A God can be a mere theory, nothing more

A God can be a mere theory, nothing more

Dah! Afadhali nawe umeliona hilo. Huyu Mkwesa mtu yeyote mwenye mawazo tofauti na yeye, kwake ni mpuu.zi tu.

Usichoelewa na ndilo tatizo lako na Atheist wenzako ni kujismini kuwa ninyi ndiye wenye hati miliki ya critical thinking na kufikiri kuwa wanaoamini Mungu ni watu wasio fikiri.
Hoja zenu xinathibitisha kinyume na majigambo yenu zaidi Sana zinawakilisha ulimbukeni wa kiwango cha juu mno.
Mkekuwa mnauliza maswali ili mjibiwe kwa maana ya kuuliza kweli na si kukejeli mgepata mjadala wa maana. Lakini mkileta ulimbukeni mtajibiwa inavyotakiwa.
Biblia imetoa meongozo;
Mithali 26:4-5
Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye.

5 Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.

Japo wapumbavu wanaona contradiction hapo.
 
Dah! Afadhali nawe umeliona hilo. Huyu Mkwesa mtu yeyote mwenye mawazo tofauti na yeye, kwake ni mpuu.zi tu.


Hana lolote huyo mpuuzi tu mmoja linajifanya linajua lkn ni pumbafu moja tu tena halina akili. We angalia michango Yake yote linaongea ujinga ujinga. Mafuasi ya makanisa ya kiroho ni shida sn! Misukule inayoburuzwa na mapambio na sebene za kikongo!
 
Vradimil nakuhakikishia sina Shaka na ninachokiamini. Ukijitia ujuzi wakati ukweli umekaririshwa yasiyo kweli lazima utaona nina lugha chafu...
Ukicheka na ngendere utavuna mabua... Huo msemo Una maana Sana. Mimi sitaki kuvuna mabua na mabua yenyewe ni mafundisho potofu na hoja mfu mnazoziweka dhidi ya Ukristo.
Mimi sina shida na Uislam isipokuwa Muislam akijipa ujuxi wa Ukristo ambao hamuujui anyway.

Hana lolote huyo mpuuzi tu mmoja linajifanya linajua lkn ni pumbafu moja tu tena halina akili. We angalia michango Yake yote linaongea ujinga ujinga. Mafuasi ya makanisa ya kiroho ni shida sn! Misukule inayoburuzwa na mapambio na sebene za kikongo!

Message well decoded...
 
Last edited by a moderator:
Huo ndiyo mchezo wa wasomi wa kiislam kujifanya hawaelewi akihojiwa Allah au Muhammad.huna jipya

Mi nashindwa hata kukuelewa mkuu,we umetowa kidokezo halafu ndiyo unasema umetoa historia!! Ni sawa na mie niseme kuwa Paulo alipoenda kwa watu wa mataifa(ambao walikuwa wakiwaita watu Miungu) ndipo aliporudi na idea ya kuwa Yesu ni Mungu. Hivyo hiyo nayo ndiyo itaitwa historia tena bila ushahidi wa kuthibitisha hayo niliyoyasema?

Nimekupa nafasi ueleze kwa vizuri na kutowa ushahidi wa historia yako, sasa sijui ni nini unachotaka zaidi.
 
