A God can be a mere theory, nothing more


Yap, hapo nimekusoma.

Jee unaliongeleaje suala biblia kusema or kumanisha Jua linatembea kutoka sehem moja kwenda sehem nyengine kama ilivyoelezwa ktk Joshua 10: 13?

Cc: Kizzy Wizzy
 
Last edited by a moderator:
Oookey. Nakusoma vyema mkuu na zaidi nimekuaoma hapo uliposema kuwa mtu kumjua Mungu ni hadi Mungu ajiridhihishe mwenyewe kwa mtu husika.
But hapo naweza kuuliza ikiwaza Mungu ni mueza wa yote na anapenda watu wote kwanini ajidhihirishe kwa watu wachache? nikiwa na maana kuwa kwanini asijidhihirishe kwa watu wote if he has an ability to do so?

i bet hapo utaniambia hadi mtu huyo amuamini na kumkubali!!! but hiyo ni namna gani ya kutafuta ukweli? let me give you a simple scenario: imagine someone wants to know the effects of sex beyond nature (kuliwa/kulana tigo) would tell me that a reacher must be liwa tigo so as to have a strong evidence concern it? a someone who reject kuliwa cant testify?
Kwanini kumuamini na kumkubali Mungu iwe ni njia pekee ya kumtambua? ivi huoni huo utakua mzigo kwa mtu anaetaka kuproof yupi Mungu wa kweli ukizingatia mtu huyo hakulelewa katika imani ya kikristo? na jee waislamu na watu wa imani nyengine wakiamua kueka kigezo hicho the researcher would believe on which religion? or unafikiri mtu akiamini ukiristo tu ndio atapata jibu hilo?

Ivi huoni ukiamua kukubali na kuamini ndio tayari umeshatengeneza mind yako kukubali chochote kuhusu imani hiyo?

As a reasonable man ningeomba ufikirie na haya:
Hapo underline inaonesha tayari umesha block mind yako juu ya kitu unachokiamini, then ukizingatia hicho ni kitu ulichofundishwa/ulichorithishwa na wazazi wako, hiyo itamaanisha kwamba ungezaliwa or kulelewa na kufunzwa imani tofauti leo hii ungekua unatetea uislamu or imani nyengine.

Kwamtazamo wangu sasa naona njia pekee ya kutambua Mungu/dini flani ni ya kweli we should see its teachings. na ikiwa mafundisho yake ni ya uongo or unreasonable we should discuss it by free mind.

Thus why nimesema hizi dini zinadanganya ingawa umesema uongo huo tunauona sisi tu. ok siwezi kupinga coz thats how you have prepared to believe. But ningependa usome Joshua 10: 13 then uniambie umeelewa nini.

Kivipi jua litembee kutoka sehem moja kwenda sehem nyengine?

Then kwenye genesis uniambie ikiwa Mungu hakutambua or hakuumba Galaxies nyengine, ukumbuke Mungu hatambui hata uwepo wa sayari nyengine ktk galaxy yetu.

Shukran nasubiriri majibu.
 
Yap, hapo nimekusoma.

Jee unaliongeleaje suala biblia kusema or kumanisha Jua linatembea kutoka sehem moja kwenda sehem nyengine kama ilivyoelezwa ktk Joshua 10: 13?

Cc: Kizzy Wizzy

Naelewa sawa na binadamu mwingine yeyote anavyoelewa kuhusu mawio (sunrise) na machweo (sun set ) Kama binadamu wewe Una earth rise na earth set lete Shule Mkuu.
Ama kuhusu Joshua 10:13 ni rahisi kukufafanulia ukinijibu hoja yangu kuhusu mawio na machweo.
 
Last edited by a moderator:
Yap, hapo nimekusoma.

Jee unaliongeleaje suala biblia kusema or kumanisha Jua linatembea kutoka sehem moja kwenda sehem nyengine kama ilivyoelezwa ktk Joshua 10: 13?

Cc: Kizzy Wizzy

Dah! Best Mashaxizo umekuwa anti God sana au ndo umeshaingia kwenye kale kaimani (jokes).......

Katika Joshua 10:13 Joshua aliliambia jua simama na mwezi simama...... Aliposema hivyo haikumaanisha kwamba jua linatembea......hapo kale wengi walitumia jua na mwezi kutambua wakati........Elimu dunia inatuambia jua linachomoza mashariki na linazama Magharibi je hii nayo inamaanisha kwamba jua linatembea kutoka mashariki kwenda magharibi??

Joshua aliliambia Jua simama na mwezi simama inamaana alisimamisha wakati usitembee yaani mchana usiende wala usiku usikaribie mpaka atakapomaliza kazi ya kuuteketeza mji ule.
 
