FATHER OF REALITY
Senior Member
- Nov 3, 2014
- 123
- 100
Mkuu nafurahishwa unaposema umefanya tafiti, ila usisahahau hata mende kule chooni anakoishi alifanya tafiti na kwa vipimo vyake aliridhika na kuona ni mahali poa pa kuishi.
Hoja zako ni za kizamani, wazungu waliwekeanaga hizo miaka ya 1300, mfano hoja ya soul and human nk. hata nyingine zilifanyiwa majaribio. Ukiona mwanasayansi anang'ang'ana sana na kukana uwepo wa mungu ujue huyu ni outdated scientist, kwa sababu hayo malumbano yalikufa baada ya wanasayansi kukubali kuwa there power working beyond nature ( invisble power). hii ilitokana na ishu zilizotokea kama vile za mama mmoja aliyedai kubakwa na mtu ambaye hakuna aliyeweza kumuona, na baadaye kuwekwa chini ya ulinzi na maafisa wa polisi, wanasaikolojia, madaktari na wanasayansi wengine, akalazwa sehemu ya wazi na ulipofika muda yule mama akapiga kelele za kuingililiwa huku washuhudiaji wakiona kana kwamba anapambana na kitu ila hawakioni na baadaye kupanua miguu kulia lia na kuacha baada ya muda, walpoenda aliponyamaza wakakuta kuna mbegu, madaktari wakachukua na kupima wakaona ni mbegu za kiume, huo si ushuhuda wa wanadini ni wanasayansi, wanadini wakaelezea kirahisi tuu kwamba kuna ulimwengu wa roho wenye kuchukua maumbo mbalimbali, huko kuna wa Mungu na wa shetani, hiyo ni miaka ya 1980 na ushee. ok. Na matukio mengine mengi tuu
MUHIMU; mimi mesoma kozi ambazo zinakataa kabisa uwepo wa Mungu, lakini kila niliposoma na kufananisha facts nikakubali kwamba dini zina branders nyingi sana ila uwepo wa Mungu hauepukiki hata kama vitabu havijandika kwa usahihi au kikamilifu kabisa kuhusu MUNGU, ni kweli katika dini kuna tamaduni nyingi tuu, ila haiondoi juu ya uwepo wa Mungu, mimi kozi yangu jambo la kwanza kabisa ni kukataa uwepo wa Mungu, ila ndo mekuwa na imani kupitiliza.
Mawazo unayotumia kuchalenji uwepo wa Mungu, yanafunua mawazo mapana uliyonayo kwa upande mmoja na pia yanafunua uchanga katika baadhi ya hoja ulizoweka hapo juu. Binafsi meona kuna maswali ambayo ni very challenging na hayajibiwi na brabra, mfano, sawli juu ya Mungu kupanga kila kitu, ni swali ambalo halihitaji mtu akurupuke kujibu, kweli ni swali tata. Mkuu complex matters should be dealt with complex minds, and I think in one or another you've tried, still I remind you that, the way we count ourselves to be complex, is the same as the white-ants count themselves to be more complex only because they are capable of building the ant-hills.
Understanding of a person in the invisible matters is very limited as well as the understanding of a mosquitoes to the things done by humans. Kwa mafano leo hata MBU wangepewa akili za kuelewa vitu, wasingefaulu kuelewa sawasawa habari na shughuli za mwanadamu kama zilivo, hii ingetokana na vitu kama vile;
Hoja zako ni za kizamani, wazungu waliwekeanaga hizo miaka ya 1300, mfano hoja ya soul and human nk. hata nyingine zilifanyiwa majaribio. Ukiona mwanasayansi anang'ang'ana sana na kukana uwepo wa mungu ujue huyu ni outdated scientist, kwa sababu hayo malumbano yalikufa baada ya wanasayansi kukubali kuwa there power working beyond nature ( invisble power). hii ilitokana na ishu zilizotokea kama vile za mama mmoja aliyedai kubakwa na mtu ambaye hakuna aliyeweza kumuona, na baadaye kuwekwa chini ya ulinzi na maafisa wa polisi, wanasaikolojia, madaktari na wanasayansi wengine, akalazwa sehemu ya wazi na ulipofika muda yule mama akapiga kelele za kuingililiwa huku washuhudiaji wakiona kana kwamba anapambana na kitu ila hawakioni na baadaye kupanua miguu kulia lia na kuacha baada ya muda, walpoenda aliponyamaza wakakuta kuna mbegu, madaktari wakachukua na kupima wakaona ni mbegu za kiume, huo si ushuhuda wa wanadini ni wanasayansi, wanadini wakaelezea kirahisi tuu kwamba kuna ulimwengu wa roho wenye kuchukua maumbo mbalimbali, huko kuna wa Mungu na wa shetani, hiyo ni miaka ya 1980 na ushee. ok. Na matukio mengine mengi tuu
MUHIMU; mimi mesoma kozi ambazo zinakataa kabisa uwepo wa Mungu, lakini kila niliposoma na kufananisha facts nikakubali kwamba dini zina branders nyingi sana ila uwepo wa Mungu hauepukiki hata kama vitabu havijandika kwa usahihi au kikamilifu kabisa kuhusu MUNGU, ni kweli katika dini kuna tamaduni nyingi tuu, ila haiondoi juu ya uwepo wa Mungu, mimi kozi yangu jambo la kwanza kabisa ni kukataa uwepo wa Mungu, ila ndo mekuwa na imani kupitiliza.
