Wanabodi,
Mimi kama kawaida yangu ni mtu wa maswali na hapa nauliza tuu,
Chama cha siasa kina uhuru wa kufanya mambo yake kwa uhuru, ila ni lazima kifuate katiba, Sheria, taratibu na kanuni.
Chama kina katiba yake, katiba hiyo imeweka taratibu za nidhamu kwa wanachama wake, mwanachama unapokiuka, unafukuzwa uanachama.
Katika kufukuzwa uanachama huko, chama husika huitisha vikao vya mamlaka ya nidhamu, ambavyo Kwa Chadema ni vikao vya CC na Baraza Kuu.
Kikao cha mamlaka ya nidhamu, kinapoitishwa kinyume cha katiba, sheria, taratibu na kanuni, mimi ndio nakiita kikao hicho kimekaa kama a Kangaroo Court, na maamuzi hayo ndio nayaita maamuzi ya Kikangaroo.
Kwa kawaida maamuzi ya Kikangaroo yaliyotolewa na a Kangaroo Court, huwaga hayana rufaa. Hivyo kitendo cha Chadema kutoa maamuzi hayo ya Kikangaroo na kuruhusu rufaa, ni uthibitisho kuwa Chadema bado ni Chama cha Kidemokrasia .
Ilitegemewa kikao cha Baraza Kuu, kabla hakijajadili rufaa za wale warufani 19, hatua ya kwanza ni ku deliberate jee Kikao cha CC kilicho wavua uanachama ni kikao halali?. Jee uamuzi wa CC ya Chedema umefikiwa kihalali?.
Kwa vile katiba ya Chadema is an open document, uhalali au ubatili wa kikao kile sio hoja ya maoni binafsi ya mtu, ni issue ya kikatiba, Kisheria, kikanuni na kiutaratibu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, sheria, taratibu na kanuni zilikiukwa hivyo CC ile ni a Kangaroo Court na maamuzi yake ni maamuzi ya Kikangaroo!.
Swali linakuja, Jee a Kangaroo Court moja, inapotoa hukumu Kikangaroo, kisha kikao cha rufaa, likaitishwa kuijadili Ile ukangaroo wa kile kikao cha Kwanza cha Kikangaroo, na kikao hiki ambacho uamuzi wake ni wa mwisho, final and conclusive, kikayabariki maamuzi yale ya Kikangaroo, Je nacho kitahesabika ni ni kikao cha Kikangaroo au ni kikao halali, Ila nacho kimebariki maamuzi ya Kikangaroo, jee sasa vikao vyote viwili ni Kangaroo?.
Makamanda 19, kamwe msikubali ukangaroo wa aina hii kuendeshwa katika ardhi ya Tanzania!.
A Way Foward
Kwa vile uamuzi wa kikao cha Baraza Kuu ndio final and conclusive, hakuna ubishi kuwa kina Mdee wameonewa, following precedence ya kesi Zitto Kabwe kupinga maamuzi batili kama hayo mahakaman, nawashauri kina Mdee na kundi lake, kukubali matokeo, kufungasha virago vyao kupisha, na kuiachia karma ndio iwalipie.
Nawashauri wasiende mahakamani kutafuta haki, unless kama ni kutetea tuu ugali wao kwa kuendelea kuvuta muda wa ubunge wao ili waendelee kuvuta kwa lengo tuu ya ku service ule mkopo wa bond ya miaka 5.
Kwa wale waumini wa karma, lets just sit and watch jinsi karma inavyofanya kazi. Kwa vile sio watu wamejaaliwa jicho la kuona the karma operatives, akina sisi wenye jicho hilo, tutakuwa tunawamegea tits and bits.
Kunapotokea jambo kubwa kama hili, usually huwa it's over until it's over, kwa hapa hili lilipofikia,
it's over!.
Wanabodi. Utambulisho. Mimi ni mwandishi wa habari wa kujitegemea, yaani freelance journalist, hatutumwi na mtu yoyote au media yoyote. Sisi waandishi tuko wa aina nyingi na tunafanya kazi za aina nyingi, wengine ni maripota, wengine watangazaji, wengine wahariri, na ndani ya makundi hayo...
Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Japo mimi ni kada wa chama cha siasa na sio CHADEMA, ukada wangu, haunizuii kutoa ushauri kwa Chama chochote kukisaidia. Upendo wa kweli ni pale unapoona jirani yako ambaye ni kipofu, haoni mbele, anatembea na...
P Asante Kwa maoni,ila hujasema ninikilichokiukwa na namna Gani,na au unawatetea TU kwakuwa walikohamia kimazabe unamaslahi Nako.Au maoni Yako yameakisi mrengo ulionao kiitikadi?
Hivi Kamati kuu haiwezi kukutana kwenye suala la Dharura kama hili?
Halafu Rufaa ya akina Mdee si kwamba kile kikao hakuna mamlaka ya mwisho kuwafukuza uanachama mpaka Barza kuu?
Na baraza kuu si ndio limefanya maamuzi sasa?
kangaroo court
noun
an unofficial court held by a group of people in order to try someone regarded, especially without good evidence, as guilty of a crime or misdemeanour.
"they conducted a kangaroo court there and then"
Maelezo ni mengi lakini cha ajabu huyu nguli mbobevu wa uandishi hajaweka reference ya vifungu vya katiba. Pamoja na kuitaja katiba, mleta hoja "amebwabwaja" tu bila kuleta ushahidi wa wazi wa vifungu vya katiba vilivyokiukwa.
Wanabodi,
Mimi kama kawaida yangu ni mtu wa maswali na hapa nauliza tuu,
Chama cha siasa kina uhuru wa kufanya mambo yake kwa uhuru, ila ni lazima kifuate katiba, Sheria, taratibu na kanuni.
Chama kina katiba yake, katiba hiyo imeweka taratibu za nidhamu kwa wanachama wake, mwanachama unapokiuka, unafukuzwa uanachama.
Katika kufukuzwa uanachama huko, chama husika huitisha vikao vya mamlaka ya nidhamu, ambavyo Kwa Chadema ni vikao vya CC na Baraza Kuu.
Kikao cha mamlaka ya nidhamu, kinapoitishwa kinyume cha katiba, sheria, taratibu na kanuni, mimi ndio nakiita kikao hicho kimekaa kama a Kangaroo Court, na maamuzi hayo ndio nayaita maamuzi ya Kikangaroo.
Kwa kawaida maamuzi ya Kikangaroo yaliyotolewa na a Kangaroo Court, huwaga hayana rufaa. Hivyo kitendo cha Chadema kutoa maamuzi hayo ya Kikangaroo na kuruhusu rufaa, ni uthibitisho kuwa Chadema bado ni Chama cha Kidemokrasia .
Ilitegemewa kikao cha Baraza Kuu, kabla hakijajadili rufaa za wale warufani 19, hatua ya kwanza ni ku deliberate jee Kikao cha CC kilicho wavua uanachama ni kikao halali?. Jee uamuzi wa CC ya Chedema umefikiwa kihalali?.
Kwa vile katiba ya Chadema is an open document, uhalali au ubatili wa kikao kile sio hoja ya maoni binafsi ya mtu, ni issue ya kikatiba, Kisheria, kikanuni na kiutaratibu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, sheria, taratibu na kanuni zilikiukwa hivyo CC ile ni a Kangaroo Court na maamuzi yake ni maamuzi ya Kikangaroo!.
Swali linakuja, Jee a Kangaroo Court moja, inapotoa hukumu Kikangaroo, kisha kikao cha rufaa, likaitishwa kuijadili Ile ukangaroo wa kile kikao cha Kwanza cha Kikangaroo, na kikao hiki ambacho uamuzi wake ni wa mwisho, final and conclusive, kikayabariki maamuzi yale ya Kikangaroo, Je nacho kitahesabika ni ni kikao cha Kikangaroo au ni kikao halali, Ila nacho kimebariki maamuzi ya Kikangaroo, jee sasa vikao vyote viwili ni Kangaroo?.
Makamanda 19, kamwe msikubali ukangaroo wa aina hii kuendeshwa katika ardhi ya Tanzania!.
A Way Foward
Kwa vile uamuzi wa kikao cha Baraza Kuu ndio final and conclusive, hakuna ubishi kuwa kina Mdee wameonewa, following precedence ya kesi Zitto Kabwe kupinga maamuzi batili kama hayo mahakaman, nawashauri kina Mdee na kundi lake, kukubali matokeo, kufungasha virago vyao kupisha, na kuiachia karma ndio iwalipie.