Nkwesa Makambo na Tz mbongo, naona mnabishana kiimani rather than fact. kila mmoja wenu anajiona yuko sahihi kuliko mwengine na hoja hizo hizo za kiimani. Iknow kuna thinkers waukweli ktk uislamu na ukiriato pia (hapo simanishi ninyi hamuezi kufikiria sawa) ila naona naona Mkwesa akisema uislamu sio reasonable religion na hauruhusu mambo ya kufikiri. kitu ambacho sio kweli. mimi kama mimi nimepata nguvu ya kuhoji kutokana na agizo la dini kwamba "uislamu ni dini ya kweli coz kila kitu kimefunguliwa kwa sababu" sikusita kuhoji ukizingatia na mada tofauti nnazosoma ndio nimejikuta kuangukia kutoamini dini yeyote. Nkwesa huwezi kusema mimi siujui ukiristo. naweza kuujua ukiristo kuliko unavyoujua wewe, ulipoambiwa atheist wengi hutoka ukiristo hilo ni kweli na ni fact ya ukweli. na hapa nnapoongea im not Muslim, nakumbuka nilikuambia ikiwa nitarudi na kumuamini Mungu wa vitabu basi nitakua Muslim! hapo haimanishi nitafamya hivyo coz nimetokea huko. Nachopinga hapa ni wewe kusema uislamu unamfunga mtu kufikiri. but naamini huujui uislamu. umekarishwa tu udhaifu wake. islamic perspective on education inataka watu wasome, wasome sana, wasome kila sehem hata china. ktk uislamu kunaruhusa ya kusoma elimu zote, namanisha zote hata uchawi. kilichokatazwa ni kutumia vibaya elimu hiyo. but mtu akitumia elimu mbaya kuokoa maisha ya watu hata haijakatazwa. najua umeshavimba hapo nakuniona natetea uislamu na kuubeza ukiristo. hapana. hata ukiristo uko poa kwenye mambo ya elimu, especially elimu ya roho. nakumbuka hapa ulijiambia Quran imeandikwa na mtu mmoja so siwezi ifananisha na biblia iliyoandikwa na msururu wa watu. nilikuelewa vizuri sana.

Nnachokipinga kwa nyote ni kwamba mnasema hayo ni matabu ya Mungu. ni kweli kabisa humo mnamafunzo mengi ya kweli na ya kimoral, kilichonitoa huko ni mchanyiko wa unreasonable teachings, uongo na contradiction.

Hapa ningependa mjifunze juu ya allegation hizo kwa kuangalia tu wote kati yenu mtapinga hili. but nikiweka proof against islam Mkwesa utadhani proof zangu ni za kweli na zenye mashiko. but wakati huo huo nikiweka proof against christian Tz Mbongo ataniona niko sahihi.

Jee mtajiuliza ni nini kinafanya muwe hivyo? Simple ni kwamba nyote mnatumia imani rather than fact.

Na pia ningependa mjifunze na hili. hoja yoyote nitakayoweka dhidi ya uislamu, Tz mbongo atanijibu na Muslim yeyote atakubaliana naye. also nikiweka hoja dhidi ya ukiristo, Mkwesa utajibu na mkiristo yeyote akisoma atakuona uko sahihi? Je mnajua ningependa mjifunze nini hapo? Simple. hizi dini zinatumia siasa kuficha udhaifu wake ili ikubalike.

Nadhani tunaelewana hapo.
Nb: Sitojibu hoja yoyote ya kutetea imani yeyote kati ya hizo mbili. i know Mkwesa unapenda ubishi but naomba uzingatia hiyo NB.

Kwa kifupi tu nikuulize kwamba unaamini kuwa Qur'an ni maneno ya mtu tu na si maneno ya Mungu kama inavyojulikana na waislamu?
 
Last edited by a moderator:
Mungu mwingine anasema jifunge mabomu uue wasio na hatia uende mbinguni aliko. Huyo mungu jamani

Kweli hiyo? Nakumbuka Musa naye kwn biblia alipewa amri ya kuuwa hadi watoto,inaelekea naye alikuwa anataka kwenda mbinguni.
 
Mi nashindwa hata kukuelewa mkuu,we umetowa kidokezo halafu ndiyo unasema umetoa historia!! Ni sawa na mie niseme kuwa Paulo alipoenda kwa watu wa mataifa(ambao walikuwa wakiwaita watu Miungu) ndipo aliporudi na idea ya kuwa Yesu ni Mungu. Hivyo hiyo nayo ndiyo itaitwa historia tena bila ushahidi wa kuthibitisha hayo niliyoyasema?

Nimekupa nafasi ueleze kwa vizuri na kutowa ushahidi wa historia yako, sasa sijui ni nini unachotaka zaidi.