Mawazo unayotumia kuchalenji uwepo wa Mungu, yanafunua mawazo mapana uliyonayo kwa upande mmoja na pia yanafunua uchanga katika baadhi ya hoja ulizoweka hapo juu. Binafsi meona kuna maswali ambayo ni very challenging na hayajibiwi na brabra, mfano, sawli juu ya Mungu kupanga kila kitu, ni swali ambalo halihitaji mtu akurupuke kujibu, kweli ni swali tata. Mkuu complex matters should be dealt with complex minds, and I think in one or another you've tried, still I remind you that, the way we count ourselves to be complex, is the same as the white-ants count themselves to be more complex only because they are capable of building the ant-hills.
- Umejenga mawazo ya kupinga dini, afu unasema watu huweza kupata ule uwezo kwa kusali...vip?
- Mimi nakubali kuwa kuna mambo yanayoonyesha kuchanganya katika vitabu vya dini na huenda binadamu katia utundu sana, ila hilo haliondoi uwepo wa Mungu. Mfano sisa ni chanzo cha migogoro mingi na maafa yasababishawayo na binadamu, hilo pia halifuti ukweli kwamba siasa ni kichocheo cha maendeleo.
- Mkuu usidharau yaliyoandikwa vitabuni yote kwa ujmla wake, mi mepokea changamoto yako ya vitabuni,nawe pokea ya kwangu. mkuu kitabu kama biblia kimeandikwa miaka 560 kabla ya Kristo, na moja ya maandiko yake ambayo ni kama mepesi sana kinasema, Adamu aliumbwa kwanza afu Hawa akatolewa toka kwa Adamu; miaka zaidi ya 2000 baadaye yaani 1800 na ushee, hiyo sayansi unayoiamini ikaja na jambo jipya lilifanyiwa tafiti na kuhakikiwa, juu ya vinasaba, (genes-by Gregory Mendel), ikaonekana mbegu ya mwanume inakuwa na jinsia mbili zaq kusabibisha uhai kwa kiumbe kipya yaani XY na yai la mwanamke lina XX, ambapo X toka kwa mwanume ikiungana na X toka kwa yai la mwanamke tunapata mtoto wa kike na Y toka mwanaume ikiungana na X toka yai la mwanamke anazaliwa mwanaume. Huoni kwamba wazo la biblia ni sahihi sna maana katika mbegu za mwanaume kuna ukike, yaani ndani ya adamu kuna ukamilifu wa mwanadamu?
- Kuna theory inayojaribu kutafuta asli ya binamu pamoja na evelution n.k, yenyewe imejikita kuangalia kama wote tulizaliwa tokea kwa mama mmoja, inaitwa eve hypothesis, hii ilipelekea kufanyika kwa utafiti wa kisayansi wakipima mitochondria DNA, ambayo hiyo hurithishwa kwa mtoto toka kwa mama tuu maana baba haitoi kwend kwa mtoto, utafiti ulifanyika kwa kuchukua makundi ya watu maelfu kwa maelfu kwa minajiri ya maikinga kinga haya n.k watu toka amerika, ulaya, australia, asia na afrika, na walizingatia jamii kama wachina waarabu wahindi, wazungu wa aina mbali mbali yaani wekundu sana weupe sana macho ya brown, blue na white na waafrika aina mbalimbali pia, ule utafiti ulibaini kwamba wote tuna mitochodria DNA tuliyonayo ina asili ya mwanmke mmoja mweusi kwa rangi maana walipima vinasaba vya rangi ya ngozi mifupani mwao. WEWE UTEGEMEAYE SAYANSI HUONI KUWA HILO LINARUDIA YA KWAMBA SISI NI WATOTO WA MWANMKE ATWAYE HWA, YAANI MAMA WA WOTE WENYE MWILI. Biblia ilandika hayo miaka ya 560 kk, utafiti ni 1959.
