A Golden Opportunity? Ni Kitabu kilichoandikwa na Tundu Lissu, UDSM na LHRC kuhusu Migodi ya Dhahabu

A Golden Opportunity? Ni Kitabu kilichoandikwa na Tundu Lissu, UDSM na LHRC kuhusu Migodi ya Dhahabu

Sikuwa na mwamko mkubwa wa kufatilia mambo ila nilikuwa mtu mzima
Basi sheria ipo tangu 2012 nadhani,kwamba mrabaha ni 16%,so mikataba ilipokwisha walitakiwa kutoa mrabaha huo,ikawa ngondo,mgodi wa kwanza kuwa impacted ni resolute nzega
 
Basi sheria ipo tangu 2012 nadhani,kwamba mrabaha ni 16%,so mikataba ilipokwisha walitakiwa kutoa mrabaha huo,ikawa ngondo,mgodi wa kwanza kuwa impacted ni resolute nzega
Ukisoma kitabu cha Golden opportunity hakuna sheria itakayo effect mradi baada ya mkataba hadi Term iishe.

Na term ni 30yrs endapo mwekezaji amesharusisha gharama zake.

Sasa hapo kwenye kurudisha gharama ndio kuna kimbembe......soma utajionea
 
Yaani Reuters ndio inaandika na sio Mwananchi, Nipashe wala Uhuru? Hata Clouds mkuu hii habari haipo wala Jamii forums?
Anyways ntafatilia.
Una uhakika mwana chi hawakuandika!?..tangu lini clouds, channel ten,it wakaandika news serious!?
 
..99% ya Waznz ni Waislamu.

..kuna watu wanatumia hali hiyo kama " kichaka " ili viongozi wa Ccm toka Znz wasikosolewe.

..Samia anayechangia wachungaji wa hovyo kama Mwamposa ndio wa kuwakausha makoo Waislamu kumtetea?

..Tujiulize Samia alikuwa wapi wakati Cuf wakipakaziwa kwamba ni chama cha kidini cha Waislamu?

Kungalikuwa na uchaguzi wa kweli Toka kwenye CCM yenyewe , Samia asingalikuwa Raisi, Kuhusu kuiondoa CCM madarakani kwa huku Zanzibar harakati zilianza zamani na nyinyi Watanganyika wengi mlikuwa bado wengi mumelewa Ullevi wa Nyerere
 
Sikuwa nafahamu kwamba huyu Tundu Lissu ana Ushawishi Mkubwa namna hii sio tu leo ambapo tunamuona kwenye Jukwaa la Siasa bali kazi ya kutetea Nchi, Taifa na Wanachi wake ameianza Zamani ktk Ujana wake woote.

Kwamba Tundu Lissu anaweza kuwa na Influence kwenye Tasisi kubwa kama baraza la Taifa la kiislam BAKWATA, Baraza la Kikristo Tanzania CCT, Tanzania Episcopal Council TEC, Legal and Human Right Centre(LHRC) na miamba wengine wa Uchumi ktk taasisi mbalimbali kama University of Dar Es Salaam.

Ushiriki wa Taasisi kubwa za namna hii katika uchambuzi, utafiti na hatimaye ku ripoti taarifa hizi za Uchimbaji wa madini ya Dhahabu Tanzania umetokana na ukweli kwamba;

1. Mwenyezi Mungu ndiye aliyeumba Tanzania na vitu vyote vilivyomo.
2. Kwamba Mungu alipomuumba Mwanadamu alitaka aishi maisha ya ukamilifu na utajiri hivyo kila alipo Mwanadamu kuna vyanzo vya uchumi vinavyomuwezesha kuishi na Kustawi.


Wame quote kitabu cha Zaburi 24: 1.

Katika Utafiti na matokeo yao waligundua mambo makuu matatu.

1. Migodi ya Dhahabu inatoa kiasi kidogo cha mapato ya Kodi
2.Usiri Mkubwa kwenye miradi ya madini na hivyo hatari ua kuwepo mazingira ya Rushwa
3.Watu na wananchi jirani katika migodi hii hawananufaiki chochote na wanazidi kuwa maskini.


Mada mahususi
1. The Tax System and its Hidden subsidies
2. Alleged Tax Evasion
3. Democracy and Transparency
4. Local economic development


Uhondo unapatikana zaidi ukiangalia jinsi walivyochambua mapato na uvunaji wa madini ya Dhahabu kutoka migodi ifuatayo

➡️AngroGold Ashanti, kampuni inayomilikiwa kwa ubia wa Ghana na South Africa hawa wanamiliki migodi ya GGM huko Geita
➡️Barrick- hii ya Wakanada wanamiliki mgodi wa Bulyankulu
➡️Australian company wanaomiliki Migodi ya Dhahabu ya North Mara under East African Gold Mines brand.

Pia wameongelea "The Buzwagi contract"

Ktk takwimu zao kwenye majedwali mbali mbali wame extraxt data na taarifa kutoka kwenye vyanzo mbali mbali ikiwemo
Tume ya Taifa ya Madini, Wizara ya Nishati na Madini, Tanzaniani Chamber of Mines, Tanzania Revenue Authority TRA.

Jambo lingine lilonishangaza ktk ripoti hii ni kuwa matatizo yanayotokana na migogoro na Machimbo ya madini ya Dhahabu yanafanana ktk Nchi nyingi za Africa, ambapo inaonekana baadhi ya viongozi ktk nchi hizo wanashirikiana na wezi wa kigeni na kudidimiza wananchi wao.

Basi mwisho wakamaliza na Recomendations zao.

Walitoa mapendekezo 7.
Ukitazama kwa umakini ni Copy and Paste ya zile za Tume ya Uchunguzi ya Prof Usoro na Prof Mruma.