Nimeweka historia na evolution ya Islamic Allah. Short and clear
Nimeandika Makuraish kabla ya Uislam walikuwa wanaabudu kwenye madhabahu iitwao Kaabah iliyiko Makkah.
Ndani ya Kaabah ambapo ndipo Allah yalikuwa makazi yake na wasaidizi wake wapatao 360 wakiwepo pia mabinti zake watatu ndipo ilipokuwa sehemu takatifu ya Makuraish kabla ya Uislam
Muhammad alipokuja na alipoanzisha Uislam alikopi namba ya Ibada ya makuraish kwa kiasi kikubwa na kuongeza namna mpya pia, aliwaondoa wasaidizi wa Allah pamoja na mabinti zake akabaki na Allah pekee asiye msaidizi wala means an ndiye Allah unayemwabudu wewe
Unataka iwe kurasa ngapi ndipo uelewe ?

Ama kuhusu mtume Paulo nimekuruhusu andika chochote ulichokaririshwa nitakijibu.
Yesu Kristo kuitwa Mungu alianza mwenyewe Paulo mnamsingizia kwa kuwa ukweli wake unawachoma.
 
Mashaxizo sijui Kama uislam wako ni UPI ambao unaruhusu kufikiri, uislam ninaousema kwamba unakataza kufukiri ni ule ambao unatoa hukumu ya kifo kwa anayeacha dini... Japo nasikia kuna uislam ambao hakuna kulazimishana kwenye dini.
Wewe na Mimi Tu mashahidi wa BINTI aliyenusurika kifo hivi karibuni kwa kuukana Uislam.
Sasa Mimi siwakatazi ninyi na uislam wenu ambao unaruhusu kuhoji.
Kwangu dini au imani yoyote inayokataza Uhuru wa kufikiri na kutoa maoni kwa mafundisho ambayo mnasema ni divine kwangu ni unreasonable na Uislam kwa kiasi kikubwa unaangukia humo.
Mimi naamini mzinifu anamkosea Mungu hanikosei Mimi ninachoweza kumfundisha Kama Mkristo ni mwenendo mwema, siwezi nyenyua jiwe kumuua. Hilo sio fundisho katika Uislam ambapo mzinifu mwanamke anauawa kwa kupigwa mawe. Sasa wewe usawa wa imani uno wapi kwenye jambo kubwa Kama hilo ?
Unapolinganisha linganisha mambo yanayohusu 3rd party na namna anavyohukumiwa kisheria za dini ndipo utajua ninaposema sio reasonable namaanisha nini

Wewe sio mjuzi hata wa Imani ya Kikristo nakumbuka uliandika similarities na differences za mafundisho kuhusu Yesu Kristo. Kwa akili na ujuzi wako ukaona mambo mengi ni sawa tofauti ukasema ni ndogo.
Nikakukmbusha ni MTU wa ajabu nayeamini tofauti kwenye msingi wa imani kuwa ni ndogo.
Yesu Kufa na kufufuka ndio msingi wa Imani ya Kikristo.
Waislam wanasema hakufa wala hakufufuka; tofauti hiyo kwako unaiona ndogo sasa ujuzi wako uko wapi ?

Kwa hilo nililokuonyesha ni uthibitisho tosha kwamba huujui Ukristo na Kama huamini huwezi kujifunza kamwe.
Mimi niliye Mkristo kwa imani kwamba Yesu Kristo alikufa na kufufuka. Kama hakufufuka Mimi siwezi kuwa Mkristo, muulize Mkristo yoyote kama kufa na kufufuka kwa Yesu kristo ni jambo Dogo.
Yesu Kristo kuwa Mungu au si Mungu Kama mnavyodai hakuathiri Ukristo wangu lakini kufa na kufufuka ndimo mwake.

Christian inaitwa faith with reason kwa sababu ya Historical Jesus wewe mbwembwe zako sio mpaya no mambo am bayo contemporary atheist hawahangaiki nayo kwa kuwa yanawashushia hadhi katika thinking arena.

Kwa taarifa yako nitakujibu chochote ulichonashaka nacho katika imani yangu ya Kikristo nawajibika kwa hilo. Natakiwa kujibu lolote kuhusu tumaini langu nami Niko tayari.

Hahahahahaaaaa! Kumbe ni she!!!

Ivi Nkwesa kule niliongelea utofauti na ufanano wa Yese na Issa or wa Uislamu na Ukiristo?
 