- Afu mkuu vitabu vinasema binadamu aliumbwa akawa umbo safi kisha akapuliziwa pumzi, ni siku ya binadamu huyu kufa, tunaona ile ile pumzi ya kwenye vitabu ndio inayotoewka, vipi hapo?
- vitabu vinasema, "SIKU MOJA BINAMU ATAKUFA", MBONA IMEONEKANA WOTE TU WANYONGE JUU YA HILI NA KIFO NI SYSTEM INGAWA HATUPENDI. Ingekuwa ni nature tuu tungetokea watu wa asili mbalimbali yaani wengine wangefikwa na umauti wengine wasingefikwa, yaani ukiona hutaki jambo na unatendeshwa, basi ujue akutendeshaye ni mtawala wako, kumbuka mtumwa na bwana wake enzi hizo au wewe na serikali, kwani wewe uliwahi kuiona serikali sehemu yoyote, maana waziri mkuu husema serikali imeamua, rais serikali itatenda, mbunge ni jambo la serikali, kiongozi kafungwa jela na chombo cha serikali, swali, serikali ipo au hamna?
- Afu mkuu sehemu uliyoonyesha uchanga, kudai dini na biblia vimeletwa na wazungu, hapana, wazungu wamepokea dini toka mashariki ya kati, na walipinga kwa upanga na kwa hoja kuliko wewe, wakijiweka chini yake, wakapata siri nyingi za jinsi ya kuitawala dunia kwa kutumia vilivyomo, baada ya kufaidika nayo wameona leo hii wewe nawe utajua kuwa ni sawa na wao basi wanakuandikia vitabu vya kuipinga nawe unapokea kana kwamba wao ni miungu, wao wakizidiwa na jambo utawasikia my God, na huku wakisari mpaka kesho,wew huku wankwambia udharau ili usikutane na nguvu za Mungu. waulize wasayansi kama kekule n.k
Understanding of a person in the invisible matters is very limited as well as the understanding of a mosquitoes to the things done by humans. Kwa mafano leo hata MBU wangepewa akili za kuelewa vitu, wasingefaulu kuelewa sawasawa habari na shughuli za mwanadamu kama zilivo, hii ingetokana na vitu kama vile;
- Udogo wa umbo lake,
Yaani yeye maisha yake yaweza hata kufanyika kwenye kofia ya binadamu, hivi huyu asingekuwa na uwezo wa kumjua binadamu na vitu vyake kama tujuavyo sisi, kwa sababu hiyo, tungetofautiana katika tafsiri ya mlazi, yaani kwetu kama vile nyumba n.k, yeye mbu angetoa tafsiri ambayo kwetu sisi ingekuwa na vichekesho sana, maana malazi yake yangeweza kufanyika hata katika soksi yako.
- Urefu wa maisha yake (life span)
- Shughuli zake,
- Mbu hajui kuwa pango asemalola asili ni kiatu alichoteneza binadamu, mbu huweza hata kuvuka mipaka kwa kutangaza kuwa huyo binadamu si lolote maana sasa mbu wamepata maendeleo, ya kuweza jificha kwenye mahandaki, wasijue kuwa kumbe wameingia kwenye sikio la binadamu, maskini mbu hawajui binadamu huyu akienda kuonga ni sunami na wanafagiwa wote, afu hawajui kuwa wakimwudhi binadamui watangamizwa kabisa kwa sumu n.k.
