A God can be a mere theory, nothing more

Naona hatimaye mnafarakana wenyewe!,poleni sana ndugu na karibuni katika ulimwengu huru!

Mshauri mwenzio maana na wewe umetokana hukohuko,na yeye amekubali kuwa atheists wengi hutoka kwn ukristo. Tena ingekuwa vizuri kama ungekubali kumueleza mwenzio ni kipi kilichokufanya uone haupo sahihi ulipokuwa mkristo japo najua hamtaki kulisema hili jambo.
 
sasa ni nani asiyejua kama dini zipo siku nyingi ingawa zingine ni za juzi juzi?ina maana wewe ndio hicho hicho unachokijua kuhusu dini?

Inamaana na wewe ulichokieleza kuhusu dini ndiyo hicho hicho?
 
uelewa wako wa hizi dini unanipa mashaka makubwa,haya ndio matatizo ya kurithi dini bila kujua chochote kuhusiana na hizo dini matokeo yake ndio haya....

Nilijua lazima utakuja na maelezo kama hayo...maana wewe ndiyo umekuja kusema hizi dini ni utumwa, nikakwambia dini zipo kila mahali na hazijaanza jana wala juzi. Sasa unapokuja kuniuliza mie kama hicho hicho ndicho nachojua kuhusu dini unategemea nikujibu vp swali kama hilo?
 
Unaona sasa tatizo la kujadili mada bila ushahidi? Nakwambia mtume alivunja masanamu yote we unasema mtume aliabudu sanamu.

Mbona unachepusha maandishi yangu ? Wapi nimeandika mtume wenu aliabudu sanamu ?
Mtume wenu alimkarabati Allah aliyekuwa anaabudiwa na Makuraish na kumfanya ndiye mnaye Mwabudu nyini, huku mahala pa ibada na namna ya kuabudu mkirithishwa.
Kila andishi langu unalipotoa ili kukwepesha mjadala.
Nasisitiza wakati wa makuraish, Makkah kulikuwa na Wakristo na Wayahudi walimwabudu Yhwh na Makuraish wakiendelea kuabudu miungu yao, alichofanya Muhammad ni kukarabati miungu ya Makuraish na kutumia mungu wa makuraish (Allah) katika Dini yake mpya (Islam)
 

Unakataa maneno yako sasa?

Haya tumalize ubishi mkuu,naomba uniambie Mtume muhammad alipokuwa akiwalingania watu kwa siri hapo mwanzoni kabla uislamu haujawa na nguvu, alikuwa akiwalingania jambo lipi hapo makka ambayo ibada yao ilikuwa ni kuabudu hayo masanamu?
 

sasa unataka kusema kwamba uislamu au ukristo ulikuwepo Afrika kabla hawajaja Waarabu au Wazungu?labda tuanzie hapo kwanza
 

Achana na hayo ya Muhammad kuwalingania nini ? Issue ni kuwalingania kuhusu Allah. Hivyo ilikuwa ni kuabudu Allah yule yule kwa mtindo mpya
 
Achana na hayo ya Muhammad kuwalingania nini ? Issue ni kuwalingania kuhusu Allah. Hivyo ilikuwa ni kuabudu Allah yule yule kwa mtindo mpya

Tatizo umeanza tu na suala la makka kuabudu masanamu ila haujaeleza ni vp hayo hiyo ibada ya masanamu ilianza vp wala hujaeleza historia ya dini za waarabu,hivyo swali langu unapaswa kujibu kuwa mtume alikuwa akiwalingania nini tena kwa siri? Maana mtume alikuwa akiwalingania watu kuacha kuabudu masanamu maana ndiyo ilikuwa ibada ya kuabudu masanamu,na ndiyo maana mwanzoni alianza kulingania kwa siri hadi baadaye ndipo alipoanza kulingania kwa uwazi. Sasa unapokuja na kusema mtume alikarabati sanamu ndiyo napokuuliza sasa alikuwa akilingania nini wakati wote huo?
 
sasa unataka kusema kwamba uislamu au ukristo ulikuwepo Afrika kabla hawajaja Waarabu au Wazungu?labda tuanzie hapo kwanza

Suala si nani kaleta dini afrika dini zimepelekwa na zipo kila mahali,we eleza huo utumwa wa dini ni upi?
 
Suala si nani kaleta dini afrika dini zimepelekwa na zipo kila mahali,we eleza huo utumwa wa dini ni upi?

unaogopa kujibu hilo swali kwani unajua fika kuwa hapo ndipo utumwa ulipoanzia,physical and mental slavery ambayo mmeachiwa mpaka leo.
 

Unabadiri hoja kwa kuingiza habari ya ibada ya sanamu. Nimekwambia Allah waliyekuwa wanamwabudu Makuraish aliwekewa wasaidizi zaidi ya 360 naabinti watatu. Hakukuwa na sanamu ya Allah Bali wasaidizi.
Wewe ndiwe eleza alikuwa anawalinfania nini ?
 
Mkuu FATHER OF REALITY unatoa maelezo mengi sana yenye michanganyiko ya hoja tofauti. hii inapelekea ugumu wa kujadili ukizingatia kila point inaweza kuibua maswali.

Ningependa hata ukitoa maelezo mengi basi iwe ni kwa point moja ili tuweze kumaliza issue kwa haraka na ile hali ya kujirudia isitokee.

Labda tuanze na issue ya Mungu huyu wa vitabu. Kwanini vitabu vinaerror nyingi sana? Na kwanini waumini wa kitabu hicho wanatumia siasa ili ionekane kitabu chao kiko sahihi na kumaanisha Mungu hakuwa na maana kama inavyosomeka kwenye kitabu hicho? Basic ya swali langu ni kwamba kwenye ukiristo ni hivyo hivyo na uislamu ni hivyo hivyo? Itawezekana vipi hao wawili wote wawe sahihi?
 
Last edited by a moderator:

Duh. basi kweli Allah ni Mungu. Ok nijibu yale maswali yangu sasa.
 

Ulishawahi kuota ndoto!
 

Unataka kusema,kila unachofanya unafanya kwa kujipendea wewe sio?
Jibu nikuswaalike!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…