A day in the Buddhist college



Hii inanikumbusha kwa asilimia moja (1%) tu ya maisha yangu ya JKT (Makutupora - Dodoma). Sasa nyie watawa ni nini hasa kilichokuwa kinawasukuma kwenda mjini? Ni ngono, mziki, hewa ya mafuta ya magari, au nini?
 


love it
 
Hii inanikumbusha kwa asilimia moja (1%) tu ya maisha yangu ya JKT (Makutupora - Dodoma). Sasa nyie watawa ni nini hasa kilichokuwa kinawasukuma kwenda mjini? Ni ngono, mziki, hewa ya mafuta ya magari, au nini?

Hahhahaaaaa kwanza Kifyatu mwanadamu, huwa hapendi kuchungwa na ukifanya hivyo atatafuta uhuru kwa njia azijuazo mwenyewe
Lakini pia South Africa ni mji uliojaa starehe za kila aina...kwasisi ilikuwa ni kama kwenda kupata ladha halisi ya maisha tuliyozoea nyumbani Tanzania... You know sort of....mziki kidogo, chupa kidogo, tundi kidogo, nyama kidogo...na cha kushangaza zaidi uwezo wa kuruka mitego yote ya chuo utoke na kurudi salama kwakuwa ilikuwa ni jambo gumu mno kutoka na kurudi salama
 
Last edited by a moderator:
Naam! mshana jr uwe unanitag.
Mambo yangu haya

Tutaendelea na simulizi

IBADA ZA AJABU/ ZA KUSHANGAZA

Mojawapo ya ibada za kushangaza sana ilikuwa ni ibada ya kuchoma pesa!!!hili lilifanyika kwa siri mno na hata kwa wanachuo ni wachache sana tuliokuwa tunalifahamu hilo

Kwenye Synagogue la kibuddha/Temple kulikuwa na shrines 3
Ya kwanza ilikuwa mbele ambapo sanamu kubwa la Buddha mkuu liliwekwa likiambatana na essence burner, candles na Sutra

Madhabahu ya pili ilikuwa nyuma kulia ikipambwa na sanamu la kuan yi pusa mishumaa na nyudi na vitambaa vya rangi nyekundu.. Huku ilikuwa ni kwa kuomba baraka

Madhabahu/shrine ya tatu ilikuwa nyuma kushoto ikipambwa na sanamu kubwa la bodhisattva mwenye mikono elfu moja, nyudi mishumaa maua na vitambaa vya njano,.huku ilikuwa ni kuomba kuondokana na mikosi mbalimbali na ibada za vifo zilifanyika upande huu
 
Last edited by a moderator:
Kifyatu. Ha haa haa we kweli kifyatu!
 
Last edited by a moderator:
Naomba na mie unitag, huko majukwaa mengine unakopost mada zako bado sijaomba kibali.
 
Kifyatu. Haa haaa haa we kweli kifyatu!
 
Last edited by a moderator:
go on broda tumejifunza kitu, si kila ukionacho chafaa kwa matumizi
 
Baba pale uliposema kuwa unamiliki silaha umenipa ukakasi kidogo,iliwezekana vipi kwenye chuo chenye sheria kali kama ulivyotanabaisha.

Ni kweli kabisa lakini ilikuwa kwa njia haramu na hata waliokuwa wanajua hili ni watanzania wasiozidi watatu
 
Mshana jr,hii habari ina sisimua ,navuta picha nakosa majibu!,napata maswali yanayeyuka,
Swali la kwanza,uhusiano wa mabudha na ushetani upoje?
 
Mshana jr,hii habari ina sisimua ,navuta picha nakosa majibu!,napata maswali yanayeyuka,
Swali la kwanza,uhusiano wa mabudha na ushetani upoje?

Ubudha si ushetani lakini pia hauna Uungu ndani yake
Unajua kuna shetani(ibilisi) na Lusifer hawa wawili wote ni roho walioasi toka mbinguni
Shetani ndiye aliyemdanganya(kumwambia ukweli? )hawa Kisha akalaaniwa
Lucifer yeye alitaka kuwa kama Mungu yaani apate mamlaka na uwezo wa kimungu! Lakini akashindwa na kutimuliwa mbinguni

Kwahiyo Shetani alilaaniwa na kufukuzwa kutoka Eden lakini Lucifer yeye hakulaaniwa bali allifukuzwa toka mbinguni....kufika huku duniani shetani akawa ni roho kamili ya ibilisi inayodanganya na kupotosha watu
Lakini Lucifer yeye akachukua umbo la mwanadamu na kuendelea na mkakati wake wa Kupata uwezo na akili zaidi Ili Amfikie Mungu ndipo hapo synagogue la kwanza la luceferianism lilianzishwa na as time goes on wakatokea kina Illuminati Freemasons Buddhism confuscious nknk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…