Last edited by a moderator:
Nimekusoma mkuu but hapo underline bado sijakusoma vizuri.

Jee unamanisha Jesus amekuja kurepeal the old testament?

If not, what does that verse mean?
Cc: Nkwesa Makambo


Hebrews 10: 9 then He said, "BEHOLD, I HAVE COME TO DO YOUR WILL." He takes away the first in order to establish the second.10. By this will we have been sanctified through the offering of the body of Jesus Christ once for all.

There were previously in the Old Testament, burnt offerings and sacrifices for sin, but things changed as per Hebrews 10:10
 
Mimi nilichosema kinaushahidi 100%, hata Mungu akiniuliza nitamwambia binadamu uliowapa akili wanaojiita wanasayansi walinidanganya, sasa wewe hiyo kauli aisee inaukakasi haswaaaaa, futaaaaaaaaaaa
Hapana.... Acha tu mi niendelee kuamini Mungu yupo. Acha tu niamini, kama hayupo sina cha kupoteza. Ila nikisema hayupo afu nikamkute.... Anapiga fegi yake na safari lager (huwezi jua anapenda nini).... Afu anambie we kenge ulikuwa unasemaje kule kwa Pengo kuhusu mimi???? Maweeeeeeeee..................
 

Njia za Mungu hazihojiki, haziuliziki, hazielezeki, ....unless uwe na siri ya Msimbo. Paul wa Kwenye Biblia katika moja ya barua zake alisema Mungu ni upuuzi kwa binadamu wenye busara. Hakuna maelezo nitakayokupa yatakayojitosheleza.

Si kweli kwamba Mungu hujidhihirisha kwa wale wanaomwamini tu; Biblia imejaa mifano ya watu waliokuwa hawamjui Mungu lakini ambao Mungu alijidhihirisha kwao. Mungu hujidhihirisha kwa wenye dini na wasio na dini. Yesu aliwaambia mitume wake kuwa si wao waliomchagua yeye, bali yeye ndo aliwachagua. Hawa ni watu ambao kabla walikuwa hawamjui na wengine walikuwa hawamwamini kabisa. Kwa kifupi huwezi kumwamini Mungu bila yeye kujifunua kwake - Huu ndo umekuwa msingi wa hoja zangu zote. Kwa hiyo wanaomfuata na kumwamini wote ameshajifunua kwao. Ila tu kumbuka - si wote wanaosema kuwa wanamwamini, kweli wanamwamini - wengine wanajinasibisha tu ila siri ya msimbo hawajapata na biblia inatuambia kuwa tutawatambua kwa matunda yao - yaani huwezi kutoa kile ambacho huna hata kama utajisingizia.

Sababu ya Mungu kujidhihirisha kwa yule na si kwa yule hazielezeki kwani Mungu njia zake si za kibinadamu na hazichunguziki wala hazihojiki na mwanadamu. Mungu humchagua mtu kwa sababu zake za Kimungu ambazo kwetu sisi hatuwezi kuzing'amua. Ukienda katika kila jamii utakuta wapo watu "exceptional" ambao matendo yao ni tofauti kabisa na jamii iliyowazunguka hata kama hawakuwahi kuhubiriwa dini hizi zinazohubiriwa. Kila jamii ina dini, dini za jamii nyingi hazihubiriwi majukwaani au hata kwenye biblia au vitabu vitakatifu - nyingi ziko kwenye oral tradition. Kutokana na kuwa Mungu njia zake ni zisizoelezeka binadamu wanaofunuliwa kwa njia mbali mbali hujaribu kuwapa wenzao kile walichokipata - ingawa kwa makosa mengi na mara nyingi hatufanikiwi. Mwelekeo wa dini zote ni mmoja - kuelekea kwenye "purity" na "perfection" ambazo ndio sifa kuu za Mungu.

Ukisoma biblia, kuna siku mitume wake yesu walimwambia kuwa wamewaona watu wakiponya na kutoa pepo kwa jina lake lakini watu hao walikuwa hawafuatani nao na wakajaribu kuwakataza - yaani hao watu wengine waliokuwa wakiponya na kutoa pepo kutumia jina la Yesu hawakuwa na ushirika nao - kwa leo unaweza kusema hawakuwa dini moja. Yesu aliwajibu kuwa mtu hawezi akafanya haya tunayofanya sisi na akaweza asipokuwa nao. Alisema "Waacheni kwa sababu asiye kinyume chetu, yuko na sisi". Katika dini zote, hata katika wasio na dini - utakuta watu wastaarabu hadi utashangaa. Na vile vile utawakuta watu wengine wanaojinasibisha kumfata Mungu lakini matendo yao hayafanani na Mungu. Cha muhimu kujua ni kuwa Mungu si dini wala hahusiani na dini, bali dini ni njia ambayo binadamu wanajaribu kuitumia ......... Mungu hahitaji uwe na dini ili akufikie.