Nawashauri wasiende mahakamani kutafuta haki, unless kama ni kutetea tuu ugali wao kwa kuendelea kuvuta muda wa ubunge wao ili waendelee kuvuta kwa lengo tuu ya ku service ule mkopo wa bond ya miaka 5.
Kwa wale waumini wa karma, lets just sit and watch jinsi karma inavyofanya kazi. Kwa vile sio watu wamejaaliwa jicho la kuona the karma operatives, akina sisi wenye jicho hilo, tutakuwa tunawamegea tits and bits.
Kunapotokea jambo kubwa kama hili, usually huwa it's over until it's over, kwa hapa hili lilipofikia,
it's over!.
Wanabodi. Utambulisho. Mimi ni mwandishi wa habari wa kujitegemea, yaani freelance journalist, hatutumwi na mtu yoyote au media yoyote. Sisi waandishi tuko wa aina nyingi na tunafanya kazi za aina nyingi, wengine ni maripota, wengine watangazaji, wengine wahariri, na ndani ya makundi hayo...
Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Japo mimi ni kada wa chama cha siasa na sio CHADEMA, ukada wangu, haunizuii kutoa ushauri kwa Chama chochote kukisaidia. Upendo wa kweli ni pale unapoona jirani yako ambaye ni kipofu, haoni mbele, anatembea na...
Wanabodi,
Mimi kama kawaida yangu ni mtu wa maswali na hapa nauliza tuu,
Chama cha siasa kina uhuru wa kufanya mambo yake kwa uhuru, ila ni lazima kifuate katiba, Sheria, taratibu na kanuni.
Chama kina katiba yake, katiba hiyo imeweka taratibu za nidhamu kwa wanachama wake, mwanachama unapokiuka, unafukuzwa uanachama.
Katika kufukuzwa uanachama huko, chama husika huitisha vikao vya mamlaka ya nidhamu, ambavyo Kwa Chadema ni vikao vya CC na Baraza Kuu.
Kikao cha mamlaka ya nidhamu, kinapoitishwa kinyume cha katiba, sheria, taratibu na kanuni, mimi ndio nakiita kikao hicho kimekaa kama a Kangaroo Court, na maamuzi hayo ndio nayaita maamuzi ya Kikangaroo.
Kwa kawaida maamuzi ya Kikangaroo yaliyotolewa na a Kangaroo Court, huwaga hayana rufaa. Hivyo kitendo cha Chadema kutoa maamuzi hayo ya Kikangaroo na kuruhusu rufaa, ni uthibitisho kuwa Chadema bado ni Chama cha Kidemokrasia .
Ilitegemewa kikao cha Baraza Kuu, kabla hakijajadili rufaa za wale warufani 19, hatua ya kwanza ni ku deliberate jee Kikao cha CC kilicho wavua uanachama ni kikao halali?. Jee uamuzi wa CC ya Chedema umefikiwa kihalali?.
Kwa vile katiba ya Chadema is an open document, uhalali au ubatili wa kikao kile sio hoja ya maoni binafsi ya mtu, ni issue ya kikatiba, Kisheria, kikanuni na kiutaratibu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, sheria, taratibu na kanuni zilikiukwa hivyo CC ile ni a Kangaroo Court na maamuzi yake ni maamuzi ya Kikangaroo!.
Swali linakuja, Jee a Kangaroo Court moja, inapotoa hukumu Kikangaroo, kisha kikao cha rufaa, likaitishwa kuijadili Ile ukangaroo wa kile kikao cha Kwanza cha Kikangaroo, na kikao hiki ambacho uamuzi wake ni wa mwisho, final and conclusive, kikayabariki maamuzi yale ya Kikangaroo, Je nacho kitahesabika ni ni kikao cha Kikangaroo au ni kikao halali, Ila nacho kimebariki maamuzi ya Kikangaroo, jee sasa vikao vyote viwili ni Kangaroo?.
Makamanda 19, kamwe msikubali ukangaroo wa aina hii kuendeshwa katika ardhi ya Tanzania!.