Last edited by a moderator:
Nimeweka historia na evolution ya Islamic Allah. Short and clear
Nimeandika Makuraish kabla ya Uislam walikuwa wanaabudu kwenye madhabahu iitwao Kaabah iliyiko Makkah.
Ndani ya Kaabah ambapo ndipo Allah yalikuwa makazi yake na wasaidizi wake wapatao 360 wakiwepo pia mabinti zake watatu ndipo ilipokuwa sehemu takatifu ya Makuraish kabla ya Uislam
Muhammad alipokuja na alipoanzisha Uislam alikopi namba ya Ibada ya makuraish kwa kiasi kikubwa na kuongeza namna mpya pia, aliwaondoa wasaidizi wa Allah pamoja na mabinti zake akabaki na Allah pekee asiye msaidizi wala means an ndiye Allah unayemwabudu wewe
Unataka iwe kurasa ngapi ndipo uelewe ?

Ama kuhusu mtume Paulo nimekuruhusu andika chochote ulichokaririshwa nitakijibu.
Yesu Kristo kuitwa Mungu alianza mwenyewe Paulo mnamsingizia kwa kuwa ukweli wake unawachoma.

Duh! Haya tuendele..sasa unathibitisha vp hayo uliyoyaeleza.
 
Kwa kifupi tu nikuulize kwamba unaamini kuwa Qur'an ni maneno ya mtu tu na si maneno ya Mungu kama inavyojulikana na waislamu?

Exactly. tofauti yake na biblia ni biblia ni kwamba imeandikwa na wengi thus why contadiction zake ni nyingi. (naomba unielewe vizuri ninaposema Qurani imeandikwa na mtu mmoja simanishi Muhammad alichukua peni na kuiandika mwenyewe but only maneno yake ndio yamo mle) Mungu hakushusha kile kitabu na ikiwa unapinga naomba unithibitishie kile kitabu kimeshushwa na Mungu na sio Muhammad.

Maneno ya Mungu hayawezi kuwa na uongo pia hayawezi kuwa unreasonable.

Quran kuruhusu ndoa kwa binti asievunja ungo na kuingiliwa ni zaidi ya ujuha (sorry kwa huo msamiati coz sikuona msamiati mbadala ambao ungenielewa hapo)

Then Mungu kusema aliumba ardhi na mbingu bila ya kusimamisha nguzo inaonesha Mungu haijui vizuri dunia. coz aliamini mbingu ni solid material yenye uzito kiasi kwamba bila ya nguvu zake mbingu isingesimama na ingedondoka.

Jee unaweza kunifafanulia mbingu ni nini according to Islam?
 
Nkwesa Makambo kwa uelewa wako biblia ni nini na ni maneno ya nani? Kwa misingi ipi?

Naomba twende kwa vifungu hapa sihitaji blaa blaa.
 
Last edited by a moderator:
Exactly. tofauti yake na biblia ni biblia ni kwamba imeandikwa na wengi thus why contadiction zake ni nyingi. (naomba unielewe vizuri ninaposema Qurani imeandikwa na mtu mmoja simanishi Muhammad alichukua peni na kuiandika mwenyewe but only maneno yake ndio yamo mle) Mungu hakushusha kile kitabu na ikiwa unapinga naomba unithibitishie kile kitabu kimeshushwa na Mungu na sio Muhammad.

Maneno ya Mungu hayawezi kuwa na uongo pia hayawezi kuwa unreasonable.

Quran kuruhusu ndoa kwa binti asievunja ungo na kuingiliwa ni zaidi ya ujuha (sorry kwa huo msamiati coz sikuona msamiati mbadala ambao ungenielewa hapo)

Then Mungu kusema aliumba ardhi na mbingu bila ya kusimamisha nguzo inaonesha Mungu haijui vizuri dunia. coz aliamini mbingu ni solid material yenye uzito kiasi kwamba bila ya nguvu zake mbingu isingesimama na ingedondoka.

Jee unaweza kunifafanulia mbingu ni nini according to Islam?

Mkuu lada tena nikuulize,yale mambo ya kisayansi yalielezwa kwn Qur'an na wanasayansi wamethibitisha hayo je,unaweza kuniambia kuwa Mtume muhammad alisomea wapi hiyo sayansi ktk zama zile tena akiwa hajui hata kusoma?


Nataka tuangalie kwanza dai la Qur'an kutungwa na binadamu.
 