Mungu anatuvuta kwake, kwa njia zake na kila mmoja kwa wakati wake; kazi yetu sisi ni kumsikiliza na kumfuata. Mengine yote unayoyaona ni ubinadamu tu na vurugu zetu.
 


Mamaweeeeeeee!!!! tufunge huu mjadala, aiseee!! tusitafute laana za Mungu. mimi sitaki tena kuendelea na huu uzi.
 
Kama uwepo wa Mungu ni theory jiulize hiyo pumzi Binadamu aliipata wapi na je Binadamu ana uwezo kuidhibiti isimtoke? Amini Mungu aliyeumba mbingu na dunia yupo na tu hai na Mungu no Roho alituumba kwa mfano wa Roho yake kwa hiyo hijalishi u taahira kilema nk.
 

Hahahaaaa! hizo ndo zile siasa nilizoziongelea ktk point no. 5.

Mungu mjuzi wa vitu vyote hawezi kuongea pumba zile ubaya zaidi ni kwamba mnatetea tuuuuuuu. Ok.
 
Dah! Best Mashaxizo umekuwa anti God sana au ndo umeshaingia kwenye kale kaimani (jokes).......
Hahahaaa! best everlink usijehuku! (joke) sjapinga uwepo wake infact Mungu yupo but sio huyu wa waislamu na wakiristo!!!!! Ukipitia mada hapo juu unaweza kupata jibu kwanini nimesema hivyo.

Then hizo ndio siasa nilizoelezea ktk moja ya point huko juu. kwamba waumini wakiona sehemu flani Mungu wao kawaingiza chaka basi watatafuta njia yoyote ili Mungu wao asionekane kakosea. Na hilo haliko kwa wakiristo tu bali hata kwa waislamu Mungu wao akisema dunia ni flati wanakuja na siasa namna hiyo!!! Ivi itawezekana vipi Waislamu wawe sahihi na wakiristo wawe sahihi pia ukizingatia hao ni imani mbili tofauti na hata miungu yao haifanani?

Maana mnaakt kana kwamba Mungu kuna maneno hayajui! ivi ni kweli Mungu hawezi kusema kasimamisha wakati?
Then pale kachanganya jua na mwezi sasa jee unataka kuniambia na mwezi hautembei? Or mwezi unahusika vipi na mambo ya wakati?

Then mimi au wewe au mtu yoyote anapoongelea kuhusu kuzama na kutoka kwa jua ni tofauti na akiongea Mungu. coz Mungu ndio kaumba hivyo vitu na yeye anaona tofauti na tunavyoviona sisi. Binadamu akiona jua linatembea ni sawa coz ndivyo anavyoliona. Jee unataka kuniambia yule aliemba jua na vitu vyote naye anaona hivyo hivyo? (tunavyoona sisi)
Mmmmmh! Haya bhan.
 
Last edited by a moderator:

Ndiyo maana nawaambiaga kuwa kusema hakuna mungu nayo ni Imani pia kama Imani zengine.
 
Mkuu tukisema haya matabu yenu matakatifu yanajikontradict sijui kwanini hamtaki kukubali. Yani vitabu vyenu vinajicontradict sana ila si ninyi si waislamu nyote mnasiasa hizo hizo za kumsadia Mungu maana ambayo mnahisi inasound. ok nisiongee sana naomba usome Matayo 5: 17. na hiyo ni agano jipya too.

Naomba uniweke sawa hapo waebrania 10: 9 na Hapo Matayo 5: 17.

Aya zote hizo zinapatikana ktk agano jipya.

Cc: everlenk
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa! hizo ndo zile siasa nilizoziongelea ktk point no. 5.