A Way Foward
Kwa vile uamuzi wa kikao cha Baraza Kuu ndio final and conclusive, hakuna ubishi kuwa kina Mdee wameonewa, following precedence ya kesi Zitto Kabwe kupinga maamuzi batili kama hayo mahakaman, nawashauri kina Mdee na kundi lake, kukubali matokeo, kufungasha virago vyao kupisha, na kuiachia karma ndio iwalipie.
Nawashauri wasiende mahakamani kutafuta haki, unless kama ni kutetea tuu ugali wao kwa kuendelea kuvuta muda wa ubunge wao ili waendelee kuvuta kwa lengo tuu ya ku service ule mkopo wa bond ya miaka 5.
Kwa wale waumini wa karma, lets just sit and watch jinsi karma inavyofanya kazi. Kwa vile sio watu wamejaaliwa jicho la kuona the karma operatives, akina sisi wenye jicho hilo, tutakuwa tunawamegea tits and bits.
Kunapotokea jambo kubwa kama hili, usually huwa it's over until it's over, kwa hapa hili lilipofikia,
it's over!.
Wanabodi. Utambulisho. Mimi ni mwandishi wa habari wa kujitegemea, yaani freelance journalist, hatutumwi na mtu yoyote au media yoyote. Sisi waandishi tuko wa aina nyingi na tunafanya kazi za aina nyingi, wengine ni maripota, wengine watangazaji, wengine wahariri, na ndani ya makundi hayo...
Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Japo mimi ni kada wa chama cha siasa na sio CHADEMA, ukada wangu, haunizuii kutoa ushauri kwa Chama chochote kukisaidia. Upendo wa kweli ni pale unapoona jirani yako ambaye ni kipofu, haoni mbele, anatembea na...
Utajua hujui, wewe mbona uliamua kuoa baada ya mkeo kukusaliti? kwanini usingemsamehe na kuamua kumsubiri. USALITI ni laana na kiongozi wa usaliti ni lucifer.
Mimi siyo miongoni mwao wanaompiga mawe. Lakini hoja yake inhekuwa na mashiko kama angefanya specific references za hivyo vifungu vya katiba anayoitaja.
Mimi nimeona mashambulizi yasiyo na msingi kutoka kwa huyu nguli. Hajaonesha hata kifungu kimoja cha katiba, bali kaweka hisia zake binafsi akazificha kwenye katiba kwa kuitaja tu.
Wanabodi,
Mimi kama kawaida yangu ni mtu wa maswali na hapa nauliza tuu,
Chama cha siasa kina uhuru wa kufanya mambo yake kwa uhuru, ila ni lazima kifuate katiba, Sheria, taratibu na kanuni.
Chama kina katiba yake, katiba hiyo imeweka taratibu za nidhamu kwa wanachama wake, mwanachama unapokiuka, unafukuzwa uanachama.
Katika kufukuzwa uanachama huko, chama husika huitisha vikao vya mamlaka ya nidhamu, ambavyo Kwa Chadema ni vikao vya CC na Baraza Kuu.
Kikao cha mamlaka ya nidhamu, kinapoitishwa kinyume cha katiba, sheria, taratibu na kanuni, mimi ndio nakiita kikao hicho kimekaa kama a Kangaroo Court, na maamuzi hayo ndio nayaita maamuzi ya Kikangaroo.
Kwa kawaida maamuzi ya Kikangaroo yaliyotolewa na a Kangaroo Court, huwaga hayana rufaa. Hivyo kitendo cha Chadema kutoa maamuzi hayo ya Kikangaroo na kuruhusu rufaa, ni uthibitisho kuwa Chadema bado ni Chama cha Kidemokrasia .
Ilitegemewa kikao cha Baraza Kuu, kabla hakijajadili rufaa za wale warufani 19, hatua ya kwanza ni ku deliberate jee Kikao cha CC kilicho wavua uanachama ni kikao halali?. Jee uamuzi wa CC ya Chedema umefikiwa kihalali?.
Kwa vile katiba ya Chadema is an open document, uhalali au ubatili wa kikao kile sio hoja ya maoni binafsi ya mtu, ni issue ya kikatiba, Kisheria, kikanuni na kiutaratibu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, sheria, taratibu na kanuni zilikiukwa hivyo CC ile ni a Kangaroo Court na maamuzi yake ni maamuzi ya Kikangaroo!.
