiwa
Inawezekana kaishakuwa milionea through his talent sio mpaka ajitangaze!
Mbimbinho chi gong ni nguvu inayotoka tumboni/ kitovuni, wale waimbaji wazuri hutumia koo na tumbo kutoa sauti zao na zina tofauti
Kuna connection kubwa sana kati ya mind na chi gong, ukijifunza tai chi movement zake ni za taratibu mno lakini lakini zilizobeba uzito mkubwa
Angalia mapigo mawili ya tai chi na karate/kung fu/judo
Ukipanga tofali 3 ukampa mtu wa karate/judo au kung fu azivunje atavunja zote tatu lakini ukimpa mtu wa tai chi avunje atakuuliza unataka avunje ipi au ngapi na atafanya hivyo
Mkuu unataka kuniaminisha kuwa yale ambayo niliyaona kwenye movies za kichina kuhusu hiyo style ya Tai chi ni kweli?? Kama ni kweli then huyo mtu si anakuwa na external unseen power ambayo ndo inafanya yote hayo through him?? maana kuhalisia huwezi sema navunja la katikati afu la juu au la chini likabaki salama.
Total confused.
Yale ni kweli lakini yamekuwa exaggerated kunogesha story ishu ya kuvunja tofali la kati huku la juu na chini kubaki salama ni kweli kabisa ma majasusi wengi sana kipindi cha nyuma walitumia sana hiyo style kutekeleza mauaji ya watu mbalimbali
Unapigwa kofi nje hakuvimbi wala kuacha alama lakini ndani kunavujika vibaya kabisa hiyo style ni lethal weapon na hata Bruce Lee myth zinasema yule aliyemuua alikuwa bingwa kwenye Tai chi
Mkuu kama hutojali toa darasa dogo kuhusu meditation,maana walimu wamekuwa wengi mpaka tumechanganyikiwa.
Mbaya walimu wenyewe ni wa theory tu,hawajasomea wala kupractice sana.
Kumbe ndo maana kila siku mapepo mapepo kumbe mwenyewe unayo.