Mungu mjuzi wa vitu vyote hawezi kuongea pumba zile ubaya zaidi ni kwamba mnatetea tuuuuuuu. Ok.
Mashaxizo kwa kweli umeonyesha kiwango cha juu mno cha upumbavu ( siktukani Kama hujitamvui pole) kwa kuwa unaamini Mungu hayupo nimekusamehe kwa kuwa ni matokeo ya upumbavu.
Kinyume chake ni kwamba Mimi ninayeamini Mungu aliumba viti vyote vilivyopo na yeye ndiye mwekaji wa vile muviitavyo cosmic na physical constants tena kwa kunena tu. Sioni cha ajabu jua kuonekana limesimama tuli hata Joshua amalize kile alichomwomba Mungu amtendee.
Upumbavu mwingine ni pale ambapo umejifanya hujui habari ya sunset na sunrise au hujaona maandiahi husika.
Jikague na ujiedit Kama uko sawa kabla hujajibu na kujianika zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Mashaxizo
Contradiction inaonekana na Lazy thinkers tu, critical thinker hawezi ona kile kinachoonwa na lazy thinker Kama contradiction simply ni kwamba critical thinker anasoma kwa kuangalia context na sio pretext sawa na lazy thinker Kama wewe

Matthew 5:17-18New International Version (NIV)


17 “Do not think that I have come to abolish the Law or the Prophets; I have not come to abolish them but to fulfill them. 18 For truly I tell you, until heaven and earth disappear, not the smallest letter, not the least stroke of a pen, will by any means disappear from the Law until everything is accomplished.
Nimekuwekea hadi mstari wa 18 ili nawe ujifunze kusoma sawa na critical thinkers.
Yesu anaposema ;
...until everything is accomplished
Kwa lazy thinker unaelewa nini ?
Je haikuwa kwamba everything had been accomplished ?
Kukuibia elimu kidogo, kufa kwa Yesu Kristo ilikuwa ni accomplishment, kufufuka ikawa ni new era.
Kufufuka kwake ilikuwa ni kutangaza Agano jipya.
Wake up man

At times unajidhalilisha wakati mwenyewe waona umeweka nondo kwa kuwa ni lazy thinker.
 
Last edited by a moderator:
Njia za Mungu hazihojiki, haziuliziki, hazielezeki, ....unless uwe na siri ya Msimbo. Paul wa Kwenye Biblia katika moja ya barua zake alisema Mungu ni upuuzi kwa binadamu wenye busara. Hakuna maelezo nitakayokupa yatakayojitosheleza.
Huyo jamaa anaakili nyingi sana. Sijui kwanini waimini hamtaki kukubaliana na magenius!!! mnapenda kudanganywa danganywa.
Unajikontradict ndugu. Let me ask you once again. Kwanini Mungu mpenda watu wote ajidhihirishe kwa watu wachache?
Hahahahahaaaaa! Mkuu unajikontradict sana! Ntuzu umesoma hapo underline?
Mkuu ikiwa ulitrace post zangu humu hata tusingezozana! Coz huo ndo msimamo wangu thus why hata ktk kichwa cha habari ya thiredi hii kinasomeka 'A God CAN BE....' Najua kuandika Mungu hayupo but sikuandika hivyo! naomba utafakari hilo mkuu. Mungu ninaemuamini ni kama alivyoeleza Asprin = hawezi kuwa na pirika za kuandika matabu coz si muandishi.
Mungu anatuvuta kwake, kwa njia zake na kila mmoja kwa wakati wake; kazi yetu sisi ni kumsikiliza na kumfuata. Mengine yote unayoyaona ni ubinadamu tu na vurugu zetu.

Hapa unaendelea kujizonga mkuu!!!!
 
Last edited by a moderator:

Hahahahaaaaa! kijana it seems umeshapewa sumu za kutosha! Pole sana.

Pumzi mapigo ya moyo ni spirit or i can say your subconscious mind yako ndio inawezesha yote hayo.

So kabla ya kuuliza subconscious mind or spirit/roho inatoka wapi andaa jibu huyo Mungu wako katokea wapi.
 
Ndiyo maana nawaambiaga kuwa kusema hakuna mungu nayo ni Imani pia kama Imani zengine.

What is this Mkuu?
Hivi umeisoma vizuri post ya mdau uliemjibu hivyo?

Hata kama uliemjibu hivyo anastahili uko wrong sana mkuu. Always we proof something which exist.
 

Mkuu hata usijali you can call me any name that you wish to call me. iknow thats your habit to call somebody fool because he reject what you believe. nakumbuka hata Annael amekuambia hilo. So be free im not care at all coz i know as well as I see!

Unaposema Nasema or Naamini Mungu hayupo hunitendei haki mkuu!!!! nimesema Mungu anaweza kuepo kwa maana ya Super natural power but si huyu wa Quran na biblia. sijui kwanini hutaki kukubali hapo wakati wewe ni mmoja kati ya wachache walioona post zangu humu!!!!
 
Last edited by a moderator:
What is this Mkuu?
Hivi umeisoma vizuri post ya mdau uliemjibu hivyo?

Hata kama uliemjibu hivyo anastahili uko wrong sana mkuu. Always we proof something which exist.

Sijakuelewa mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…