Swali linakuja, Jee a Kangaroo Court moja, inapotoa hukumu Kikangaroo, kisha kikao cha rufaa, likaitishwa kuijadili Ile ukangaroo wa kile kikao cha Kwanza cha Kikangaroo, na kikao hiki ambacho uamuzi wake ni wa mwisho, final and conclusive, kikayabariki maamuzi yale ya Kikangaroo, Je nacho kitahesabika ni ni kikao cha Kikangaroo au ni kikao halali, Ila nacho kimebariki maamuzi ya Kikangaroo, jee sasa vikao vyote viwili ni Kangaroo?.
Makamanda 19, kamwe msikubali ukangaroo wa aina hii kuendeshwa katika ardhi ya Tanzania!.
A Way Foward
Kwa vile uamuzi wa kikao cha Baraza Kuu ndio final and conclusive, hakuna ubishi kuwa kina Mdee wameonewa, following precedence ya kesi Zitto Kabwe kupinga maamuzi batili kama hayo mahakaman, nawashauri kina Mdee na kundi lake, kukubali matokeo, kufungasha virago vyao kupisha, na kuiachia karma ndio iwalipie.
Nawashauri wasiende mahakamani kutafuta haki, unless kama ni kutetea tuu ugali wao kwa kuendelea kuvuta muda wa ubunge wao ili waendelee kuvuta kwa lengo tuu ya ku service ule mkopo wa bond ya miaka 5.
Kwa wale waumini wa karma, lets just sit and watch jinsi karma inavyofanya kazi. Kwa vile sio watu wamejaaliwa jicho la kuona the karma operatives, akina sisi wenye jicho hilo, tutakuwa tunawamegea tits and bits.
Kunapotokea jambo kubwa kama hili, usually huwa it's over until it's over, kwa hapa hili lilipofikia,
it's over!.
Wanabodi. Utambulisho. Mimi ni mwandishi wa habari wa kujitegemea, yaani freelance journalist, hatutumwi na mtu yoyote au media yoyote. Sisi waandishi tuko wa aina nyingi na tunafanya kazi za aina nyingi, wengine ni maripota, wengine watangazaji, wengine wahariri, na ndani ya makundi hayo...
Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Japo mimi ni kada wa chama cha siasa na sio CHADEMA, ukada wangu, haunizuii kutoa ushauri kwa Chama chochote kukisaidia. Upendo wa kweli ni pale unapoona jirani yako ambaye ni kipofu, haoni mbele, anatembea na...
Wanabodi,
Mimi kama kawaida yangu ni mtu wa maswali na hapa nauliza tuu,
Chama cha siasa kina uhuru wa kufanya mambo yake kwa uhuru, ila ni lazima kifuate katiba, Sheria, taratibu na kanuni.
Chama kina katiba yake, katiba hiyo imeweka taratibu za nidhamu kwa wanachama wake, mwanachama unapokiuka, unafukuzwa uanachama.
Katika kufukuzwa uanachama huko, chama husika huitisha vikao vya mamlaka ya nidhamu, ambavyo Kwa Chadema ni vikao vya CC na Baraza Kuu.
Kikao cha mamlaka ya nidhamu, kinapoitishwa kinyume cha katiba, sheria, taratibu na kanuni, mimi ndio nakiita kikao hicho kimekaa kama a Kangaroo Court, na maamuzi hayo ndio nayaita maamuzi ya Kikangaroo.
Kwa kawaida maamuzi ya Kikangaroo yaliyotolewa na a Kangaroo Court, huwaga hayana rufaa. Hivyo kitendo cha Chadema kutoa maamuzi hayo ya Kikangaroo na kuruhusu rufaa, ni uthibitisho kuwa Chadema bado ni Chama cha Kidemokrasia .
Ilitegemewa kikao cha Baraza Kuu, kabla hakijajadili rufaa za wale warufani 19, hatua ya kwanza ni ku deliberate jee Kikao cha CC kilicho wavua uanachama ni kikao halali?. Jee uamuzi wa CC ya Chedema umefikiwa kihalali?.
Kwa vile katiba ya Chadema is an open document, uhalali au ubatili wa kikao kile sio hoja ya maoni binafsi ya mtu, ni issue ya kikatiba, Kisheria, kikanuni na kiutaratibu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, sheria, taratibu na kanuni zilikiukwa hivyo CC ile ni a Kangaroo Court na maamuzi yake ni maamuzi ya Kikangaroo!.
