Nimeongelea kwa mfano wa imani ambayo angalau ninafahamu misingi yake (Imani hiyo) ni nini. Maarifa yangu kuhusu imani ya uislamu au dini nyingine hayatoshelezi mimi kutoa maelezo yoyote juu ya ni nini imani hizo huamini. Hata hivyo, kitu kimoja ambacho nina uhakika nacho ni kuwa, katika msingi mkuu wa uwepo wa Mungu dini hizi mbili yaani uislamu na ukristo hazitofautiani sana kwani zote zinaamini katika uwepo wa Mungu mmoja aliye asili ya vitu vyote. Zinatofautiana kwa namna gani.
Swali la ikiwa dini nyingine ni sahihi sina majibu yake. Ninachoweza kusema ni kuwa maelezo yangu ya mwanzo yana sehemu ya jibu hilo. Maelezo yanaeleza kuwa kumtambua mungu ni lazima ajidhihirishe kwako kwani binadam hana uwezo wa kumng'amua Mungu - Kisimbuzi (Wengine husema King'amuzi) chake (binadamu) hakiwezi kutambua hilo hadi apewe siri (key) ya msimbo (Code) wenyewe. Yupi mwenye siri (key) sahihi kati ya dini zote zilizopo? Hili nalo si suala la kibinadamu kwani anayeweza kujibu hili ni yule mwenye msimbo yaani Mungu mwenyewe kwa mujibu wa maarifa niliyo nayo.
Sasa nikija kwenye swali lako la tatu ikiwa Mungu anaweza kusema uongo. Ukifuatilia hoja katika aya iliyotangulia nimezungumzia uwepo wa msimbo (code) ambao mwanadamu huhitaji funguo (key) ili kujua kuwa Mungu yupo na yukoje. Ikiwa huwezi kujua uwepo/kutokuwepo kwa Mungu, ni vigumu kuwa unaweza kujua ikiwa kama Mungu anaweza kusema/kutosema uongo. Nirejee imani ile niliyoitumia mwanzo (ukristo). Katika imani hiyo, njia za huyo Mungu, taratibu zake, kanuni zake, sheria zake, n.k. zinashuhudiwa kuwa si za kibinadamu. Uongo ni kanuni/mwenendo/mfumo wa kibinadamu kwani wote tunauona ukiwa sehemu ya maisha yetu ya kila siku.
Ninachotaka kukuelewesha (pengine ni vigumu sana kufikia hilo lengo) ni kuwa uhusiano kati ya mwanadamu na Mungu ni wa Kiroho. Roho, kama tunavyoambiwa haina tabia zinazochunguzika kisayansi (sayansi yaani haitokani na nguvu kuu nne). Kwa maana hiyo kutumia njia za kisayansi kuchunguza chunguza uwepo na tabia za Mungu siku zote utapata majibu yasiyo na mantiki. Kwa mantiki hii, kila binadamu anayekabidhiwa funguo ya Kumjua Mungu (kwa mujibu wa imani ya kikristo) hujua tu kile ambacho funguo zake zinamwezesha kujua. Na kwa kuwa kumjua mungu ni hadi ajidhihirishe mwenyewe, uhusiano wa mtu na Mungu ni wa kibinafsi zaidi kuliko tunavyojaribu kuelezea. Uhusiano huo hauelezeki kwani binadamu hana funguo za kujua msimbo mzima. Kwa mujibu wa maelezo ya kibiblia kutoka injili ya Yohana, Thomas (yule aliyetaka kutumia sayansi kumjua Mungu) alipomshika Yesu baada ya kufufuka alisema "Bwana wangu na Mungu wangu". Alichokihisi hakuna anayeweza kukielezea - hata yeye mwenyewe asingeweza kuwaambia wengine alichokihisi hadi akatamka vile.
Mungu hujidhihirisha kwa mtu mmoja mmoja kwa sababu zake na kwa njia zake - na hatuna uwezo wa kuzihoji wala kuzitambua wala kuzielezea wala ................. Chochote tunachofanya, ni ubinadamu tu!!
Oookey. Nakusoma vyema mkuu na zaidi nimekuaoma hapo uliposema kuwa mtu kumjua Mungu ni hadi Mungu ajiridhihishe mwenyewe kwa mtu husika.
But hapo naweza kuuliza ikiwaza Mungu ni mueza wa yote na anapenda watu wote kwanini ajidhihirishe kwa watu wachache? nikiwa na maana kuwa kwanini asijidhihirishe kwa watu wote if he has an ability to do so?
i bet hapo utaniambia hadi mtu huyo amuamini na kumkubali!!! but hiyo ni namna gani ya kutafuta ukweli? let me give you a simple scenario: imagine someone wants to know the effects of sex beyond nature (kuliwa/kulana tigo) would tell me that a reacher must be liwa tigo so as to have a strong evidence concern it? a someone who reject kuliwa cant testify?
Kwanini kumuamini na kumkubali Mungu iwe ni njia pekee ya kumtambua? ivi huoni huo utakua mzigo kwa mtu anaetaka kuproof yupi Mungu wa kweli ukizingatia mtu huyo hakulelewa katika imani ya kikristo? na jee waislamu na watu wa imani nyengine wakiamua kueka kigezo hicho the researcher would believe on which religion? or unafikiri mtu akiamini ukiristo tu ndio atapata jibu hilo?
Ivi huoni ukiamua kukubali na kuamini ndio tayari umeshatengeneza mind yako kukubali chochote kuhusu imani hiyo?
As a reasonable man ningeomba ufikirie na haya:
Hapo underline inaonesha tayari umesha block mind yako juu ya kitu unachokiamini, then ukizingatia hicho ni kitu ulichofundishwa/ulichorithishwa na wazazi wako, hiyo itamaanisha kwamba ungezaliwa or kulelewa na kufunzwa imani tofauti leo hii ungekua unatetea uislamu or imani nyengine.
Kwamtazamo wangu sasa naona njia pekee ya kutambua Mungu/dini flani ni ya kweli we should see its teachings. na ikiwa mafundisho yake ni ya uongo or unreasonable we should discuss it by free mind.
Thus why nimesema hizi dini zinadanganya ingawa umesema uongo huo tunauona sisi tu. ok siwezi kupinga coz thats how you have prepared to believe. But ningependa usome Joshua 10: 13 then uniambie umeelewa nini.
Kivipi jua litembee kutoka sehem moja kwenda sehem nyengine?
Then kwenye genesis uniambie ikiwa Mungu hakutambua or hakuumba Galaxies nyengine, ukumbuke Mungu hatambui hata uwepo wa sayari nyengine ktk galaxy yetu.
Shukran nasubiriri majibu.