Nimeweka historia na evolution ya Islamic Allah. Short and clear
Nimeandika Makuraish kabla ya Uislam walikuwa wanaabudu kwenye madhabahu iitwao Kaabah iliyiko Makkah.
Ndani ya Kaabah ambapo ndipo Allah yalikuwa makazi yake na wasaidizi wake wapatao 360 wakiwepo pia mabinti zake watatu ndipo ilipokuwa sehemu takatifu ya Makuraish kabla ya Uislam
Muhammad alipokuja na alipoanzisha Uislam alikopi namba ya Ibada ya makuraish kwa kiasi kikubwa na kuongeza namna mpya pia, aliwaondoa wasaidizi wa Allah pamoja na mabinti zake akabaki na Allah pekee asiye msaidizi wala means an ndiye Allah unayemwabudu wewe
Unataka iwe kurasa ngapi ndipo uelewe ?

Ama kuhusu mtume Paulo nimekuruhusu andika chochote ulichokaririshwa nitakijibu.
Yesu Kristo kuitwa Mungu alianza mwenyewe Paulo mnamsingizia kwa kuwa ukweli wake unawachoma.

Naona umeshindwa kuthibitisha..hapo makka watu walikuwa wakiabudu masanamu na ndiyo wakawa wameweka hao masanamu 360 ndani ya Al kaaba, Mtu alipofanikiwa kuuteka mji wa Makka akavuja hiyo misanamu.

Maelezo yako hayana uhalisia.
 
Hana lolote huyo mpuuzi tu mmoja linajifanya linajua lkn ni pumbafu moja tu tena halina akili. We angalia michango Yake yote linaongea ujinga ujinga. Mafuasi ya makanisa ya kiroho ni shida sn! Misukule inayoburuzwa na mapambio na sebene za kikongo!

Nkwesa Makambo means Nvuta Bangi....kavutishwa bangi ya ulokole huyu-na kalewa hasa pasi na kuelewa chochote,..anakwenda kwenda tu kama ling'ombe.

Ni miongoni mwa makondoo ya Gwajima huyo.
 
Anza wewe kuweka vifungu niige toka kwako. Ondoa hizi bla bla kwanza

Nimekuuliza biblia ni nini? maneno ya nani na kwa misingi ipi? umeshindwa kujibu. Sasa unataka mimi nifanyeje hapo. embu chukulia mimi sijui lolote kuhusu biblia sasa wewe unanipa somo. teh teh teh!!!
 
Mkuu lada tena nikuulize,yale mambo ya kisayansi yalielezwa kwn Qur'an na wanasayansi wamethibitisha hayo je,unaweza kuniambia kuwa Mtume muhammad alisomea wapi hiyo sayansi ktk zama zile tena akiwa hajui hata kusoma?


Nataka tuangalie kwanza dai la Qur'an kutungwa na binadamu.

Hahahahaaaaa! Tz mbongo uwe unajibu na maswali ninayokuuliza. usitemee mimi kujibu ya kwako tu.

Mambo ya kisayansi ktk quran kweli yapo. but sio kigezo kwamba kujua mambo hayo kabla huu ni uungu.

Aristotle aliongelea gravitation force toka karne ya 4 but wanascience wameproof hilo karne ya 18! achilia mbali Quran ya karne ya saba. Sasa sijui utasemaje hapo.
Na hiyo tu but kunatheory nyingi za kisayans zilizozungumziwa miaka mingi iliyopita na kuwa proved miaka hii.

Naomba unijibu yale maswali niliyokuuliza.
 
Hahahahaaaaa! Tz mbongo uwe unajibu na maswali ninayokuuliza. usitemee mimi kujibu ya kwako tu.

Mambo ya kisayansi ktk quran kweli yapo. but sio kigezo kwamba kujua mambo hayo kabla huu ni uungu.

Aristotle aliongelea gravitation force toka karne ya 4 but wanascience wameproof hilo karne ya 18! achilia mbali Quran ya karne ya saba. Sasa sijui utasemaje hapo.
Na hiyo tu but kunatheory nyingi za kisayans zilizozungumziwa miaka mingi iliyopita na kuwa proved miaka hii.