Swali linakuja, Jee a Kangaroo Court moja, inapotoa hukumu Kikangaroo, kisha kikao cha rufaa, likaitishwa kuijadili Ile ukangaroo wa kile kikao cha Kwanza cha Kikangaroo, na kikao hiki ambacho uamuzi wake ni wa mwisho, final and conclusive, kikayabariki maamuzi yale ya Kikangaroo, Je nacho kitahesabika ni ni kikao cha Kikangaroo au ni kikao halali, Ila nacho kimebariki maamuzi ya Kikangaroo, jee sasa vikao vyote viwili ni Kangaroo?.
Makamanda 19, kamwe msikubali ukangaroo wa aina hii kuendeshwa katika ardhi ya Tanzania!.
A Way Foward
Kwa vile uamuzi wa kikao cha Baraza Kuu ndio final and conclusive, hakuna ubishi kuwa kina Mdee wameonewa, following precedence ya kesi Zitto Kabwe kupinga maamuzi batili kama hayo mahakaman, nawashauri kina Mdee na kundi lake, kukubali matokeo, kufungasha virago vyao kupisha, na kuiachia karma ndio iwalipie.
Nawashauri wasiende mahakamani kutafuta haki, unless kama ni kutetea tuu ugali wao kwa kuendelea kuvuta muda wa ubunge wao ili waendelee kuvuta kwa lengo tuu ya ku service ule mkopo wa bond ya miaka 5.
Kwa wale waumini wa karma, lets just sit and watch jinsi karma inavyofanya kazi. Kwa vile sio watu wamejaaliwa jicho la kuona the karma operatives, akina sisi wenye jicho hilo, tutakuwa tunawamegea tits and bits.
Kunapotokea jambo kubwa kama hili, usually huwa it's over until it's over, kwa hapa hili lilipofikia,
it's over!.
Wanabodi. Utambulisho. Mimi ni mwandishi wa habari wa kujitegemea, yaani freelance journalist, hatutumwi na mtu yoyote au media yoyote. Sisi waandishi tuko wa aina nyingi na tunafanya kazi za aina nyingi, wengine ni maripota, wengine watangazaji, wengine wahariri, na ndani ya makundi hayo...
Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Japo mimi ni kada wa chama cha siasa na sio CHADEMA, ukada wangu, haunizuii kutoa ushauri kwa Chama chochote kukisaidia. Upendo wa kweli ni pale unapoona jirani yako ambaye ni kipofu, haoni mbele, anatembea na...
Eti na wewe Ni mwandishi wa habari. Shyster newsman!
Kwani maamuzi yanawatoa bungeni, si waendelee kuwa bungeni. We mpuuzi Nini. Issue Ni kuwa SI wanachama wa chadema, Tulia alitaka awachukue waendelee kukaa bungeni
Wanabodi,
Mimi kama kawaida yangu ni mtu wa maswali na hapa nauliza tuu,
Chama cha siasa kina uhuru wa kufanya mambo yake kwa uhuru, ila ni lazima kifuate katiba, Sheria, taratibu na kanuni.
Chama kina katiba yake, katiba hiyo imeweka taratibu za nidhamu kwa wanachama wake, mwanachama unapokiuka, unafukuzwa uanachama.
Katika kufukuzwa uanachama huko, chama husika huitisha vikao vya mamlaka ya nidhamu, ambavyo Kwa Chadema ni vikao vya CC na Baraza Kuu.
Kikao cha mamlaka ya nidhamu, kinapoitishwa kinyume cha katiba, sheria, taratibu na kanuni, mimi ndio nakiita kikao hicho kimekaa kama a Kangaroo Court, na maamuzi hayo ndio nayaita maamuzi ya Kikangaroo.
Kwa kawaida maamuzi ya Kikangaroo yaliyotolewa na a Kangaroo Court, huwaga hayana rufaa. Hivyo kitendo cha Chadema kutoa maamuzi hayo ya Kikangaroo na kuruhusu rufaa, ni uthibitisho kuwa Chadema bado ni Chama cha Kidemokrasia .
Ilitegemewa kikao cha Baraza Kuu, kabla hakijajadili rufaa za wale warufani 19, hatua ya kwanza ni ku deliberate jee Kikao cha CC kilicho wavua uanachama ni kikao halali?. Jee uamuzi wa CC ya Chedema umefikiwa kihalali?.