Hii ni repoti ya mwaka 2008 toleo la pili.
Alafu utasikia machawa na wezi wa taifa hili wakipiga kelele za kijinga sana mara or lissu sio mzalendo , wote wanao mnenea mabaya lissu walaniwe period
 
Alafu utasikia machawa na wezi wa taifa hili wakipiga kelele za kijinga sana mara or lissu sio mzalendo , wote wanao mnenea mabaya lissu walaniwe period
Hehehe....Lissu hawataMweza mpaka Mungu mwenyewe aamue.
 
Sikuwa nafahamu kwamba huyu Tundu Lissu ana Ushawishi Mkubwa namna hii sio tu leo ambapo tunamuona kwenye Jukwaa la Siasa bali kazi ya kutetea Nchi, Taifa na Wanachi wake ameianza Zamani ktk Ujana wake woote.

Kwamba Tundu Lissu anaweza kuwa na Influence kwenye Tasisi kubwa kama baraza la Taifa la kiislam BAKWATA, Baraza la Kikristo Tanzania CCT, Tanzania Episcopal Council TEC, Legal and Human Right Centre(LHRC) na miamba wengine wa Uchumi ktk taasisi mbalimbali kama University of Dar Es Salaam.

Ushiriki wa Taasisi kubwa za namna hii katika uchambuzi, utafiti na hatimaye ku ripoti taarifa hizi za Uchimbaji wa madini ya Dhahabu Tanzania umetokana na ukweli kwamba;

1. Mwenyezi Mungu ndiye aliyeumba Tanzania na vitu vyote vilivyomo.
2. Kwamba Mungu alipomuumba Mwanadamu alitaka aishi maisha ya ukamilifu na utajiri hivyo kila alipo Mwanadamu kuna vyanzo vya uchumi vinavyomuwezesha kuishi na Kustawi.


Wame quote kitabu cha Zaburi 24: 1.

Katika Utafiti na matokeo yao waligundua mambo makuu matatu.

1. Migodi ya Dhahabu inatoa kiasi kidogo cha mapato ya Kodi
2.Usiri Mkubwa kwenye miradi ya madini na hivyo hatari ua kuwepo mazingira ya Rushwa
3.Watu na wananchi jirani katika migodi hii hawananufaiki chochote na wanazidi kuwa maskini.


Mada mahususi
1. The Tax System and its Hidden subsidies
2. Alleged Tax Evasion
3. Democracy and Transparency
4. Local economic development


Uhondo unapatikana zaidi ukiangalia jinsi walivyochambua mapato na uvunaji wa madini ya Dhahabu kutoka migodi ifuatayo

➡️AngroGold Ashanti, kampuni inayomilikiwa kwa ubia wa Ghana na South Africa hawa wanamiliki migodi ya GGM huko Geita
➡️Barrick- hii ya Wakanada wanamiliki mgodi wa Bulyankulu
➡️Australian company wanaomiliki Migodi ya Dhahabu ya North Mara under East African Gold Mines brand.

Pia wameongelea "The Buzwagi contract"

Ktk takwimu zao kwenye majedwali mbali mbali wame extraxt data na taarifa kutoka kwenye vyanzo mbali mbali ikiwemo
Tume ya Taifa ya Madini, Wizara ya Nishati na Madini, Tanzaniani Chamber of Mines, Tanzania Revenue Authority TRA.

Jambo lingine lilonishangaza ktk ripoti hii ni kuwa matatizo yanayotokana na migogoro na Machimbo ya madini ya Dhahabu yanafanana ktk Nchi nyingi za Africa, ambapo inaonekana baadhi ya viongozi ktk nchi hizo wanashirikiana na wezi wa kigeni na kudidimiza wananchi wao.

Basi mwisho wakamaliza na Recomendations zao.

Walitoa mapendekezo 7.
Ukitazama kwa umakini ni Copy and Paste ya zile za Tume ya Uchunguzi ya Prof Usoro na Prof Mruma.

Hii ni repoti ya mwaka 2008 toleo la pili.
Shida ya tundu alitaka wamwachie yeye tu kutete rasimali za nchi. Alipokuna mwingine kutetea radilimali zilezile za nchi alikasirika sana kwamba atapokwa alichoanzisha. Hivyo u inafsi ndo unamtafuna.
 
Shida ya tundu alitaka wamwachie yeye tu kutete rasimali za nchi. Alipokuna mwingine kutetea radilimali zilezile za nchi alikasirika sana kwamba atapokwa alichoanzisha. Hivyo u inafsi ndo unamtafuna.
Mmh....umemjua Tundu Lissu ukubwani
 
Shida ya tundu alitaka wamwachie yeye tu kutete rasimali za nchi. Alipokuna mwingine kutetea radilimali zilezile za nchi alikasirika sana kwamba atapokwa alichoanzisha. Hivyo u inafsi ndo unamtafuna.
Leo ameshirikiana na Watu wote wenye mapenzi mema Bakwata, TEC, CCT, LHRC, UDSM, World Council for Natural Resource ambayo hata Dr Samia alishawahi kufanya kazi wakiwa na Lissu.
Ameshirikiana na wananchi wote wakazi wa migodini, bungeni na kwenye majukwaa mbali mbali.
 
Mimi hushangaa sana namna Botswana ilivyo nikilinganisha na Tanganyika , hasa uchumi wake unategemea dhahabu na almasi , Tanganyika toka wakati wa Nyerere hakuna kilichopatikana zaidi ya kuundwa CCM baada TANU na kutembeza mwenge kila mwaka
Huyo babu yenu aliiroga hii nchi. Hakuna kitu tunaweza ni matupatapu matupu.
 
Back
Top Bottom