Naomba unijibu yale maswali niliyokuuliza.

Kumbuka hoja ni kwamba Qur'an imetungwa na binadamu na ina contradiction. Sasa mie nimeanza na kuangalia na jambo la kwanza kwamba Qur'an imetungwa na binadamu au la,tukishamaliza hapo ndiyo tuje ktk maswali yako yenye kuhusu contradiction. Kumbuka huko juu umesema kuwa hivi vitabu yapo mambo ya kweli na ya uzushi nakumbuka hilo,hata mie naamini kuwa biblia ina maneno ya kweli ya mungu na kuna ya uzushi ambayo ndiyo panapopatikana contradiction, sasa pia suala la Qur'an inabidi kwanza tujue ni kutoka kwa Mungu? halafu ndiyo tuje kwn contradiction. Kwa sababu kumbuka kitabu cha Qur'an ndicho ambacho pekee chenye kujieleza kwa uhakika kuwa hakina hata chembe ya kosoro kwa maana hakijatiwa mkono na binadamu na wala haitotokea hivyo.

Nafikiri umenielewa,sasa swali langu la sayansi kwn Qur'an haujajibu kama jinsi swali lenyewe lilivyo.
 
Kumbuka hoja ni kwamba Qur'an imetungwa na binadamu na ina contradiction. Sasa mie nimeanza na kuangalia na jambo la kwanza kwamba Qur'an imetungwa na binadamu au la,tukishamaliza hapo ndiyo tuje ktk maswali yako yenye kuhusu contradiction. Kumbuka huko juu umesema kuwa hivi vitabu yapo mambo ya kweli na ya uzushi nakumbuka hilo,hata mie naamini kuwa biblia ina maneno ya kweli ya mungu na kuna ya uzushi ambayo ndiyo panapopatikana contradiction, sasa pia suala la Qur'an inabidi kwanza tujue ni kutoka kwa Mungu? halafu ndiyo tuje kwn contradiction. Kwa sababu kumbuka kitabu cha Qur'an ndicho ambacho pekee chenye kujieleza kwa uhakika kuwa hakina hata chembe ya kosoro kwa maana hakijatiwa mkono na binadamu na wala haitotokea hivyo.
Kweli kabisa Quran imesema hivyo. na hiyo ni sababu nyengine ya mimi kuchopoka huko.
Nafikiri umenielewa,sasa swali langu la sayansi kwn Qur'an haujajibu kama jinsi swali lenyewe lilivyo.

Nakuelewa vizuri Tz mbongo. wewe tu hutaki kunielewa. Ok hapa nadhani nimeshakujibu dai la kisayansi kutokana na uwepo wa theory nyingi za kisayansi zilizotolewa na watu tofauti kabla ya kuproviwa miaka hii. Nadhani tuko pamoja hapo.

Qurani si Maneno ya Mungu na ikiwa ndio basi yamechanganywa na maneno ya watu waongo na wasioweza kufikiri sawa sawa!!!!! sadly Quran yenyewe imejieleza kwamba mle hakuna neno ata moja la mtu or kitu chengine chochote.

Kwa maana hiyo ule uongo na unreasonableness vilivyo mle ni vya Mungu mwenywewe. Narudia tena kutokana na hayo ndio nimechopoka huko coz Mungu hawezi kuwa na udhaifu huo. Usiniulize udhaifu gani coz nimeelezea huko juu na nikakuuliza but hukutaka kunijibu kwa madai kwamba tujadili whether ni maneno ya Mungu or ya mtu. ok. mimi nakuelewa vizuri tu.
Na hapa najikita kwenye hilo.

Qurani si maneno ya Mungu coz Mungu hakukishusha hiko kitabu bali Muhammad ndie aliekuwa akiongea na maswahaba wakaandika. So ikiwa unaushahidi kwamba Maneno hayo hayatoka kwa Muhammad naomba uweke huo ushahidi.

Hoja no: mbili.

Ukitoa ushahidi wa maneno kutoka ktk Quran yenyewe unijbu pia ikiwa Mungu ni unreasonable na pia unijibu ikiwa Mungu anaweza kusema uongo. coz hata hivyo vinapatikana kwenye Quran hiyo hiyo.
 
Back
Top Bottom