Kwa vile katiba ya Chadema is an open document, uhalali au ubatili wa kikao kile sio hoja ya maoni binafsi ya mtu, ni issue ya kikatiba, Kisheria, kikanuni na kiutaratibu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, sheria, taratibu na kanuni zilikiukwa hivyo CC ile ni a Kangaroo Court na maamuzi yake ni maamuzi ya Kikangaroo!.
Swali linakuja, Jee a Kangaroo Court moja, inapotoa hukumu Kikangaroo, kisha kikao cha rufaa, likaitishwa kuijadili Ile ukangaroo wa kile kikao cha Kwanza cha Kikangaroo, na kikao hiki ambacho uamuzi wake ni wa mwisho, final and conclusive, kikayabariki maamuzi yale ya Kikangaroo, Je nacho kitahesabika ni ni kikao cha Kikangaroo au ni kikao halali, Ila nacho kimebariki maamuzi ya Kikangaroo, jee sasa vikao vyote viwili ni Kangaroo?.
Makamanda 19, kamwe msikubali ukangaroo wa aina hii kuendeshwa katika ardhi ya Tanzania!.
A Way Foward
Kwa vile uamuzi wa kikao cha Baraza Kuu ndio final and conclusive, hakuna ubishi kuwa kina Mdee wameonewa, following precedence ya kesi Zitto Kabwe kupinga maamuzi batili kama hayo mahakaman, nawashauri kina Mdee na kundi lake, kukubali matokeo, kufungasha virago vyao kupisha, na kuiachia karma ndio iwalipie.
Nawashauri wasiende mahakamani kutafuta haki, unless kama ni kutetea tuu ugali wao kwa kuendelea kuvuta muda wa ubunge wao ili waendelee kuvuta kwa lengo tuu ya ku service ule mkopo wa bond ya miaka 5.
Kwa wale waumini wa karma, lets just sit and watch jinsi karma inavyofanya kazi. Kwa vile sio watu wamejaaliwa jicho la kuona the karma operatives, akina sisi wenye jicho hilo, tutakuwa tunawamegea tits and bits.
Kunapotokea jambo kubwa kama hili, usually huwa it's over until it's over, kwa hapa hili lilipofikia,
it's over!.
Wanabodi. Utambulisho. Mimi ni mwandishi wa habari wa kujitegemea, yaani freelance journalist, hatutumwi na mtu yoyote au media yoyote. Sisi waandishi tuko wa aina nyingi na tunafanya kazi za aina nyingi, wengine ni maripota, wengine watangazaji, wengine wahariri, na ndani ya makundi hayo...
Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Japo mimi ni kada wa chama cha siasa na sio CHADEMA, ukada wangu, haunizuii kutoa ushauri kwa Chama chochote kukisaidia. Upendo wa kweli ni pale unapoona jirani yako ambaye ni kipofu, haoni mbele, anatembea na...
Awali iliishiwa busara Sasa umeishiwa Akili. Nani anajisumbua kusikiliza ushauri wa Mtu aliyeishiwa akili? Mwanasheria kama unavyojiita unashabikia uhuni wa kina Ndugai ndo unaona kilikuwa sahihi? Hii ni aibu Kwa wanasheria kama kweli wewe ni mwenzao.
Wanayo haki ya kwenda mahakamani.
Swali langu :Je chadema haijakubali matokeo hadi leo?au kimeshakubali matokeo kwa hiyo inataka kubadilisha kina Halima mdee na safu nyingine ya wabunge?
We naye huna lolote, kwahiyo wanasheria wa CHADEMA na CHADEMA wenyewe hawajui katiba yao wewe ndiyo unaijua sn? saa nyingine ujuaji huwa hauna maana, wachukueni waingie CCM shida iko wapi?
Mkuu Pascal Mayalla, inaonekana maamuzi haya hukuyapenda na ndiyo yamekuwa hivyoooo. Huko kijani hakuna nafasi? washawishini waje kama mwenda zake na Job N. alivyowaingiza Bungeni.
Wanabodi,
Mimi kama kawaida yangu ni mtu wa maswali na hapa nauliza tuu,
Chama cha siasa kina uhuru wa kufanya mambo yake kwa uhuru, ila ni lazima kifuate katiba, Sheria, taratibu na kanuni.