- Lakini kule katika jamii yao huenda mbu wana mikutano yao na namna ya kuongazana na kufanya mambo yao kikamilifu, afu kutokana na mbu kujuana vyema juu ya mbo yao yanayoendelea kila siku katika jamii yao, wana wakati wa neema na wakati wa taabu, hivo a binadamu napopulizia dawa kama Rungu n.k, wao huomboleza vifo na kusema huyo tunaedai kuwa mwanadamu hana lolote ni kwa nini asingeingilia maafa yetu, au la hayupo kabisa ni hadidhi hadithi tu za uzushi. Masikini, mbu hawa hawajajiuliza huo uchungu wa kifo chao binadamu anaguswa kwa kiasi gani, na je mbu wote wakiamua kutoambatana na binadamu na pia wasiaamini kama binadmu anaishi je inamwasili nini binadamu. Ila binadamu anatoa ridhiki kubwa tu kwa mbu, kuanzia vitu atumiavyo, mwili wake yeye n.k
- Mbu hamjui binadamu jinsi alivyo,
- Hilo ndo jambo lilifanya Mungu ajitambulishe kwa watu kutokana na uelewa wetu, yaani leo hii ukienda kumfundisha uchumi sisimizi inabidi ulenge shughuli zake ili ujumbe ufike, usije ukaanza kumwambia '' ooh! unajua mimi nilipopata masters ya business administration" na brabra hawataelewa kwa sababu kila kitu kinahitaji difinition ni kigeni kabisa kwao.
- Akili ya binadamu yafanya kazi kwa uzoefu wa matukio aliyoyapata kwa kupitia milango mitanmo ya fahamu,
Hivyo ni rahisi sana kuelewa vile tuu vilivyo ndani ya akili na upeo wake tuu. Kwa mfano, binadamu wa miaka ya 1200 iliyopita hata ungekuwa na uwezo wa namna gani usingeweza kumwelezea akaelewa juu ya teknolojia kama ya simu ya wire, na hii ya mkononi au tv n.k, na lolote amb alo ungemweleza angebisha sana sana kwa sababu asingeweza kuelewa yale ambayo wewe unamweleza hata kama ni ukweli kwa kua hana upeo nayo na hayaingii akilini maana akili hujifunza yale tu yafafanayo na kilichomo kichwani mwake.
- Hebu chukulia jamii moja ya viumbe itokee duniani na kudai haya maghorofa, nyumba hizi magari simu ni kazi ya nature,
Watakuwa na jambo moja la kujiuliza kama wana akili, hivi hii nature imeweka mlango wa kuingilia na kutokea, garini, bomba la moshi, krachi, breki, kiti cxha dereva na sponchi la kuegemea n.k, hivi hii nature mbona ni so systematic, hebu chukua hilo na la binadamu.
- Umbile la binadamu;
Binadamu alivyoumbika tuu, ni ushahidi tosha kwamba kuna kitu chenye uelewa na plani kabisa maana kimepanga kila kiungo kwa binadamu kuwa na kazi yake, tazama, matako kwa kukalia yametiwa sponchi, mgongo for upright, pua, viungo vya uzazi linafanyika jambo afu maendeleo yanatokea kisha mtoto attokea pale kwenye ule upenyo n.k, wanyama pia. Sasa tunachofanya wanadamu ni kama vile magari yapewe pumzi afu yadai yenewe ni kazi ya nature bila kujiangalia jinsi yalivyo kimaumbile yaani yanamfaa binadamu
- Kumbuka expire date ya vitu;
​Binadamu hutengeneza kitu afu akaweka siku ya kuisha ubora afu pia huelekeza jinsi ya kutunza ubora huo, ukikosea basi huaribika kabla, sasa hatulioni la Mungu na binadamu, yeye katuumba na katuelekeza jinsi ya kuishi na kwamba one day tuta expire na ataamua kutufanya kitu kingine, sisi tunabisha, yaani ni sawa na tomato inayobisha kuexpire kwake afu inasema kwa aliyeitengeneza huwezi kunibadili kunifanya bidhaa nyingine kama vile mbolea n.k ha ha ha ha ha !!! binadamu duuu!
MKUU HOJA ZAKO NI NYINGI NA LAZIMA ZIJIBIWE KIKAMILIFU, MMIMI NAISHIA HAPA. TAFAKARI NAMI NATAFAKARI ZA KWAKO.
MKUU HOJA ZAKO NI NYINGI NA LAZIMA ZIJIBIWE KIKAMILIFU, MMIMI NAISHIA HAPA. TAFAKARI NAMI NATAFAKARI ZA KWAKO.