Chama kina katiba yake, katiba hiyo imeweka taratibu za nidhamu kwa wanachama wake, mwanachama unapokiuka, unafukuzwa uanachama.
Katika kufukuzwa uanachama huko, chama husika huitisha vikao vya mamlaka ya nidhamu, ambavyo Kwa Chadema ni vikao vya CC na Baraza Kuu.
Kikao cha mamlaka ya nidhamu, kinapoitishwa kinyume cha katiba, sheria, taratibu na kanuni, mimi ndio nakiita kikao hicho kimekaa kama a Kangaroo Court, na maamuzi hayo ndio nayaita maamuzi ya Kikangaroo.
Kwa kawaida maamuzi ya Kikangaroo yaliyotolewa na a Kangaroo Court, huwaga hayana rufaa. Hivyo kitendo cha Chadema kutoa maamuzi hayo ya Kikangaroo na kuruhusu rufaa, ni uthibitisho kuwa Chadema bado ni Chama cha Kidemokrasia .
Ilitegemewa kikao cha Baraza Kuu, kabla hakijajadili rufaa za wale warufani 19, hatua ya kwanza ni ku deliberate jee Kikao cha CC kilicho wavua uanachama ni kikao halali?. Jee uamuzi wa CC ya Chedema umefikiwa kihalali?.
Kwa vile katiba ya Chadema is an open document, uhalali au ubatili wa kikao kile sio hoja ya maoni binafsi ya mtu, ni issue ya kikatiba, Kisheria, kikanuni na kiutaratibu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, sheria, taratibu na kanuni zilikiukwa hivyo CC ile ni a Kangaroo Court na maamuzi yake ni maamuzi ya Kikangaroo!.
Swali linakuja, Jee a Kangaroo Court moja, inapotoa hukumu Kikangaroo, kisha kikao cha rufaa, likaitishwa kuijadili Ile ukangaroo wa kile kikao cha Kwanza cha Kikangaroo, na kikao hiki ambacho uamuzi wake ni wa mwisho, final and conclusive, kikayabariki maamuzi yale ya Kikangaroo, Je nacho kitahesabika ni ni kikao cha Kikangaroo au ni kikao halali, Ila nacho kimebariki maamuzi ya Kikangaroo, jee sasa vikao vyote viwili ni Kangaroo?.
Makamanda 19, kamwe msikubali ukangaroo wa aina hii kuendeshwa katika ardhi ya Tanzania!.
A Way Foward
Kwa vile uamuzi wa kikao cha Baraza Kuu ndio final and conclusive, hakuna ubishi kuwa kina Mdee wameonewa, following precedence ya kesi Zitto Kabwe kupinga maamuzi batili kama hayo mahakaman, nawashauri kina Mdee na kundi lake, kukubali matokeo, kufungasha virago vyao kupisha, na kuiachia karma ndio iwalipie.
Nawashauri wasiende mahakamani kutafuta haki, unless kama ni kutetea tuu ugali wao kwa kuendelea kuvuta muda wa ubunge wao ili waendelee kuvuta kwa lengo tuu ya ku service ule mkopo wa bond ya miaka 5.
Kwa wale waumini wa karma, lets just sit and watch jinsi karma inavyofanya kazi. Kwa vile sio watu wamejaaliwa jicho la kuona the karma operatives, akina sisi wenye jicho hilo, tutakuwa tunawamegea tits and bits.
Kunapotokea jambo kubwa kama hili, usually huwa it's over until it's over, kwa hapa hili lilipofikia,
it's over!.
Wanabodi. Utambulisho. Mimi ni mwandishi wa habari wa kujitegemea, yaani freelance journalist, hatutumwi na mtu yoyote au media yoyote. Sisi waandishi tuko wa aina nyingi na tunafanya kazi za aina nyingi, wengine ni maripota, wengine watangazaji, wengine wahariri, na ndani ya makundi hayo...
Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Japo mimi ni kada wa chama cha siasa na sio CHADEMA, ukada wangu, haunizuii kutoa ushauri kwa Chama chochote kukisaidia. Upendo wa kweli ni pale unapoona jirani yako ambaye ni kipofu, haoni mbele, anatembea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.